Mimi ni Mwalimu ambaye nimeajiriwa chini ya mradi wa GPE-TSP Mjini Musoma ambao unasimamiwa na TAMISEMI, tangazo la kuitwa kazini lilitutaka turipoti kuanzia 18/8/2025 na mwisho ilikuwa 31/8/2025.
Walimu wapatao 544 tuliripoti kwa awamu ya kwanza katika vituo tulivyopangiwa, na kuanza majukumu...
Ndugu wasomaji na wanajukwaa naomba mfumo ufiche majina yangu niliyosajilia humu na hili jambo liende public tupate majibu ya serikali.
Tarehe 5 Juni 2025 serikali kupitia sekretarieti ya ajira ilitangaza nafasi za ajira nyingi katika kada mbalimbali, miongoni mwake zilikuwa nafasi 850 za...
Wazazi Huu msimu wa sikuku usitulevye tukavuja Hela za Ada za watoto wetu.
Ndiyo elimu ni Bure bila ada basi changia hata chakula ili mwanao ale shule hapohapo. Kama shule ya mwanao Haina food program basi pendekeza kwa ustawi wa mwanao na shule kwa ujumla.
Baadhi ya wazazi wakishakula Hela...
Good afternoon class
Naomba kuuliza hivi walimu wanashida gani? Maana kwenye hatua zote tatu asilimia 50 lazma watapeliwe
Hatua ya kuomba kazi hapa wanapiga sana, vilio hapa ni vingi mno
Hatua ya kuingia kazini, hapa waliobahatika kupata napo utapeliwa sana wakipata visenti vyao sio na...
Nimeamka na mawazo sana. Yaana wanakata pesa ambayo haihusianai na mkopo kabisa.
Alafu nafika hapo wanajifanya kupigiana simu kana kwamba hawajui huo uhuni
Eti labda system. System gani hiyo ya Crdb tu ndio inachukua pesa zisizo husika.
📢 TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE 📢
Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza.
🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana:
🗣 LUGHA ZA KIGENI
✅ English
✅ French
✅...
Kura yako, haki yako, jitokeze kupiga kura
Moja kwa moja kwenye mada, swala la bikira limekua gumu sana kulipata kwa wasichana wengi katika dunia ya sasa si Tanzania wala popote pale mabinti wanapoteza ubingwa wa makombe yote mawili hata kabla ligi haijaanza.
Sasa basi katika tafiti zangu...
Wakuu habar za asubuhi
Kuna karesearch nimekufanya kwa kuzingatia mambo fulan fulan nimekuja kugundua asilimia karibia 70 ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa kuchapiwa wake zao ni walimu.
Pia asilimia 90+ ya wafanyakazi wa serikali wanaongoza kwa usimp ni walimu.
Yani wao kugongewa wake...
Kwenye ile clip ya Muliro na Mafwele, Mafwele ametamba na kutoa idadi ya wanajeshi wa JWTZ waliowateka ambao bado wanawashikilia, akawataja idadi ya madaktari waliowateka na kuwashikilia, akataja idadi ya walimu waliowateka na kuwashikilia, amewataja wahasibu waliowateka na kuwashikilia...
Walimu saba kati ya 12 wa Shule ya Msingi Isenegeja, Kata ya Mwisi, Wilaya ya Igunga mkoani Tabora, wameondolewa kazini kufuatia kifo cha mwanafunzi William Kapingu (12), aliyefariki dunia baada ya kuzama kisimani alipokuwa akichota maji kwa maagizo ya walimu.
Wakazi wa eneo hilo waliwakataa...
Mkoa fulani umeachia majina ya watakaosimamia Uchaguzi Mkuu 2025.
Wengi wao ni walimu. Watafanya interview kuanzia week inayoanza jumatatu.
Oktoba imeanza kuchangamka
Nimekutana na mwalimu wangu wa shule ya msingi kwa sasa ni mstaafu ila mpaka jina langu kaniambia.
Walimu wanakipawa gani kujua watu na kila siku wanapokea idadi mpya ya wanafunzi.
Nipo zangu Nachingwea! Ajira mpya lakini bado hatujalipwa lakini hainizuii Oktoba kutiki.. nitatiki miye japo najua watu wale wanakeleka. Na bado! Mpwayungu Village tusemee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.