Moja ya matatizo makubwa sana tuliyonayo sisi wanaume siyo pesa, siyo umaarufu, wala siyo mahusiano — ni UWEZO WA KUONA.
Wengi wameanguka si kwa sababu hawakuwa na upendo, bali kwa sababu hawakuwa na macho ya rohoni.
Unaweza ukamuoa mwanamke anayekaa kama kondoo — mpole, mnyenyekevu, na mtulivu...