LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 15,121
- 27,128
Usikute hata ule msemo " wanaume hatujui kutunza pesa" ulianzishwa na bushman kama GENTAMYCINE
But don't just take it seriously. Ni uongo kama porn site inayo kwambia kuna demu mrembo anataka kukazwa jirani na mtaa unaoishi.
Hata mimi zamani nilikuwa kama wewe.
Nilikuwa siwezi kutunza pesa kama wewe.
Ila baada ya kuigundua siri hii mwaka 2014 nimefanikiwa kufanya vitu vingi sana..
KOSA LINALO FANYWA NA WANAUME WENGI.
Ni kujaribu kutunza asilimia themanini HADI tisini ya pesa anayo ingiza.
kwa mfano akiingiza laki moja anataka eti atunze elfu themanini halafu ishirini ndio ai spend. Hell no ! Ukiamini hili linawezekana basi unaweza amini hata Maneno ya Wema Sepetu au Lulu Diva anapo kwambia " I love You Too".
Unacho kifanya hapo ni sawa na mbongo kununua soda na matunda/ beer/wine aweke kwenye fridge halafu awe ana tumia kidogo kidogo kika siku..
Hata kama ni budget ya kukaa kwenye fridge kwa Mwezi mzima mbongo ataimaliza chini ya wiki.
Utapata tatizo kidogo utaishia kuitumia hiyo hela uliyo itunza halafu mwisho wa siku uta give up the project, miaka itakuwa inaenda na kurudi bila wewe kutimiza malengo.
TUFANYE NINI BASI EEH RABBI
Kanuni bora na ya uhakika ya kutunza pesa ni kutunza asilimia kumi HADI ishirini ya pesa uliyo/ unayo itengeneza.
kwa mfano kama kwenye biashara yako unaingiza shilingi laki moja. Tunza sh elfu ishirini, elfu themanini tumia kwenye mambo mengine... Ukufanya hivyo baada ya miaka miwili au mitatu utakapo enda kutazama ki piggy bank chako utajikuta umetunza kiasi kikubwa tu cha pesa ambacho unaweza kufanya kitu kikubwa cha maana.
KWA UFUPI: ILI UWEZE KUFANIKIWA KUTUNZA PESA KWA UHAKIKA, UNATAKIWA KUHIFADHI ASILIMIA KUMI HADI ISHIRINI YA PESA AMBAYO UME I INGIZA NA SIO KINYUME CHAKE
But don't just take it seriously. Ni uongo kama porn site inayo kwambia kuna demu mrembo anataka kukazwa jirani na mtaa unaoishi.
Hata mimi zamani nilikuwa kama wewe.
Nilikuwa siwezi kutunza pesa kama wewe.
Ila baada ya kuigundua siri hii mwaka 2014 nimefanikiwa kufanya vitu vingi sana..
KOSA LINALO FANYWA NA WANAUME WENGI.
Ni kujaribu kutunza asilimia themanini HADI tisini ya pesa anayo ingiza.
kwa mfano akiingiza laki moja anataka eti atunze elfu themanini halafu ishirini ndio ai spend. Hell no ! Ukiamini hili linawezekana basi unaweza amini hata Maneno ya Wema Sepetu au Lulu Diva anapo kwambia " I love You Too".
Unacho kifanya hapo ni sawa na mbongo kununua soda na matunda/ beer/wine aweke kwenye fridge halafu awe ana tumia kidogo kidogo kika siku..
Hata kama ni budget ya kukaa kwenye fridge kwa Mwezi mzima mbongo ataimaliza chini ya wiki.
Utapata tatizo kidogo utaishia kuitumia hiyo hela uliyo itunza halafu mwisho wa siku uta give up the project, miaka itakuwa inaenda na kurudi bila wewe kutimiza malengo.
TUFANYE NINI BASI EEH RABBI
Kanuni bora na ya uhakika ya kutunza pesa ni kutunza asilimia kumi HADI ishirini ya pesa uliyo/ unayo itengeneza.
kwa mfano kama kwenye biashara yako unaingiza shilingi laki moja. Tunza sh elfu ishirini, elfu themanini tumia kwenye mambo mengine... Ukufanya hivyo baada ya miaka miwili au mitatu utakapo enda kutazama ki piggy bank chako utajikuta umetunza kiasi kikubwa tu cha pesa ambacho unaweza kufanya kitu kikubwa cha maana.
KWA UFUPI: ILI UWEZE KUFANIKIWA KUTUNZA PESA KWA UHAKIKA, UNATAKIWA KUHIFADHI ASILIMIA KUMI HADI ISHIRINI YA PESA AMBAYO UME I INGIZA NA SIO KINYUME CHAKE