wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mapito mawili magumu kwa wanaume ndani ya ndoa

    Preamble: For the sake of humility and a long, healthy life, ni busara ndoa zikaangaliwa kwa pande mbili. Moja as perfect intimacy na mbili as disaster against humanity. Ukipata mwenza sahihi, heaven itahamia chini ya dari lenu. Ukikosea kupata mwenza sahihi hakika kuzimu itawafurahia sana na...
  2. haszu

    JamiiForums Tanzania Swali kwa wanaume: mwanaume mwenzio akipitiwa na usingizi kwenye usafiri akakuegemea begani, utamuacha?

    Najua wanaume wengi hutulia hata kufurahia wakiegemewa na mwanamke kwenye usafiri wa umma, ila je ikiwa ni mwanaume mwenzio, utamuacha?
  3. Area 56

    JamiiForums Tanzania Hivi vinywaji vina-trend siku hizi, hivi wanaume wanaruhusiwa kunywa?

    Ukienda viwanja, naona wadada wanavifakamia kweli, wanaume wanaruhusiwa kweli?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Ni jambo linaloshangaza sana kuona baadhi ya wanaume wanakasirika au kuharibu mipango wanapoona wake zao wanapata maendeleo kuwazidi wao

    Brother, Umeoa mwanamke muwe team ya kuweza kuunganisha nguvu pamoja kutatua changamoto ikiwemo za kiuchumi, hivyo inabidi na yeye aweze kutengeneza thamani (Vaue creation) Kuna baadhi ya wanaume bado wanaishi zama za kale, hawapendi kuona wake zao wamewachapa gepu kwenye maendeleo. WHY ?
  5. Think2

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi kwenye hii amri ya Mungu hatutoboi

    📖 Mathayo 5:27–28 "Mmesikia kwamba imenenwa, Usizini. Lakini mimi nawaambia, Kila mtu amtamaniye mwanamke kwa kumtazama, amekwisha kuzini naye moyoni mwake." Swali langu, kwani wanawake wao hawatamani ??
  6. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Wanawake watema Cheche: Wanaume wenye Vitambi 'Wananuka' kiukweli Wanawake wengi hatupendi Kuolewa nao

    Msinigombanie kama Mpira wa Kona sijasema Mimi na ukitaka kujua waliosema nenda Mtandao wa Bongo Mjini usikie. Hivi mnadhani akina GENTAMYCINE ambao Kutwa tunachukia kutoka Vitambi kama vyenu hatujui kile tunachokiepuka?
  7. Traxtion

    JamiiForums Tanzania Wanaume wanavua utu wao kuwa machawa

    Yani mi nikisikia mwanaume anasema Oktoba Tunatiki naanza kuwa na mashaka naye 🏳️‍🌈 https://www.facebook.com/share/r/1ALAR12WMq/
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi tunakaa mbali na simu za wanawake kwasababu ndio njia pekee ya kudumisha mahusiano, Insecurities ni visingizio tu !

    Nakumbuka kuna demu niliwahi kuwa nae nilikuwaga namkubali sana nikijisemea hapa nimefika katika kuishi nae sikuwa na mazoea ya kupekua wala kutumia simu yake ila niliwahi kuijua password yake, basi kuna siku alikuwa ameenda kuoga nikaifungua. Aiseee !! Yule mwanamke ni kiungo mshambuliaji wa...
  9. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kyara: SAU Tukishinda Urais tutapunguza Bei ya umeme, Kupunguza makali ya maisha

    Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Sauti ya Umma (SAU), Kyara, amesema iwapo atachaguliwa kuwa Rais, atahakikisha anarejesha heshima ya wanaume ambayo imeonekana kupotea, kutokana na ukweli kwamba wengi wao siku hizi wanakwepa majukumu na kutegemea wanawake...
  10. SweetyCandy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake acheni wivu jitumeni

    Mnawivu sana na ni wachawi sana hadi kero . Kila kitu mmejawa na wivu sana .
  11. kiss ov love

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, huwa mnaharakia nini?

    No reforms, no election. Moja kwa moja kwenye mada, hivi nyie wanaume huwa mna shida gani? Wakati wa mizagamuano hamtaki kabisa kutumia muda kutuandaa, mnara ukisoma 5G nyie mnataka kuzama tu, shida ni nini? Mna haraka ya nini?, ndege kashakuwa wako manati ya nini eti? Wanaume wenye hii...
  12. The silent smile

    JamiiForums Tanzania Sisi wanaume ni waaminifu sana

    Mwanaume ni kiumbe muaminifu mnoo, na Wanawake wanatujua na kutuamini kwa uaminifu na uadilifu wetu.😇 Imagine, Mtu unaachiwa kuanzia kiuno kushuka chini, halafu mwenye navyo kalalia zake mto na kakuamini kabisaa kukuachia huko nyuma ujisevie mwenyewe, yaan tumeachiwa mashimo yote mawili...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Yawezekana ndoa ni muhimu ndoa maana tumeumbwa wanawake na wanaume? Je kuna madhara yoyote kuishi bila ndoa?

    Kwenye dini ya kiislamu ndoa ni suna siyo lazima ila ni ile sunna ambayo imekokotezwa kwa maana ni suna ambayo inakaribia kwenye faradhi hivyo hivyo kwenye dini nyingine yawezekana akawa ni muhimu pia je nauliza hiyo ndiyo sababu ya kuumbwa jinsia mbili kati ya kiume na ya kike? Na je kama ni...
  14. Mfilisti

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa nini wanawake wengi wanatulia kimapenzi wakifika 30+, lakini wanaume wengi wakifika 30+ ndio kwanza kunakucha (wanakuwa active?)

    Nimekuwa nikiona pattern fulani ya ajabu kwenye mahusiano. Wanawake wengi wakiwa kwenye 20s wanakuwa na nguvu nyingi za kimapenzi, kupenda kujaribu mambo mapya na kubadilisha wapenzi mara kwa mara. Lakini wakifika 30+ wengi huonekana “kutulia” wanapenda mtu mmoja, maisha ya utulivu na mara...
  15. Kimbesa11

    JamiiForums Tanzania Ndo maana wanaume tunakufa haraka imagine Kuna mtu alikuwa haamini Kama uchaguzi upo haamini October tunatiki ndugu yangu unajipa kisukari bure

    Wanaume huwa tuna ubishi wa kitoto sana, huku tunajua kuwa kila kiongoz anaapa kuilinda Katiba ya JMT lakini bado Kuna mwanaume anajidanganya moyoni mwake eti oooh hakuna uchaguzi, oooh form haitachukuliwa Kama ulikuwa na fikra Kama hizi ujue ww ni mgonjwa tayari. Haya Taifa lipo na slogan ya...
  16. McLaren

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Video: Kwa utaratibu huu uliopo kwenye harusi ya kabila hili la Kinigeria, wanaume wenzangu tungetoboa kweli?

    Wakuu, Nimekutana na video hii ya harusi ya watu wa kabila moja huko Nigeria, nimewaza sana kwa vyuma vilivyokaza sidhani kama wanaume wa Kitanzania hasa wa Daslam wangeweza. Huu utaratibu uko huko kwenye kabila moja la Nigeria linaitwa Ijaw ambapo mwanamke akiwa Bi Harusi kwenye harusi yake...
  17. Pdidy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume ishini na wake zenu kwa akili hawajawahi kuishi kirohoo. Jipe moyo

    1petr 2.3 Wanaume muishi na wake zenu kwa akili na muwapeeee heshima Ukisoma utaonaa kinachowapa heshima wanawake n akiliiii kama utapata mwanamke asie na akili ndugu umeumiaaa jamboo muhimu unapoelekea kwenye ndoawambiee MUNGU AKUPE Mwsnamke MWENYE AKILI WANAUME MWANAMKE AJAWAHI KUISHI...
  18. kiss ov love

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya wanaume, huu ujasiri mnautoaga wapi?

    Habarini za wakati huu wana JF. Kuna baadhi ya wanaume mna hii tabia ambayo binafsi naona siyo nzuri na siyo busara kufanywa na mwanaume mwenye akili zake timamu. Unakuta mwanamke kwasababu amekwambia anakaa mwenyewe, unataka akukaribishe kwake ilhali hakuna ulichomchangia yaani ndiyo kwanza...
  19. M

    JamiiForums Tanzania KINYUME NA IMANI YA WENGI: WANAUME NI WENGI KULIKO WANAWAKE

    Kinyume na WENGI wanavyo dai, idadi ya wanaume ni kubwa kuliko WANAWAKE. Hii ni kwa mujibu wa takwimu za mwaka hii 2025. https://m.statisticstimes.com/demographics/world-sex-ratio.php
  20. GENTAMYCINE

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Wanaume wa Uganda wanawapenda sana Wanawake wa Tanzania na kwanini Wanawake wa Uganda wanawapenda mno Wanaume wa Tanzania?

    Ninajua hapa kuna Wajuvi na Watafiti wa Masuala mbalimbali ya Kimtambuka hivyo leo Kazi yangu ni Kuujua tu Ukweli.
Back
Top Bottom