Viongozi na watawala wakijitahidi kufanya haki, uadilifu na usawa, wanaharakati watakosa kazi ya kufanya.
Wanaharakati ajira yao kubwa inayowakalisha mjini ni udhalimu unaofanywa na viongozi au watawala.
Ukiona hali ya hewa ipo kimya na wanaharakati hawana cha kusema, basi ujue viongozi...