wanaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MOONFISH

    Ukweli kuhusu mateso ya UTI kwa wanaume

    Habari zenu wakuuu hope mko poa sana. Leo nimeamua kuja na mda tajwa hapo juu naandika ukweli wa asilimia mia moja kuhusu hawa dada zenu na ugonjwa wao wa UTI unavyo tutesa. Nianze moja kwa moja nimekuwa mtu wa toto mbili tatu na kujichanganya sana na wanawake, ila katika miaka ya nyuma sija...
  2. S

    Polisi chunguzeni vizuri hivi vifo vya wanaume kwenye magesti. Mbona wanawake hawafi?

    Visa vya wanaume kufia guest wakiwa na "*viruka njia" wao vimekuwa vingi sana siku hizi. Wengi wanahusisha vifo hivi na kuzidiwa kwa mwanaume na dozi bab kubwa ya 6 kwa 6 anayopewa na mdada. Inaweza kuwa kweli lkn siyo mara zote. Nimewahi kupewa stori kuwa kuna mbinu inafanywa na wadada wahuni...
  3. Y

    SoC02 Wanaume walaumiwe biashara ya ukahaba

    Kwanini wanaume? Ni kwa sababu wanaume ndiyo wanunuaji (Wateja) Kwa kawaida biashara ikikosa wateja muuzaji hubadili bidhaa au kuachana na biashara hiyo kabisa. Kwenye jamii wanaume ukiwakuta vijiweni hukemea kwa 100% na kupinga ukahaba lakini ukweli ikifika usiku ndiyo kwanza wanakuwa wateja...
  4. beth

    Matumizi ya Intaneti: Nini kifanyike kuziba pengo kati ya Wanawake na Wanaume?

    Pengo kati ya Wanaume na Wanawake katika upatikanaji na matumizi ya Intaneti ni changamoto duniani kote. Asilimia kubwa ya watu Bilioni 2.9 ambao hawafikiwi na Huduma hiyo ni Wanawake na Wasichana. Tatizo hili lipo zaidi kwa Nchi Masikini, ikiwemo zilizopo Barani Afrika ikielezwa baadhi ya...
  5. sanalii

    Wanawake wanavutiwa na kucha za wanaume?

    Nikipita social media unakuta kama mwanaume amepost kitu then kuna sehemu ya mkono, unaona baadhi ya wadada wanasema " unakucha nzuri, post mkono niuone" sasa nauliza inamaa mwanamke anaweza mpenda mwanaume sababu ya kucha za mikono? Na hizo kucha nzuri zinakuaje? Update Mmoja kanitumia hivi
  6. Poker

    Jamani, ifike hatua wanawake muanze kutuhudumia sisi wanaume!

    Unakuta mdada mnatoka naye out kwenye date labda mmeenda johari rotana, mnakula na kunywa ila mwisho ikija bills anakukazia jicho kweli ili ulipe wewe bill. Bado unakuta asubuhi ukiwa unaondoka nyumbani anataka kodi ya meza wakati kiuhalisia alitakiwa akupe pocket money ya kutumia. Nadhani ni...
  7. Lady Whistledown

    Wanaharakati Nchini Ivory Coast walaani Mswada wa Kuruhusu Wanaume kuoa wake wengi

    Wanaharakati wa Haki za Wanawake wamesema Mswada unaopendekezwa wa kuhalalisha na kurejesha tena ndoa ya wake wengi kwa Wanaume, ni kurudisha nyuma jitihada za vita vya usawa wa kijinsia Nchini humo. Ndoa za wake wengi zilipigwa marufuku nchini humo mnamo 1964 huku Tume ya Umoja wa Mataifa ya...
  8. M

    Wanaume wengi waliopo kwenye ndoa huwa wanajua wazi kabisa wake zao wanapigwa nje ila wanajikausha

    Wanawake ni watu wa kutongozwa na wao pia huwa wanatongoza. Wanaume kibao tu huwa wanajua wanapigiwa wake zao lakini inabidi wakae kimya. Maisha ya ndoa au mahusiano ya muda mrefu yanachangamoto.
  9. Unique Flower

    Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

    Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya. Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume. Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
  10. BigTall

    Katavi: Wanaume wanaogopa kuwawezesha kiuchumi wake zao wanaamini watakuwa jeuri

    UMESIKIA ishu ya baadhi ya wanaume wa Kijiji cha Mapili Kata ya Ilela, Halmashauri ya Mlele mkoani Katavi? Kama hujasikia ipo hivi, kumbe wanatamani sana kuwawezesha wake zao kiuchumi, lakini wanashindwa kuwawezesha kiuchumi wakihofia wanawake hao kubadilika na kutowasikiliza wakiwa na kipato...
  11. M

    Karibuni tupeane 'Maujanja' ya kujua jinsi Wanawake (Wapenzi Wetu ) Wanavyoturoga sana Wanaume

    1. Ukiona Siku yoyote unasifia mno Chakula na Mpenzi au Mkeo jua ameshakuroga. 2. Ukiona mkiwa Mapenzini halafu umemaliza Kupiga Mshindo Milionea ( yaani Umemkojolea ) na haraka sana anawahi kutaka Kukufuta tena kwa Kitambaa chake jua unaenda Kurogwa vibaya sana. 3. Ukiona Mpenzi/ Mkeo...
  12. M

    Limbwata lipo na limeharibu maisha ya wanaume wengi. Wanawake wanaharibu akili za wanaume

    Mtu anawekewa limbwata na mwanamke mpaka anasahau familia yake. Anashindwa kufanya kazi. Anawaza kuhusu mwanamke na wivu usiofaa. Anahonga mwanamke mpaka anaharibu maisha yake. Wengine wanakunywa sumu.
  13. ERTUGRUL BEY

    Wanaume wanazama Pangoni na Wanawake Wana bounce kama Mawimbi

    Habar Wana Jf. Kabla sijaanza haya maudhui ngoja nimalizie kiporo katika Uzi wangu uliopita. Je zawadi ina pata point ngapi Kwa wanawake? Ukweli ni kwamba Kwa kila zawadi anayopewa mwanamke iwe kubwa au mdogo basi ujue zote zinapata point moja,ukimpa gari utapata moja na atayetoa Maua ridi...
  14. H

    A must read document kwa wanaume...muwe na jumapili njema wakuu

    tujitahidi tusome hii wale vijana wakiume
  15. M

    Mabinti na Wanawake wa Kitanzania ni 'Dharau' na 'Kejeli' kama hizi ndizo huwa 'zinawaponza' na kujikuta mnafanyiwa 'Kitu Mbaya' na Wanaume

    Karen: Sijaona mwanaume wa kuzaa naye Tanzania | Nimezaliwa staa baba yangu staa. Taarifa: EastAfricaTV Baba wa huyu Binti ( Dada ) nakushauri kuwa makini sana kwani kuna Msanii mwingine huko nyuma alikuwa na Dharau na Nyodo kama hizi ila kwa alichofanyiwa Mbezi Beach ( Mitaa ya Rainbow )...
  16. K

    Walau Wanaume wangelikuwa ni wanaume kweli, basi Wanawake wangekuwa ni wanawake kweli

    Miruzi imekuwa mingi, na kila mmoja anavutia kwake. Walio wengi hawataki kukoselewa na walio wengi hawautaki ukweli. Ukweli lazima usemwe bila kujali utamuumiza nani na bila kujali lawama za wenye kulaumu. Wanaume wamekuwa wanaume kwa jinsia ila ni wanawake kitabia, Wanawake nao wanajifananisha...
  17. To yeye

    Hawa wanaume hatujawajulia tu

    Embu tujaribu mbinu hii, kuwapea game sehemu yoyote, I mean sebuleni, chumbani , jikoni, kwenye gari, bafuni... yaan popote. Hata mkitoka mkienda porini kutembelea mashamba yenu ... shikilia mti benua mti apige kimoja Cha faster. Kama unampenda kuwa Malaya tu kwake.. no way out. Mbinu nyingine...
  18. Equation x

    Wanawake; wafanyeni wanaume zenu wanukie vizuri

    Siku moja nilikuwa nimeuzuri kikao cha kiutendaji na wanachama wa taasisi A. Karibu yangu nilikuwa nimekaa na mbaba mmoja, ana kama miaka 45 hivi. Ni mtu mwenye nafasi nzuri tu, na kipato si kibaya, kwa sababu anaweza kuwa na 'net' ya m. 5 kwa mwezi; achilia mbali mambo mengine...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    Wanaume; Jinsi ya kumfanya Binti yako asiwe Malaya

    WANAUME; JINSI YA KUMFANYA BINTI YAKO ASIWE MALAYA. Anaandika, Robert Heriel Wanawake wengi siku hizi 80% ni Malaya, umalaya ni kitendo cha mwanamke kufanya tendo la ndoa na Mwanaume zaidi ya mmoja. Umalaya upo WA Aina nyingi lakini maarufu ni ule umalaya Kwa ajili ya pesa ambao huitwa...
  20. Expensive life

    Wanaume wa mikoani kuweni na mioyo ya kiume

    Nyie si ndio huwa mnajisifu ni majebedali sasa kiko wapi? Mbona mna mioyo ndembedembe sana? Ulevi wa kupindukia ni nyie. Unyanyasaji dhidi ya wake zenu ni nyie, kukatakata mapanga wenzenu eti kisa umesikia fulani anatembea na mkeo ni nyie, uvivu ni nyie, kutekekeza familia ni nyie, kutwa...
Back
Top Bottom