wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Lighton

    JamiiForums Tanzania Nguvu ya uwanaume inapotea kwenye jamii, wanaume tufanyaje?

    Wakuu habari za jioni hii. Hili ni andiko huru kwa watu huru, wa jinsia zote, na mlengo ni kuwekana huru kifikra. Mwanaume tokea Karne za nyuma anafahamika kuwa na sifa za uongozi kwenye Dunia, kuongoza nchi,kuongoza jamii na familia. Kitabu Cha mwanzo kinaelezea vizuri role ya mwanaume...
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Wanaume tutafute pesa,Sura yako sio kigezo kwa mwanamke

    Hoya jamaa kama angekuwa maskini sijui ingekuwaje. Julius Malema with his wife at Victoria Falls .
  3. upupu255

    JamiiForums Tanzania Wanaume ni kipi kinafanya umepachukia nyumbani kwako?

    Tusemezane Wanaume ni kipi kinafanya umepachukia nyumbani kwako?
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume tunajidanganya kuwa soko letu kwa wadada ni kubwa tukiwa na miaka 29-35 na kuendelea ila uhalisia sio huo

    Wana Jf salaam Nikipita pita kwenye mitandao naona wanaume wengi tunajifariji tukisema mwanaume anakubalika zaidi na wadada akiwa na miaka 30 kwenda juu, ila that's not a case, hata wanaume mvuto wetu huanza kupungua sana tukifika miaka 30+ Mwanaume utakua na soko kwenye miaka 30's kwenda...
  5. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwenu wanaume mnaoimba kwaya. Wenzenu yametushinda

    Nadhani moja ya kazi ngumu kabisa kwangu ambayo siwezi kufanya ni kuimba kwaya pamoja na kushona sare hasa za vitenge!. Wanaume mnaimba kwaya mnastahili pongezi mwenzenu yameshanishinda. Ile kusema tu nawahi zoezi la kwaya Daaah huwa nikisikoa mwanaume anasema hivyo hadi nastuka! Kwamba...
  6. Raymanu KE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume: Usiwahi tamani kuijua the "darkest" side ya mwanamke wako

    You're not as strong as you think. Uzi tayari
  7. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Road masters! Wanaume kazini

    Mtiririko wa videos za njia ngumu na shuruba wanazokutana nazo madereva Wewe kama unajifanya ni dereva mahiri hawa sijui watasemaje https://www.facebook.com/share/r/1AtAULYApA/
  8. Mediaty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mkombozi wa wanaume

    Katika zama hizi, wanaume wanapotia magumu sana. Wapo na insecure sana. Kuna matabaka kibao. Hawa wanaogopa kuoa, hawa wanawachukia wanawake, hawa wapo jela sababu ya wanawake wengine mpaka wanawaza watapata wapi wake bora. Majibu ya maswali haya ni magumu sana kuyapata. Ila utafiti unaonesha...
  9. Mediaty

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hii ni kwa wanaume tu

    Habari zenu wanaume wa humu ndani. Natumaini hamjambo kabisa. Leo nakuja na Uzi huu maalumu kwa akili yenu. Kuna watu watanielewa, watanidharau, watanipinga na wengine wataguswa. Twende kwenye mada. Ukiachana na kubeba shingo upara katikati ya miguu yetu ila kuna tabia hizi hapa ambazo lazima...
  10. Rungwe88

    JamiiForums Tanzania Tanzania (Tanganyika) tumekubali Samia kupendelea kuharibu ustawi wa nchi yetu kwa maslahi yake binafsi?

    Sote tumeona na kushuhudia kwa maneno na matendo yake akiharibu hii nchi kwa kila namna anapopata nafasi, na kila akipata nafasi ya kuongea na tukifikiri atajirekebisha bali amekua ni mtu wa kuvuruga nchi yetu zaidi na zaidi. Samia hana uzalendo, huruma, uchungu wa aina yeyote kwa watanganyika...
  11. Mwanamke wa mithali 31

    JamiiForums Tanzania Wanaume huwa mnaongea na binti zenu?

    Eti ? Huwa mnaongea nao ? Mnacheka ? Mnashauriana ? Siku moja nipo saloon Alifiki binti m,moja Baada ya kuketi Alipigiwa cm na baba yake na maongezi yao yalikua hivi HER > GOOD MORNING DADY HIM > MORNING DOTAA HIM > NIMEFIKA SALAMA,MWANZA MWANANGU....NA SIM YAKO INA SALIO ? HER > SIM...
  12. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mc Pilipili Amewaachia Ujumbe Wanaume Hapa

  13. Nanamucho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kama nimewahi kuwakosea wanaume naomba mnisamehe! Ni kweli mnapaswa kuitwa Wanaume

    Dada yenu,mdogo wenu na last born wenu wa Jamii Forums wa kizazi Cha 2000 ninakuja mbele yenu nikiwa hai hapa Tengeru Arusha,ninamshukuru Mungu kwakuwa siku ya maandamano niliamua tu kulala ndani kwangu,si kwamba naogopa ila sikuwa na Imani kama ndugu zangu Watanzania watajitokeza Kwa...
  14. Godoro la kioo

    JamiiForums Tanzania Wanaume njooni huku Kuna kikao

    Kabla ya yote niwashukuru kwa kuitikia muitiko huu Sasa tunaweza kuketi ili tuanze kikao Bila kuwachosha . Kuna kitu nilihitaji majibu kutoka kwenu wanaume Imetokea kwenye harakati zako za utafutaji uko na rafiki yako ambae mmeshibana ghafla mkatofautiana na kuanza kuvutana Mara ugomvi huo...
  15. T

    JamiiForums Tanzania Wanaume eti mnaitwa BABARISHE

  16. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Miili ya vijana wanne waliouawa yaokotwa barabara ya Mapinga kuelekea Kibaha

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani, limethibitisha kutokea kwa vifo vya wanaume 4 ambao miili yao imekutwa pembezoni mwa barabara ya Mapinga kuelekea Kibaha, ikiwa na majeraha usoni na miguuni huku ikadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 19 hadi 22, ambao walikuwa ni wakazi wa maeneo ya Dar es...
  17. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu: Wanaume kuna muonekano ukiwa nao, huwezi kuja JF kulalamika kuwa kila mdada unayemtongoza anakuomba omba hela

    Habarini, Tofauti na kichwa cha habari, katika pitapita zangu TikTok nlikutana na account ya jamaa mmoja mtanzania, anajiita Dr Julian sio mwanamziki wala sio muigizaji, hapost maisha expensive, ila aloo hiyo idadi ya wadada wanao-andika thirst comments kwenye picha za huyo mkaka , na...
  18. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Wazee wa Mitindo, Tupeane dress code za Beach

    Wakuu. Tupeane dress code za beach leo. Kwa wanaume na wanawake. Na wapi unaweza pata izo dress. Kuna wakina sisi kila sehemu tunavaa jezi ya Arsenal, angalau tuweze shine mara moja moja. Pamoja. PS: Tupo jukwaa la Lifestyle, nisikaripiwe.
  19. kyagata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiukweli sisi wanaume wenye wanawake wasiokunywa pombe tunapitia wakati mgumu sana

    Sina haja ya kuwasalimia coz mara nyingi huwa hamuitikii. Sisi wanaume wenye wake wasiokunywa pombe tunapitia wakti mgumu sana. Tunaongozana vizuri kwenda bar kuinjoy life but kufika huko bar unashangaa mtu anakunywa juice au flying fish tu. Sasa wakuu kweli tuchoshane coz ya flying fish tu?
  20. M

    JamiiForums Tanzania Wanaume wa Tanzania hatarini! Kila uchwao ni kutekwa!

    Ni muda wa kujitetea umewadia sasa
Back
Top Bottom