Serikali iingilie kati suala hili la Wanaume wa Kigoma

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,745
Hali ni mbaya sana. Wanaume wengi wa Kigoma wamekuwa wakiishi katika ndoa zao katika hali ya mateso na manyanyaso makubwa toka kwa wake zao.

Wengi wamekuwa wakipokea vipigo mara kwa mara na kulazimika kunyamaa ili kuepusha hali ya sintofahamu katika jamii.hata hivyo waswahili walisema "mwenda tezi na omo marejeo ngamani"

Wanaume hao wameamua kuililia serikali kuhusu suala hilo wakiomba msaada. Wamezungumza suala hili la kuonewa na wake zao wakitaka serikali isimamie haki zao za msingi na ndoa zao.

Wadau wengi hasa wa kutoka Dar es salaam wakichangia wamesema hii ni athari ya wanaume hao kujipiga mabomba sehemu zao haja kubwa kwa leo la kujisafisha tumbo n.k na hivyo kupelekea kuwa na mlegeo katika nguvu.

IMG-20230124-WA0021.jpg
 
Hali ni mbaya sana. Wanaume wengi wa Kigoma wamekuwa wakiishi katika ndoa zao katika hali ya mateso na manyanyaso makubwa toka kwa wake zao.

Wengi wamekuwa wakipokea vipigo mara kwa mara na kulazimika kunyamaa ili kuepusha hali ya sintofahamu katika jamii.hata hivyo waswahili walisema "mwenda tezi na omo marejeo ngamani"

Wanaume hao wameamua kuililia serikali kuhusu suala hilo wakiomba msaada. Wamezungumza suala hili la kuonewa na wake zao wakitaka serikali isimamie haki zao za msingi na ndoa zao.

View attachment 2493761
Muanze kujitia mabomba mnategemea muendelee kuwa wanaume kamilifu? Kamwe haiwezekani.
 
Kwahyo mtoa mada unataka kusema huko kigoma wanaume wanachapwa makofi na wake zao na ni kawaida mwanaume kubetuliwa ngumi za mgongo na makofi ya kichwa.
Haya sio mbaya kikubwa kitendea kazi hakikatwi tu
 
Hali ni mbaya sana. Wanaume wengi wa Kigoma wamekuwa wakiishi katika ndoa zao katika hali ya mateso na manyanyaso makubwa toka kwa wake zao.

Wengi wamekuwa wakipokea vipigo mara kwa mara na kulazimika kunyamaa ili kuepusha hali ya sintofahamu katika jamii.hata hivyo waswahili walisema "mwenda tezi na omo marejeo ngamani"

Wanaume hao wameamua kuililia serikali kuhusu suala hilo wakiomba msaada. Wamezungumza suala hili la kuonewa na wake zao wakitaka serikali isimamie haki zao za msingi na ndoa zao.

Wadau wengi hasa wa kutoka Dar es salaam wakichangia wamesema hii ni athari ya wanaume hao kujipiga mabomba sehemu zao haja kubwa kwa leo la kujisafisha tumbo n.k na hivyo kupelekea kuwa na mlegeo katika nguvu.

View attachment 2493761
Wanaume Kigoma wanazingua haiwezekani mwanamke anashinda shambani na Warundi analima halafu mwanaume upo kijiweni ukiliuliza mama yuko wapi linasema yupo shamba anapika chakula cha wafanyakazi kumbe hata hao wafanya kazi ni warundi.
Warundi wa mashambani ndiyo wanawapa kiburi hawa wanawake.
Ukipita porini warundi ndiyo vibarua halafu Muha yupo kijiweni kazi yake Uchawa tu.
 
Iiiiiiihiiiiiiii......lekaji bhagosha!!watani punguzen kujishindilia mabomba na ubishi....
 
Back
Top Bottom