Suala la ajira likizidi kupuuzwa na wanasiasa, basi nasema "This country will be fated to end badly''

The lost

JF-Expert Member
Jul 3, 2017
2,695
8,209
Sekta binafsi ndiyo mwarobaini wa ajira nchini. Nchi za ulaya pamoja na kuwa na teknolojia pamoja na wataalamu lukuki lakini hazijafikia kiwango cha kuwa na madaktari wanaozurura mtaani, walimu wanaozurura mtaani pamoja na wauguzi wanaozurura mtaani eti kwa kisingizio cha ajira ni tatizo la dunia nzima

Sekta binafsi ndiyo taa ya uchumi na ajira zetu zaidi ya asilimia 80 ya waajiriwa huko nchi za ulaya ni wale waliopo sekta binafsi.

Mfano anuai ni pale Serikali ilipowatenga walimu wa shule binafsi wakati wa korona huku ikishindwa walau kuwabust wapate mkate wao hali iliyopelekea wengi wao kuona ajira zao kule si za uhakika na pengine wamejitokeza kuomba ajira za serikalini mwaka huu.

Huwezi kunyima pasport raia wako huku ukiwa na tatizo la ajira huo ni upuuzi,
 
Sekta binafsi ndiyo mwarobaini wa ajira nchini. Nchi za ulaya pamoja na kuwa na teknolojia pamoja na wataalamu lukuki lakini hazijafikia kiwango cha kuwa na madaktari wanaozurura mtaani, walimu wanaozurura mtaani pamoja na wauguzi wanaozurura mtaani eti kwa kisingizio cha ajira ni tatizo la dunia nzima

Sekta binafsi ndiyo taa ya uchumi na ajira zetu zaidi ya asilimia 80 ya waajiriwa huko nchi za ulaya ni wale waliopo sekta binafsi.

Mfano anuai ni pale Serikali ilipowatenga walimu wa shule binafsi wakati wa korona huku ikishindwa walau kuwabust wapate mkate wao hali iliyopelekea wengi wao kuona ajira zao kule si za uhakika na pengine wamejitokeza kuomba ajira za serikalini mwaka huu.

Huwezi kunyima pasport raia wako huku ukiwa na tatizo la ajira huo ni upuuzi,
Nchi hii tatizo kubwa ni akili Mgando za viongozi wetu yaani akili zao ni za kufugwa minyororo kuna sehemu unaona kabisa hapa mbona ni akili tu mbali sio yanaenda bali yanapaa.

Kwa kuwa wao wamelewa SHIBE basi vichwa havifanyi tena kazi.
 
Kuna jambo kubwa sana ambalo lingeweza kurahisishwa ili ajira isiwe hisani isipokuwa ajira iwe sehemu ya kujenge uchumi wa kitaasisi.

Nitoe mfano mahsusi, NSSF ni matokeo ya michango ya wanachama na waajiri kila mwezi. Kama taifa liliamua kuwekeza kwenye mkakati ya kuzalisha ajira iwe hasa kwa private sector hii itaongeza tax base na makusanyo ya serikali kukua.

Mapato ya serikali yakikua ni rahisi kuajiri watu wengine hasa kwenye sekta za huduma kwa jamii kama walimu, madaktari, maafisa ugani, afisa mifugo na nafasi zingine.

Uchumi wa kisasa na endelevu unajengwa na sekta binafsi either kwa kuwa na Foreign direct investments au kuwa na ubia kati ya wazawa na watu wa nje/makampuni ya nje ambayo yanaweza kutuhakikishia kuwa na fedha za kuwekeza ili wao wapate interest kwa fedha zao kuwekezwa hapa ndani.

Kuna Watanzania kadhaa nawafahamu wamewahi kupata fursa ya kupata fedha kuwekeza kwenye kuongeza thamani mazao ya kilimo kama chai, kahawa, cocoa na pamba.

Imekuwa ni ngumu kupata dhamana ya serikali ili wakope equipment/technology ambayo itaongeza thamani mazao ya kilimo na kuzalisha ajira wakati huohuo na kuongeza tax base.

TIC imekuwa ni kama certification agency kama BRELA au TRA. Kumbe TIC na BoT wangeweza kutengeneza hata makubaliano ya kisheria (MoU) yenye monetary value ili tuachane na mambo ya kuuza pamba ghafi na twende kwenye kuzalisha nguo na kuuza.

Hili likitokea tutaongeza exports na in the course ajira zinazalishwa.

Tuweni wakweli, sio sifa eti kijana wa masters anaendesha bajaji au bodaboda baada ya kukosa ajira. Sio sifa; imagine tunaendelea kununua chupi na leso wakati tuna pamba ya kutosha toka ndani.

Ili tufike kwa haraka lazima tu-apply diverse sets of thinking ili kupata matokeo endelevu na jumuishi kwa sisi sote.

Otherwise tutaendelea kuja na slogan mpya kila mara, kama kilimo ni uchumi, kilimo cha mapinduzi ya kijani, kilimo kwanza, kilimo biashara, uchumi wa blue ila ukipima matokea in term of cutting down imports na kuongeza exports unakuta hamna kitu au kuna very very minor increment.

Malaysian tunayonunua mafuta ya kula kwao ni kama theluthi ya Tanzania.

Sri Lanka ukubwa wake ni ndogo kuliko mkoa wa Moro, yet ni leading global exporter wa chai na textile pruducts; tofauti yao ni sisi ni namna ya viwanda kuzalisha final consumable pruducts kwa ajili ya soko.

Je, mawaziri wetu kama ni fedha, viwanda, uwekezaji, kilimo na Tantrade wanawaza haya?

We have all it take kutoka hapa kama nchi kama tutaunganisha fikra zetu kuondoa changamoto ya ajira; otherwise kuna baadhi ya wabunge/mawaziri hata hawana uchungu na sense of urgency kushirikiana na Watanzania wengine ili tutoke hapa.
 
Kuna jambo kubwa sana ambalo lingeweza kurahisishwa ili ajira isiwe hisani isipokuwa ajira iwe sehemu ya kujenge uchumi wa kitaasisi.

Nitoe mfano mahsusi, NSSF ni matokeo ya michango ya wanachama na waajiri kila mwezi. Kama taifa liliamua kuwekeza kwenye mkakati ya kuzalisha ajira iwe hasa kwa private sector hii itaongeza tax base na makusanyo ya serikali kukua.

Mapato ya serikali yakikua ni rahisi kuajiri watu wengine hasa kwenye sekta za huduma kwa jamii kama walimu, madaktari, maafisa ugani, afisa mifugo na nafasi zingine.

Uchumi wa kisasa na endelevu unajengwa na sekta binafsi either kwa kuwa na Foreign direct investments au kuwa na ubia kati ya wazawa na watu wa nje/makampuni ya nje ambayo yanaweza kutuhakikishia kuwa na fedha za kuwekeza ili wao wapate interest kwa fedha zao kuwekezwa hapa ndani.

Kuna Watanzania kadhaa nawafahamu wamewahi kupata fursa ya kupata fedha kuwekeza kwenye kuongeza thamani mazao ya kilimo kama chai, kahawa, cocoa na pamba.

Imekuwa ni ngumu kupata dhamana ya serikali ili wakope equipment/technology ambayo itaongeza thamani mazao ya kilimo na kuzalisha ajira wakati huohuo na kuongeza tax base.

TIC imekuwa ni kama certification agency kama BRELA au TRA. Kumbe TIC na BoT wangeweza kutengeneza hata makubaliano ya kisheria (MoU) yenye monetary value ili tuachane na mambo ya kuuza pamba ghafi na twende kwenye kuzalisha nguo na kuuza.

Hili likitokea tutaongeza exports na in the course ajira zinazalishwa.

Tuweni wakweli, sio sifa eti kijana wa masters anaendesha bajaji au bodaboda baada ya kukosa ajira. Sio sifa; imagine tunaendelea kununua chupi na leso wakati tuna pamba ya kutosha toka ndani.

Ili tufike kwa haraka lazima tu-apply diverse sets of thinking ili kupata matokeo endelevu na jumuishi kwa sisi sote.

Otherwise tutaendelea kuja na slogan mpya kila mara, kama kilimo ni uchumi, kilimo cha mapinduzi ya kijani, kilimo kwanza, kilimo biashara, uchumi wa blue ila ukipima matokea in term of cutting down imports na kuongeza exports unakuta hamna kitu au kuna very very minor increment.

Malaysian tunayonunua mafuta ya kula kwao ni kama theluthi ya Tanzania.

Sri Lanka ukubwa wake ni ndogo kuliko mkoa wa Moro, yet ni leading global exporter wa chai na textile pruducts; tofauti yao ni sisi ni namna ya viwanda kuzalisha final consumable pruducts kwa ajili ya soko.

Je, mawaziri wetu kama ni fedha, viwanda, uwekezaji, kilimo na Tantrade wanawaza haya?

We have all it take kutoka hapa kama nchi kama tutaunganisha fikra zetu kuondoa changamoto ya ajira; otherwise kuna baadhi ya wabunge/mawaziri hata hawana uchungu na sense of urgency kushirikiana na Watanzania wengine ili tutoke hapa.
Hiyo NSSF umeweka ya nini kama mfano? Sijaona connection yake.
 
Kuna jambo kubwa sana ambalo lingeweza kurahisishwa ili ajira isiwe hisani isipokuwa ajira iwe sehemu ya kujenge uchumi wa kitaasisi.

Nitoe mfano mahsusi, NSSF ni matokeo ya michango ya wanachama na waajiri kila mwezi. Kama taifa liliamua kuwekeza kwenye mkakati ya kuzalisha ajira iwe hasa kwa private sector hii itaongeza tax base na makusanyo ya serikali kukua.

Mapato ya serikali yakikua ni rahisi kuajiri watu wengine hasa kwenye sekta za huduma kwa jamii kama walimu, madaktari, maafisa ugani, afisa mifugo na nafasi zingine.

Uchumi wa kisasa na endelevu unajengwa na sekta binafsi either kwa kuwa na Foreign direct investments au kuwa na ubia kati ya wazawa na watu wa nje/makampuni ya nje ambayo yanaweza kutuhakikishia kuwa na fedha za kuwekeza ili wao wapate interest kwa fedha zao kuwekezwa hapa ndani.

Kuna Watanzania kadhaa nawafahamu wamewahi kupata fursa ya kupata fedha kuwekeza kwenye kuongeza thamani mazao ya kilimo kama chai, kahawa, cocoa na pamba.

Imekuwa ni ngumu kupata dhamana ya serikali ili wakope equipment/technology ambayo itaongeza thamani mazao ya kilimo na kuzalisha ajira wakati huohuo na kuongeza tax base.

TIC imekuwa ni kama certification agency kama BRELA au TRA. Kumbe TIC na BoT wangeweza kutengeneza hata makubaliano ya kisheria (MoU) yenye monetary value ili tuachane na mambo ya kuuza pamba ghafi na twende kwenye kuzalisha nguo na kuuza.

Hili likitokea tutaongeza exports na in the course ajira zinazalishwa.

Tuweni wakweli, sio sifa eti kijana wa masters anaendesha bajaji au bodaboda baada ya kukosa ajira. Sio sifa; imagine tunaendelea kununua chupi na leso wakati tuna pamba ya kutosha toka ndani.

Ili tufike kwa haraka lazima tu-apply diverse sets of thinking ili kupata matokeo endelevu na jumuishi kwa sisi sote.

Otherwise tutaendelea kuja na slogan mpya kila mara, kama kilimo ni uchumi, kilimo cha mapinduzi ya kijani, kilimo kwanza, kilimo biashara, uchumi wa blue ila ukipima matokea in term of cutting down imports na kuongeza exports unakuta hamna kitu au kuna very very minor increment.

Malaysian tunayonunua mafuta ya kula kwao ni kama theluthi ya Tanzania.

Sri Lanka ukubwa wake ni ndogo kuliko mkoa wa Moro, yet ni leading global exporter wa chai na textile pruducts; tofauti yao ni sisi ni namna ya viwanda kuzalisha final consumable pruducts kwa ajili ya soko.

Je, mawaziri wetu kama ni fedha, viwanda, uwekezaji, kilimo na Tantrade wanawaza haya?

We have all it take kutoka hapa kama nchi kama tutaunganisha fikra zetu kuondoa changamoto ya ajira; otherwise kuna baadhi ya wabunge/mawaziri hata hawana uchungu na sense of urgency kushirikiana na Watanzania wengine ili tutoke hapa.
Umetema madini tupu mkuu. Mawaziri wengi ni weupe kichwani wanawaza Urais na kuifuraisha mamlaka ya uteuzi.

Waige japo kwa JPM akiwa waziri wa ujenzi.
 
Serikali haipuuzi bali serikali imekwama. Imekosa jibu la kitendawili cha ajira. Wanajua fika kuwa tatizo la ajira haswa kwa vijana ni bomu la wakati na linakuja kulipuka baadaye. Enzi za miaka ya 70, 80, mpaka 90 vijana wa mjini waliokosa ajira walikuwa wanakimbia nchi. Wanazamia meli, wanatafuta ubaharia, wanaenda kutafuta maisha nchi za watu. Sasa hivi dunia imebadilika. Hizo nchi za ulaya wenyewe wanalalamika ajira na vipato duni (income inequality). Wamewachoka wakimbizi na wazamiaji wanawafukuza.
 
CCM ni watu wa ajabu Sana ilani inasema ajira milioni nane , tamisemi wsnatoa 6000+ , waombaji 89000+ CCM oyeeeee
 
Kuna jambo kubwa sana ambalo lingeweza kurahisishwa ili ajira isiwe hisani isipokuwa ajira iwe sehemu ya kujenge uchumi wa kitaasisi.

Nitoe mfano mahsusi, NSSF ni matokeo ya michango ya wanachama na waajiri kila mwezi. Kama taifa liliamua kuwekeza kwenye mkakati ya kuzalisha ajira iwe hasa kwa private sector hii itaongeza tax base na makusanyo ya serikali kukua.

Mapato ya serikali yakikua ni rahisi kuajiri watu wengine hasa kwenye sekta za huduma kwa jamii kama walimu, madaktari, maafisa ugani, afisa mifugo na nafasi zingine.

Uchumi wa kisasa na endelevu unajengwa na sekta binafsi either kwa kuwa na Foreign direct investments au kuwa na ubia kati ya wazawa na watu wa nje/makampuni ya nje ambayo yanaweza kutuhakikishia kuwa na fedha za kuwekeza ili wao wapate interest kwa fedha zao kuwekezwa hapa ndani.

Kuna Watanzania kadhaa nawafahamu wamewahi kupata fursa ya kupata fedha kuwekeza kwenye kuongeza thamani mazao ya kilimo kama chai, kahawa, cocoa na pamba.

Imekuwa ni ngumu kupata dhamana ya serikali ili wakope equipment/technology ambayo itaongeza thamani mazao ya kilimo na kuzalisha ajira wakati huohuo na kuongeza tax base.

TIC imekuwa ni kama certification agency kama BRELA au TRA. Kumbe TIC na BoT wangeweza kutengeneza hata makubaliano ya kisheria (MoU) yenye monetary value ili tuachane na mambo ya kuuza pamba ghafi na twende kwenye kuzalisha nguo na kuuza.

Hili likitokea tutaongeza exports na in the course ajira zinazalishwa.

Tuweni wakweli, sio sifa eti kijana wa masters anaendesha bajaji au bodaboda baada ya kukosa ajira. Sio sifa; imagine tunaendelea kununua chupi na leso wakati tuna pamba ya kutosha toka ndani.

Ili tufike kwa haraka lazima tu-apply diverse sets of thinking ili kupata matokeo endelevu na jumuishi kwa sisi sote.

Otherwise tutaendelea kuja na slogan mpya kila mara, kama kilimo ni uchumi, kilimo cha mapinduzi ya kijani, kilimo kwanza, kilimo biashara, uchumi wa blue ila ukipima matokea in term of cutting down imports na kuongeza exports unakuta hamna kitu au kuna very very minor increment.

Malaysian tunayonunua mafuta ya kula kwao ni kama theluthi ya Tanzania.

Sri Lanka ukubwa wake ni ndogo kuliko mkoa wa Moro, yet ni leading global exporter wa chai na textile pruducts; tofauti yao ni sisi ni namna ya viwanda kuzalisha final consumable pruducts kwa ajili ya soko.

Je, mawaziri wetu kama ni fedha, viwanda, uwekezaji, kilimo na Tantrade wanawaza haya?

We have all it take kutoka hapa kama nchi kama tutaunganisha fikra zetu kuondoa changamoto ya ajira; otherwise kuna baadhi ya wabunge/mawaziri hata hawana uchungu na sense of urgency kushirikiana na Watanzania wengine ili tutoke hapa.
We need a burning spirit
 
Sekta binafsi ndiyo mwarobaini wa ajira nchini. Nchi za ulaya pamoja na kuwa na teknolojia pamoja na wataalamu lukuki lakini hazijafikia kiwango cha kuwa na madaktari wanaozurura mtaani, walimu wanaozurura mtaani pamoja na wauguzi wanaozurura mtaani eti kwa kisingizio cha ajira ni tatizo la dunia nzima

Sekta binafsi ndiyo taa ya uchumi na ajira zetu zaidi ya asilimia 80 ya waajiriwa huko nchi za ulaya ni wale waliopo sekta binafsi.

Mfano anuai ni pale Serikali ilipowatenga walimu wa shule binafsi wakati wa korona huku ikishindwa walau kuwabust wapate mkate wao hali iliyopelekea wengi wao kuona ajira zao kule si za uhakika na pengine wamejitokeza kuomba ajira za serikalini mwaka huu.

Huwezi kunyima pasport raia wako huku ukiwa na tatizo la ajira huo ni upuuzi,
Mkuu kama wewe ungekuwa mama Samia ungefanya nini kinyume na wanavyo fanya wao? Tufungue vichwa vyetu.
 
Back
Top Bottom