wanaharakati

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MamaSamia2025

    JamiiForums Tanzania Dkt. Janabi na Wanaharakati wa Afya tuache upotoshaji. Nchi ina tatizo kubwa la Utapiamlo na sio uzito wala unene

    Leo ninaandika nikiwa na hasira zilizochanganyikana na huzuni kwa upotoshaji mkubwa unaofanywa na huyu daktari pamoja na madaktari wengine uchwara wanaolazimisha ionekane kuwa nchi ipo kwenye tatizo kubwa la unene uliopitiliza wakati ni kinyume chake. Tumekuwa tukiwasikia msile wanga mara...
  2. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Waliopigania uhuru walipigania ili wajinufaishe. Hata wanaharakati na wapinzani leo wanapambana ili kujinufaisha

    Viongozi wa mapambano ya uhuru walifanya yote yale ili waishi maisha waliyokuwa wanaona wakoloni wanaishi. Waliudanganya umma kuwa wanapigania maslahi ya umma lakini ulikuwa uongo mtupu. Baada ya uhuru wakaishia kujitajirisha wao na familia zao. Wafanya mapinduzi ya kijeshi nao hufanya hivyo...
  3. J

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati na wapinzani mbona kama washamba sana, hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda?

    Mtandaoni kuna picha na video ya muwindaji Mmarekani ambaye ana brag kuua Mamba anayesema ni mkubwa kuliko wote Sasa watu wanaanza kutoa mapovu mtandaoni kuwa Serikali imefumbia macho ujangili kwa kuwa ni mzungu blah blah blah Hivi kweli hawa watu hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda na watu...
  4. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Watoto 85,000 wamekufa Yemen mara 21 zaidi ya Gaza. Wanaharakati mlikuwa wapi?

    They don't care about Muslim lives, it's all about their religion and politics. Ndio maana hakuna alieanzisha trend na maandamano kupinga mauaji ya watoto hawa yanayoendelea katika nchi yenye machafuko baina ya muislam na muislam. Leo ndugu zenu wa hamas wanapigana vita nyuma ya raia wa...
  5. Webabu

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati wa Palestina watoa buriani, wauliza wako wapi majirani zao milioni 315. Na sisi twajiuliza iko ile jumuiya ya OIC

    Buriani kwa sisi waswahili ni maneno ya mwisho ya mtu ambaye amejiona yuko hatua za mwisho kufa na kuiacha dunia. Salamu kama hizo leo zimetolewa kwa wingi kwenye mitandao ya kijamii kama tiktok na miningene amabayo JF huenda haijawezesha kutumika matoleo yao. Mmoja kati ya wanaharakati hao...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Madeleka: Serikali itakuwa inasema uongo wananchi hawajahi kutoa maoni kuhusu Mikataba ya HGA

    Mapambano na CCM hayataki lelemama. Ni Kwa maneno, mwonekano au vitendo? Hakupaswi kuwapo shaka popote. "Ni Mwabukusi, Mdude, Madeleka, Lissu, Slaa, Mwamakula, Ponda, au wa namma hiyo?" Wapi lugha zao zikabadilika? Wapi wasiwepo kwenye mstari wa moto? Wapi wakatishika? Wapi wakaghairi kwenye...
  7. Jaji Mfawidhi

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Responded Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

    Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu. Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ukombozi dhidi ya CCM utapatikana na wanaharakati sio na wanasiasa

    Ni jambo la kheri kuwa wanaharakati na wanasiasa hatimaye wametengana na kila mmoja anapambana na hali yake. Kuvunjika kwa koleo sI mwisho wa uhunzi. Kwani hata nini cha mno kilipatikana tokea miaka 90 hadi leo kwenye muunganiko wa makundi haya? Hadithi zile zile za kuibiwa chaguzi na kutendewa...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Tuzitambue tofauti za vyama vya upinzani (ACT, CHADEMA, CUF, nk) na Wanaharakati

    Vyama vya upinzani na wanaharakati ni makundi mawili tofauti yenye mwonekano wa kufanana lakini kiuhalisia ni yenye kutofautiana sana. Yote mawili hujinasibu kumtumikia mwananchi kwenye agenda za ukombozi, ila yakiwa na malengo tofauti. Kwenye muktadha wa siasa za hapa kwetu, agenda kuu ni...
  10. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Dkt. Slaa na wanaharakati lazima watafute stove ya kujipikia chakula

    Sasa ni mambo gani yanaendelea Mwanza? Wanaharakati wataendelea kutafuta ukumbi wa mkutano au wataamua kuondoka Mwanza? Mimi nadhani wanahitaji kuwa na subira na atatokea mtu atawakaribisha mahali ambapo wanaweza kufanya mkutano. Siyo mkutano wa siku moja tu. Wanahitaji ukumbi wa kufanya...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Wanasiasa, wanaharakati: mnyukano unapotulia

    Ile mirindimo ya makombora mazito mazito kama ya Tora Bora sasa imetulia. DRC wanasema angalau sasa kunaonekana "ukimya." "Ukimya" si amani. Bali kila mmoja atakuwa kwenye kuhesabu wafu wake na kutibu majeruhi. Matokeo ya vita: 1. Kule kuna kongamano kujadili agenda zenye maslahi makubwa mno...
  12. Hismastersvoice

    JamiiForums Tanzania Wanasheria na wanaharakati badilisheni hili, halina faida kwa nchi

    Mtu amempa mimba msichana chini ya umri wa miaka 18 anafungwa miaka 30! Huyu ameua mtu anasamehewa kunyongwa kisa, haki za binaadamu. Nirudi kwa aliyempa mimba msichana, msichana akisha zaa mtoto atabaki na mama yake huku baba hata muona huenda kabisa kwani miaka 30 mama na baba yake...
  13. K

    JamiiForums Tanzania Wanaharakati nendeni UAE kama team ya wataalamu kuomba mabadiliko ya mkataba

    Nashauri wadau badala ya kusubiri serikali kurekebisha mkataba nendeni moja kwa moja UAE na mapendekezo ya marekebisho. Na nina rudia UAE sio Dubai pekee maana tuna uhusiano na UAE kama nchi na sio Dubai. Lakini twende na mapendekezo kabisa ya marekebisho ya mkataba naamini kabisa wataaikiliza...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Mauaji ya Milembe huko Geita ni mauaji kama mengine, wanaharakati acheni uchochezi

    Makosa ya jinai huwa hayabagui dini, rangi, cheo,kazi wala kabila. Mauaji yaliyofanywa na watu wasiojulikana huko Geita ni mauaji kama mauaji ya mengine. Wakulima wangapi wanauwawa huko wanaharakati hamsemi chanzo ni ushoga? Watoto wangapi wanauwawa huko hamsemi ni ushoga? Wafanyabiashara...
  15. Robert S Gulenga

    JamiiForums Tanzania Wakati CCM wanatengeneza safu ngumu ya uongozi, Wengine wanaendelea kufanya mikutano na Wanaharakati Twitter. 2025 watarudi kusema wameibiwa kura

    Mtaji wa chama chochote kinacho taka kushika dola ni Imani ya Wananchi juu ya chama hicho inayojengwa na uwepo wa viongozi bora na wenye utashi. Chama cha Mapinduzi kwa namna kinavyoendesha siasa zake kwa sasa bila shaka wana nia ya dhati kuendelea kushika dola na hili linathibitishwakwa na...
  16. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Uzio wa nyumba usiathiri ukuaji wa mtoto

    Wanaharakati wa haki za watoto kisiwani Pemba, wamewataka wazazi na walezi, wanaomiliki nyumba zilizozungushwa kuta ‘fens’ kuwapa muda watoto wao kuchangamana na wenzao, ili kucheza pamoja, ikiwa ni sehemu moja wapo ya kukuza ubongo wao. Wamesema, njia moja na rahisi ambayo haihitaji gharama...
  17. BARD AI

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya: Wanaharakati wafungua kesi kupinga Mahakama Kuu kumtangaza Rais

    Wanaharakati Koome Mbogo, Michael Asola, na Eric Githinji wamehamishia Pingamizi lao katika Mahakama ya Rufaa ili kuzuia Mahakama Kuu kumtangaza Rais kutokana na kesi za kupinga ushindi wa Naibu Rais William Ruto. Walalamikaji hao hawakuridhika na uamuzi wa Mahakama Kuu kutupilia mbali ombi lao...
  18. MIMI BABA YENU

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya2022 Hakika hakuna cha kujifunza kutoka katika Uchaguzi Mkuu wa Kenya

    Nikiwa napitia katika mitandao mbalimbali ya kijamii nchini niliona baadhi ya wanaharakati, wafuasi na viongozi wa vyama vya upinzani wakidai kuwa Tanzania inapaswa kujifunza kutoka uchaguzi Mkuu wa Kenya. Wakidai kuwa uchaguzi huo ni huru na wa haki. Kwa ufuatiliaji nilioufanya katika...
  19. rammbiro

    JamiiForums Tanzania SoC02 Ongezeko la single mothers na athari zake katika jamii

    ONGEZEKO LA SINGLE MOTHERS NA ATHARI ZAKE BY : RASHID ABUNAYA Email : rashidabunaya@gmail.com Assalaam aleykum ndugu wana jamii, Ni matumaini yangu mu buhery wa afya kwa wale mlio na shida za kiafya basi mwenyezi mungu awafanyie wepesi mpate kupona Ndugu wana jamii, bila shaka ninyi nyote...
  20. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Myanmar: Jeshi lawanyonga Wanaharakati 4 wa Demokrasia

    Wanaharakati wanne wa demokrasia akiwemo Mbunge wa zamani Phyo Zeya Thaw wamenyongwa na jeshi la Myanmar wakituhumiwa kwa mipango na kufanya njama za vitendo vya ugaidi Wanaharakati hao walihukumiwa kifo katika kesi za siri mwezi Januari na Aprili, kwa kituhumiwa kwa kusaidia waasi kupigana na...
Back
Top Bottom