wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Komeo Lachuma

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hapa nilipofika nimechoka, nisije pata ugonjwa unaokosa dawa. Wanawake mnataka nini?

    Unampata mwanaume mchekeshaji ana pesa. Unaenda kutoka tena na mwanaume mkimya hana pesa. Ukimpata mwanaume MKIMYA unaenda kutoka na mwanaume MCHEKESHAJI. Ukimpata mwanaume hana PESA unaenda kutoka na ASIYE NA PESA. Ukimpata ASIYE NA PESA unaenda kutoka na MWENYE PESA. DADA ZANGU MNATAKA NINI...
  2. N

    JamiiForums Tanzania Katika kipindi hiki cha joto sifa ziende kwa wanawake wanaoshinda na kanga

    Wanawake wote mnaoshinda na kanga kipindi hichi cha joto popote ulipo nchini Tanzania amini kwamba you do right thing for the right time.
  3. TODAYS

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Saudi Arabia Miseries: Video inayoonyesha wanawake wanaonyonyesha mbwa nchini Saudi Arabia yawakasirisha Wakenya

    Kufuatia kadhia mbalimbali zinazoendelea kwa wakazi wa ukanda wa Afrika mashariki kutoka nchi za kiarabu. Bunge la kenya linategenea kupitisha azimia ka kupiga marufuku raia wao kwenda nchi za kiarabu kufanya kazi za ndani. Majuzi hapo kuna video ilitapakaa kwenye mitandao ya kijamii...
  4. Kisalilo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbona wanawake wakijiweza kidogo tu kiuchumi wakalingana na wanaume wanakuwa na dharau?

    Habari za saivi ndugu zangu. Dhumuni la kuleta hii mada hapa ni ili kupata msaada wa kimawazo kuhusu binti mmoja tuliodumu kwenye mahusiano kwa miaka minne. Kipindi tunaanza tulikuwa tukipendana, tulikuwa mkoa mmoja naye mkoa mwingine ila kila akitaka fanya jambo lazima anishirikishe. Akawa...
  5. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Marekani yawawekea vikwazo Wataliban kwa "kukandamiza wasichana na Wanawake"

    Marekani ilitangaza vikwazo vipya Jumanne dhidi ya Taliban, kama adhabu kwa ukandamizaji wao wa wanawake na wasichana nchini Afghanistan. Waziri wa Mambo ya Nje wa Marakeni Anthony Blinken alitangaza vikwazo vipya vya visa kwa wanachama wa sasa au wa zamani wa Taliban, na wengine "wanaohusika...
  6. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Daktari: Mirembe kuna Wagonjwa wengi Wanaume kuliko Wanawake

    Imeelezwa Hospitali ya Mirembe ambayo ni Hospitali ya Taifa ya Magonjwa ya Afya ya Akili iliyopo Dodoma kitakwimu ina idadi kubwa ya wagonjwa wa aina hiyo Wanaume kuliko Wanawake. Bila kubainisha namba, Daktari wa Mirembe, Veronica Lyimo amesema takwimu za umri zinaonesha wanapokea zaidi vijana...
  7. BAKIIF Islamic

    JamiiForums Tanzania Hawa ndio Warembo waliouawa kwa kutembea uchi huko Iran

    Biblia na Qur'an ziko pamoja na nchi ya Iran, unaweza usitamani kutembea uchi lakini ukawatetea wanaotembea uchi. Kufurahia mwanamke kutembea uchi elewa umefurahia mama wa mtu kuwa uchi. Naanza kwa kumnukuu mwana JF Donatila aliwahi kuandika humu ''Kama mjuavyo utandawazi umezidi kukua...
  8. J

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake tupunguze mdomo, tunawaponza waume zetu wenyewe

    Ni kweli wanawake tunapenda kuongea tena ni jadi yetu, lakini tujitahidi kuchuja maneno tusisahau hata Bibilia imeandika, "Mwanamke mwenye hekima huijenga nyumba yake, lakini mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe". Leo ntaongelea wenzangu na mie mama wa nyumbani. Dada unajijua huingizi...
  9. sanalii

    JamiiForums Tanzania Wanaume JamiiForums wanaadhimisha wiki ya kulia lia kuombwa hela na wanawake

    Ni ajabu watu wanataka kubadilisha mboga wakati hawamudu. Watu wagumu kuelewa, utandawazi umeongeza mahitaji ya binadamu, bando, usafiri, simu nzuri, saluni, kodi ya pango na mengine mengi huko nyuma hayakuepo. Ni ajabu mtu anataka mwanamke wa miaka ya 80 kule kijijini hakuna simu, hakuna saluni...
  10. To yeye

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kumbe nasi Wanawake ukorofi hatujaanza Leo,Kuna muda wanaume hawana hatia kabisa.

    Bado tupo kwenye kitabu Cha MWANZO...Bado tupo na ukoo wa Yuda....Bado tupo na mjane Tamari. Ni kitabu Cha MWANZO 38:11-26 Baada ya mzaliwa wa pili wa Yuda kufa(Onan) ...Yuda akamwambia Tamari mkwewe,ukae mjane nyumbani mwa baba Yako hata shela Mwanangu(mzaliwa wa tatu wa Yuda) atakapokuwa mtu...
  11. SaulGoodman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mtatuua, vitu vingine havitaki ujuaji!

    Wakuu mambo vipi? Mimi hali yangu si nzuri sana. Naandika uzi huu nikiwa na maumivu sana kwenye uume wangu, sijui kama alinifanyia makusudi au laa. Kuna mwanamke nimetoka kupiga (kwa leo lengo siyo kusimulia nime mpataje mpataje), katika kuandaana mwanamke akachukua mike yangu akaingia studio...
  12. Mkanganyiko kukanganya

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanamambo meeengi ya kujirudia rudia bila wao kujua

    Wakuu heshima zenu kuna jambo hapa iko hivi. Maisha ya wanawake naona km wao wana mambo mengi wanayofanya kila siku tena mara nyingi zaidi ya wanaume. Namba tatu (3) sina uhakika sana ila wanawake kongole kwao wanachangamsha ulimwengu toka kwa enzi za mzee Adam MAMBO HIZO NI KAMA- 1. kuongea...
  13. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Majini yanayoongoza kula pesa za wanawake nchi za dunia ya tatu

    Hawa ni majini, na kama tujuavyo majini kazi yao ni kuharibu na kupotosha. Hamna nyingine. 1. Waganga 2. Manabii wa uongo. 3. Saluni/Urembo na mavazi. Hawa ndiyo kwa kiasi kikubwa wanakula sana pesa za wanawake. Yaani nyumbani inawezekana kabisa ukawa huna pesa hata kidogo na mke anafanya kazi...
  14. Jemima Mrembo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siyo kweli kwamba wanawake tunapenda sana pesa, hatupendi umasikini

    Habari zenu wana nzengo? Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko. Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na...
  15. Ali Nassor Px

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Matatizo ya wanawake chanzo ni wanaume na matatizo ya wanaume chanzo ni wanawake

    Waungwana habari za muda, naamini tu salama na wazima wa afya, kama una changamoto pole na Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi na itapita. Nimeandaa post hii kama sehemu ya kusaidia vijana wa kiume na hata wakike pia ili waweze kuishi na wenza wao kwa amani. Nadhani kila mtu anajua kama bila...
  16. SaulGoodman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wakiwa na hasira ni raha!

    Guys I hope you're doing just fine, and so do I. Basi bana kama ilivyo ada leo nina jambo la ku share na ninyi especially wanaume wenzangu. Wanawake bwana wakiwa hana hasira ni raha mpaka nashindwa kuelekeza. Niende sasa kwenye kisa kilichonikuta kitambo kidogo wakati niko chuo. Kulikuwa na...
  17. Mwanamaji

    JamiiForums Tanzania Kwenye kauli hizi chache za Rais akiwaapisha Mawaziri watatu wateule, kosa la Balozi Mulamula ni insubordination?

    Mara baada ya mawaziri watatu (Bashungwa, Tax na Kairuki) kula kiapo ikulu jijini Dar es Salaam, Mh Rais amezungumza maneno machache sana. Amewaasa mawaziri wake wapya mambo yafuatayo: 1. Wazingatie kiapo chao cha kuilinda, kuitetea na kuihifadhi katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  18. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnachukuliaje kutoka na wanaume waliowazidi umri kwa miaka 15, ila siyo wababu?

    Mm nina miaka 35 namtaka binti wa miaka 20, najiuliza nkimtongoza huyu binti si ataniona wa ajabu sana? Maana nimemzidi miaka 15 nikikutana naye njiani ananipa Shikamoo. Hata nkimtongoza akanikubalia, Hatonipendea pesa kweli, maana kiuhalisia mimi ni mkubwa sana kwake. Wanaume wenye uzoefu na...
  19. A

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao?

    Nauliza hivi wanawake wa hivi wamekosaga nini kwenye ndoa zao? Kakuaacha na nyumba watoto wawili kaenda kutafuta, hufanyi kazi zaidi ya kulea watoto pesa anatuma ila unawapa utamu wapita njia. Update
  20. Natafuta Ajira

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnataka nini?

    Naomba niende moja kwa moja kwenye point bila hata salamu. Linapokuja suala la mahusiano ya kimapenzi je, wanawake mnataka nini? Mmetusisitiza sana tutafute hela lakini wenye pesa zao hao wakina Masanja bado wanachapiwa. Pesa tunawapa, mashine tunapiga mpaka inafika hatua vijana kutumia vumbi...
Back
Top Bottom