wanafunzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Msingi Namahonga – Tandahimba, Wanafunzi wanakaa chini, mvua ikinyesha madarasa yanavuja

    Miundombinu ya Shule ya Msingi Namahonga iliyopo Kijiji cha Namahonga, Kata ya Maundo, Wilaya ya Tandahimba Mkoani Mtwara ni mbaya kiasi kwamba wakati wa mvua baadhi ya Wanafunzi wanapewa ruhusa ya kubaki nyumbani. Wanafunzi wanasoma wakiwa wamekaa chini, hawana madawati, mara kadhaa...
  2. H

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo akutana na Wanafunzi wa Kitanzania Mauritius; atoa wito wa nidhamu na Uzalendo

    Aprili 13, 2026, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Kombo, alikutana na kuzungumza na wanafunzi wa Kitanzania wanaosoma nchini Mauritius katika Chuo Kikuu cha Middlesex na kuwashauri wanafunzi hao kuhusu maisha yao ya masomo pamoja na wajibu wao wa kuiwakilisha...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Zoezi la kubadili TAHASUSI na kozi za vyuo vya kati kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne lafunguliwa

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu -TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amesema kuwa, zoezi la kubadilisha tahasusi na kozi za vyuo vya kati kwa wanafunzi waliohitimu kidato cha nne mwaka 2025 limeanza rasmi Aprili 11, 2026 na litahitimishwa Mei 10, 2026. Prof. Shemdoe amesema hayo leo Aprili 11...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara

    Viza za biashara na wanafunzi kwenda USA zimesimamishwa : Sio nzuri kwa wafanyabiashara Wakati machawa na ndugu wa Samia wakifurahia mauaji ya vijana wetu wafanyabiashara wa kimataifa hali sio nzuri maana hawawezi kwenda kuongea na wawekezaji au kampuni ubia za marekani na hii inasababisha...
  5. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mradi wa mabasi maalumu kwa wanafunzi chini ya DART

    Kwa muda mrefu, wazazi wamekuwa wakiamka na presha za usafiri wa watoto wao—wakati mwingine mtoto anaondoka nyumbani akiwa na matumaini, anarudi na hadithi ya huzuni tupu. Hata hivyo, nyuma ya pongezi kuna maswali mazito yanayohitaji majibu ya wazi. Kwanza ni suala la usalama ndani ya mabasi...
  6. McLaren

    JamiiForums Tanzania Malipo ya wanafunzi uzinduzi wa Mwenge yalivyozua taharuki pmaoja na malalamiko, Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba akanusha

    Fedha za malipo kwa wanafunzi wa halaiki walioshiriki uzinduzi wa mbio za Mwenge wa Uhuru zimezua sintofahamu, huku baadhi ya wazazi na wanafunzi wakidai kudhulumiwa, wakati Serikali ikitoa ufafanuzi kuhusu kilichojitokeza. Takribani wanafunzi 1,000 wa shule za msingi na sekondari walishiriki...
  7. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu wa Kibiti Boys Secondary School wanachapa sana Wanafunzi, imekuwa too much

    Pale Kibiti Boys Secondary School Mwalimu Mkuu na baadhi ya Walimu wao fimbo imekuwa ni njia ya malezi, hili suala imekuwa too much. Kuna muda Wazazi na Walezi wa Wanafunzi wanaosoma hapo walitoa maoni ya kukerwa na jambo hilo lakini hakuna hatua zilizofanyika, kila kitu kinaendelea vilevile na...
  8. generationn Z

    JamiiForums Tanzania USHAURI: walimu tumieni kishikwambi kukuza ndoto za wanafunzi

    Walimu hasa mlioko vijijini. Najua hali ya ufundishaji ni ngumu lakni hakuna namna, komaeni na hizo kishikwambi angalau kukuza ndoto za vijana mfano kuna Dj arts, kuchora, kuimba nk. Ila zinakufa na walimu wameshikilia hizo vishikwambi mikononi wengi wakizitumia kwa kuangalia movie na...
  9. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi anaenda kinyume na Sera ya Elimu, analazimisha Wanafunzi wasome masomo yote

    Wilaya ya Mbinga Mkurugenzi amelazimisha shule zote za Sekondari kuanzia Mwaka 2025 kuwa Kidato cha kwanza wanatakiwa kusoma masomo yote bila kujali wameyachagua au la, kitu ambacho ni kinyume na Mtaala wa Elimu wa 2014 ulioboreshwa wa 2023. Mtaala huo wa sasa unawataka wanafunzi kusoma masomo...
  10. A

    JamiiForums Tanzania KERO Ubovu wa Barabara unaathiri ratiba ya Wanafunzi wanaoenda Shule Maghweta na Matomondo Mkoani Dodoma

    Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma njia haipitiki, ni hatari jamani warekebishe barabara basi, hata wanafunzi hapo hawawezi kwenda shule. Hali ya ubovu imeongezeka tangu mvua zilipoanza kunyesha takribani mwezi mmoja sasa, Wanafunzi wamekuwa waathirika wakubwa wanashindwa kwenda...
  11. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Arusha DC kuna jambo linastahili kufuatiliwa katika Sekta ya Elimu

    Mimi ni mwalimu wa Shule ya Sekondari katika Halmashauri ya Arusha DC. Hivi karibuni wanafunzi wa kidato cha nne walifanya mitihani ya pre-mock, ambapo kila mwanafunzi alitozwa shilingi 12,000 kwa madai ya kugharamia usahihishaji wa mitihani hiyo. Cha kushangaza na kusikitisha ni kwamba...
  12. A

    JamiiForums Tanzania KERO NSSF boresheni eneo lenu la Kiluvya, lina vichaka, linatumika kama njia kwa Wanafunzi

    Kuna eneo ambalo ni kama pori linalomilikiwa na Mfuko wa NSSF lipo huku Kiluvya kutokea kwa Sumaye mpaka Shule ya Secondary Makurunge, Wanafunzi wanapita mpaka mida ya usiku wakitoka shule na sio salama kwao. Ukiangalia kwenye ramani kuna Barabara kubwa tu iliyo chini ya TANROADS na ni...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kuna Mwalimu anabagua Wanafunzi. Anapendelea wanaoenda ‘tuition’ yake tu Shule ya Msingi Katusa - Sumbawanga

    Kuna mwalimu mmoja anaitwa Nandi, anafundisha Shule ya Msingi Katusa iliyopo Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa anafundisha darasa la tano. Yeye anafundisha tuition kwa shilingi 300 na mtihani 200 lakini shida yake wanafunzi wasipoenda kwa wingi anaotaka anaenda kufundisha mkondo A ambao...
  14. University of Dodoma (UDOM)

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi wa UDOM washinda Girls in ICT Hackathon 2026

    Arusha, 28 Machi, 2026 Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimeibuka mshindi wa Kwanza katika mashindano ya Girls in ICT Hackathon 2026 baada ya wanafunzi wake kushiriki kubuni mfumo wa kuhakiki taarifa kwa kutumia Akili Unde (AI) unaoitwa “Hakiki Scanner.” Timu hiyo iliwahusisha wanafunzi wawili...
  15. Damaso

    JamiiForums Tanzania Mkiwapima wanafunzi mimba pimeni na bikra mjue walioanza ngono ni kiasi gani

    Kuna mjadala mzito unaoendelea katika jamii—mjadala unaogusa utu, haki, na mustakabali wa watoto wa kike mashuleni. Ingawa kuna wakati watu huingiza siasa ila ni jambo nyeti sana katika jamii. Kwa miaka ya hivi karibuni, imekuwa jambo la kawaida kwa baadhi ya shule kufanya vipimo vya ujauzito...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kagera: Serikali iingilie kati, Wanafunzi wa Rubafu Secondary School wanapewa adhabu kali sana

    Kuna shule mpya ya Serikali Mkoani Kagera, Halmashauri ya Bukoba Vijijini inaitwa Rubafu Secondary School ipo Kata Rubafu. Ilifunguliwa ili kuwapunguzia mwendo Wanafunzi wanaotokea Vijiji vya Kyamalange na Rubafu ambao walikuwa wanatembea mwendo mrefu kwenda Katale Secondary School. Mkuu wa...
  17. A

    JamiiForums Tanzania KERO Shule ya Secondary KIUTU haina Maabara, Wanafunzi wanafundishwa kwa nadharia tu

    Mkoani Arusha, Shule ya Secondary KIUTU haina maabara mpaka sasa Machi 2026, form four wanatarajia kuhitimu na shule haina maabara. Haina Walimu wa kutosha, wapo Walimu 10 wa 11 ni Mkuu wa Shule! Hii imekuwa changamoto kubwa sana na ukiangalia form 3 wapo wanafunzi 315, hapo bado form four...
  18. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wanafunzi wa UDOM tukibaki hosteli wakati wa likizo tunalipishwa japo tumeshalipa hela ya makazi

    Wanafunzi wa UDOM tunalipishwa hela ya Makazi tunapobaki wakati wa likizo ingawa tunakuwa tushalipa hela ya makazi (accommodation fees) ya mwaka mzima kwenye direct cost. Sasa swali ni je kama tunalipa hela ya makazi ya Mwaka mzima kwanini tulipishwe wakati walikizo? Au hii likizo haupo kwenye...
  19. E

    JamiiForums Tanzania Stadi za maisha: Elimu muhimu inayokosekana kwa wanafunzi shuleni

    Mara nyingi wazazi wanapochagua shule kwa ajili ya watoto wao, kigezo kikuu huwa ni ufaulu wa kitaaluma. Siku hizi, baadhi ya wazazi wako tayari kulipa ada kubwa ili kuhakikisha watoto wao wanasoma katika mazingira bora, huku wakiachia jukumu la malezi kwa walimu. Kwa upande mwingine, shule...
  20. M

    JamiiForums Tanzania Madaktari, msiwaache wanafunzi kuona wagonjwa wakiwa peke yao, afya ya mtu haijaribiwi wakikosea inaweza gharimu uhai

    Kuna jambo ambalo halizungumzwi sana ila linatendeka sana, hili la wanafunzi madaktari wanapokuwa wapo kwenye mazoezi ni muhimu sana wakawa wanaambatana na madaktari wazoefu au walimu wao ili kuepusha hatari ya wao kufanya makosa kwenye mwili wa mtu. Nakumbuka kuna siku nilipeleka mtoto wangu...
Back
Top Bottom