Habari za Wakati huu! Kuna story nimeicopy sehemu imenifanya nimshangae huyu Mwamba👇👇
Habari zenu wapenzi,
Mnisaidie nijue nimekosea wapi, Iko hivi,
Jana tulikuwa tunaangalia mpira na Mr hapa nyumbani, wote ni washaabiki wa Yanga, sasa Kuna wakati wakamzoom Mayele kwenye screen mimi nikatabasam...