Hii issues kuna binti mmoja kichwa na yupo vizuri sana nilisoma nae katukimbiza sana skonga kipindi hiko cha nyuma mara nyingi tunapigaga sana story kwenye simu.
Msimu wa sikukuu tulikutana tu ile ghafla White Sand, mimi nilikuwa na kikao cha familia, tulivyo maliza nikakaa nae na kuanza kupiga story za skonga, then si akafunguka na kudai amechoka upweke, akaniambia kwamba kama ana mtu aliye tulia na mwenye kazi ya kumuingizia kipato ni muunganishie. Yaani ukimtizama sura yake unajua kabisa haya maneno yana toka ndani ya uvungu wa moyoni (yani zile tenzi za roho)
Honestly niliingiwa na kahuruma fulani sababu yule binti file lake ninalo katulia ila ndio hivyo nahisi jamii yetu ya wanaume kama tumeamua kuhukumu wanawake wote wasomi na wenye hela wana viburi, ila kwa yule binti ni tofauti.
Basi nikamtia moyo nikamwambia usijali kuna vijana nitajaribu kuwa shawishi (hao vijana wangu wenyewe mabachela sasa ni watu wa chini kishenzi).
Binti yupo vizuri kishenzi shule ipo hela anayo ila ndio hivyo tena umri umeenda yaani wakati napiga nae story nilitamani nifanye replacement ya huyu niliye nae kwani alinivuruga msimu huu wa sikukuu nikamlia bati mpaka karibia na mwaka mpya,bahati nzuri aliniomba msamaha.
Ila mabinti wasomi na wenye hela zao ambao wapo tayari kuishi maisha ya ndoa na kuwa heshimu waume zao wapo. Sometimes tusi-generalise sana. Japo kweli dada zangu wenye hela na elimu WENGI WAO ni viburi mbele ya wanaume wao.
Msimu wa sikukuu tulikutana tu ile ghafla White Sand, mimi nilikuwa na kikao cha familia, tulivyo maliza nikakaa nae na kuanza kupiga story za skonga, then si akafunguka na kudai amechoka upweke, akaniambia kwamba kama ana mtu aliye tulia na mwenye kazi ya kumuingizia kipato ni muunganishie. Yaani ukimtizama sura yake unajua kabisa haya maneno yana toka ndani ya uvungu wa moyoni (yani zile tenzi za roho)
Honestly niliingiwa na kahuruma fulani sababu yule binti file lake ninalo katulia ila ndio hivyo nahisi jamii yetu ya wanaume kama tumeamua kuhukumu wanawake wote wasomi na wenye hela wana viburi, ila kwa yule binti ni tofauti.
Basi nikamtia moyo nikamwambia usijali kuna vijana nitajaribu kuwa shawishi (hao vijana wangu wenyewe mabachela sasa ni watu wa chini kishenzi).
Binti yupo vizuri kishenzi shule ipo hela anayo ila ndio hivyo tena umri umeenda yaani wakati napiga nae story nilitamani nifanye replacement ya huyu niliye nae kwani alinivuruga msimu huu wa sikukuu nikamlia bati mpaka karibia na mwaka mpya,bahati nzuri aliniomba msamaha.
Ila mabinti wasomi na wenye hela zao ambao wapo tayari kuishi maisha ya ndoa na kuwa heshimu waume zao wapo. Sometimes tusi-generalise sana. Japo kweli dada zangu wenye hela na elimu WENGI WAO ni viburi mbele ya wanaume wao.