kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Huwezi kuwa unaomba Mungu kwa dhati halafu Mungu azibe masikio yake kwako. Tatizo mnaombea wanasiasa na taifa kinafiki kwa maslahi yenu ya duniani.
Mh. Rais JPM aliwapenda sana lakini mlishindwa kumuomba Mungu ampe afya na maisha marefu kwakuwa hamkuwa na dhamira ya kuomba bali maslahi.
Mtu anaambiwa aombee mkutano wa hadhara kama Mei Mosi iliyokusanya watu wengi mbalimbali ili mkutano uanze na kuisha salama lakini utamsikia kiongozi wa dini anaiombea CCM, Rais, Bunge, kusifu viongozi nk. hii ni njaa iliyochanganyika na unafiki, na dua za aina hii ni chukizo kwa mwenyezimungu, na Mungu anazitupilia mbali sala na dua za hizi.
Mh. Rais JPM aliwapenda sana lakini mlishindwa kumuomba Mungu ampe afya na maisha marefu kwakuwa hamkuwa na dhamira ya kuomba bali maslahi.
Mtu anaambiwa aombee mkutano wa hadhara kama Mei Mosi iliyokusanya watu wengi mbalimbali ili mkutano uanze na kuisha salama lakini utamsikia kiongozi wa dini anaiombea CCM, Rais, Bunge, kusifu viongozi nk. hii ni njaa iliyochanganyika na unafiki, na dua za aina hii ni chukizo kwa mwenyezimungu, na Mungu anazitupilia mbali sala na dua za hizi.