wakristo

  1. Mafyangula

    JamiiForums Tanzania Sheikh Hemed Jalala awatakia Wakristo Heri ya Krismasi

    Sheikh Mkuu wa Jumuiya ya Shia Tanzania, Sheikh Hemed Jalala, amewatakia Watanzania wote, hususan waumini wa dini ya Kikristo, heri ya Sikukuu ya Krismasi inayoadhimishwa duniani kote kama kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Mwokozi wao, Yesu Kristo. Akizungumza katika salamu zake za sikukuu kwa mwaka...
  2. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Nilikua sijui kuwa kuna wapalestina ni wakristo

    Baada ya juzi kupitia mtandaoni, nikaona WAPALESTINA wakristo wakijiandaa na sherehe za xmass nika shangaa hii kumbe Kuna WAPALESTINA wakristo, swali wanaishije na waislamu au wanaishi Israel?
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nafurahishwa na vita ya maneno mtandaoni kati ya wakristo na Waislamu

    Kwa siku kadhaa kwenye nchi hii nimeshuhudia vita ya kimaneno katika watu wa imani ya kikristo na kiislamu na tena leo vita imechagizwa baada ya yule shekhe barahiyan kusema marufuku waislamu kula chakula cha krismasi kiukweli ukiona comment za wachangiaji wakristo na Waislamu nabaki nacheka na...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwa wasabato; Je, Wakristo waliouawa na kuteswa kikatili na dola ya Warumi karne ya 2, 3 na 4 walikuwa wa dhehebu gani?

    Habarini wapendwa wote. Moderator naomba sana uzi huu uwe huru tafadhali Ni swali la msingi la kuweka sawa kumbukumbu za kihistoria
  5. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Nimeona wanaharakati wakiitisha tena maandamano D25. Hebu tuwe serious kidogo, hii ni siku muhimu kwa wakristo wote!

    Kweli mpo tayari kufungiwa ndani hadi Christmas?? Kisa harakati za kisiasa? Aah hapana, mimi binafsi napinga kwa nguvu zangu zote hili jambo kwa siku hiyo. Hebu tuache sikukuu ipite kwa amani kwanza ndio mengine yaendelee.
  6. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Wakristo, na hasa Wakatoliki kaeni chonjo. Anawamaliza wote!

    Makamu wa Rais hajulikani yupo wapi na yupo kwenye hali gani. Siku chache zilizopita Masheikh waliotumwa walimsema wazi mbele ya Camera na kumuhusisha na TEC. Haikuwa bahati mbaya Waziri Mstaafu Godfrey Mwambe yupo kizuizini kuhusishwa na Ukatoliki wake na ukaribu wake na Nchimbi. Leo Jenista...
  7. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Waislam kubalini Wakristo wamewazidi katika maeneo mengi nyeti. Kama haya kisha mjifunze

    Hamjambo! 1. Waislam ni kama Kaini kwa ndugu yake Habil. Wanaona wivu na kuwa na hasira na maendeleo ya Wakristo. 2. Mimi kwa upande wa Baba ni Waislam. Mara yangu ya Kwanza kuingia msikitini nilishangaa Sana. Waislam wengi hawajaujenga uislam kama taasisi. 3. Unaweza kuingia msikitini Siku...
  8. Life2

    JamiiForums Tanzania Wakristo mmejipangaje kusimama na watumishi wenu?

    Mpaka sasa dini ya haki imeshajulikana ni ipi neno HAKI ni neno hatari sana kwa watawala wanyonyaji, wauaji, wanyanganyi, wezi wa kura...nk Hawataki kusikia msamiati haki ukitamkwa mbele za watu, mbele za watanganyika wapenda haki. Kwa Tanganyika yetu ya leo ukijaribu kutetea haki wewe ni adui...
  9. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Moja ya sababu ya Marekani Kutathimin Uhusiano na TZ ni "Ukandamizaji wa Uhuru wa Kuabudu/Shughuli za Kidini Kwa Wakristo"

    Mwambieni Samia, Marekan inaposema Ukandamizaji wa KIDINI , Huwa inazungumzia UKRISTO. Na Kwa Nchi yetu, Mkristo pekee anayesumbuliwa na Serikali Kila Kukicha ni CATHOLIC . Sambamba na Kanisa la Ufufuo na Uzima, ila CATHOLIC Hawa ndio wamefanya Marekani àzungumzie hivo. Marekani na Ulaya...
  10. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Pamoja na mambo mengine Marekani imesikitishwa na ukandamizaji wa wakristo nchini Tanzania chini ya Samia

    GT Marekani imesikitishwa na mambo mengi nchini Tanganyika. Moja ya jambo muhimu wanalosema ni ukandamizaji wa wazi wa dini ya kikristo. Siyo siri wana taarifa zote namna samia navyojaribu kutumia uislamu kukandamiza haki na uhuru qa kujieleza nchini Tanzania. Mauaji. Utekaji na utesaji...
  11. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Wagalatia Vs Serikali Nzima, Wavaa kobazi Vs Wagalatia. Wala tende kila jambo wanaligeuza la kidini

    Miongoni mwa mambo yanayoshangaza ni namna wala tende walivyogeuza jambo la mauaji ya wananchi siku ya maandamano kuwa ni vita dhidi ya wagalatia. Ukisikiliza hotuba za Wagalatia utagundua kuwa wao hawashambulii dini ya mtu, wanashambulia mambo yanayotendwa na serikali nzima, ambayo Mama...
  12. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wahadhiri wa Kiislam: Eti uhai wa watu ni bora zaidi kuliko mali, mmh! Hakuna mali ya mkatoliki iliyochomwa, zimechomwa za waislam na wakristo wengine

    Huyu Sheikh amempinga Dkt. Kitima kuwa uhai wa watu si bora kuliko mali, laiti zingechomwa mali za wakatoliki wasingesikia matamko kutoka TEC, ila kwa sababu mali zilizochomwa ni za Waislamu na Wakristo wa madhehebu mengine ndio maana matamko. Ameongeza kuwa kama mali za Wakatoliki...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Mwananchi: Sheikh gani unasimamia uovu, Wakristo ni ndugu zetu kujeni kivingine hili lishadunda

    Baaaas dada kamaliza mjadala kabisa Hawa watu wamezoea kuona watanzania kuwa wa kimya hawajui karne hubadika kisha watu na mitazamo yao pia hubadilika, Walidhani wakileta masuala ya dini basi wakristo na waislamu tungeanza battle la kiimani, imegeuka kuwa battle kati ya misimamo na umoja wa...
  14. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Shekhe: Waislamu na Wakristo katika nchi hii ya Tanzania udugu wao ni wa kale

    Waislamu na Wakristo katika nchi hii ya Tanzania udugu wao ni wa kale; mapenzi baina yao ni ya muda mrefu, na hata ushirikiano wao umejengwa katika misingi ya amani na heshima kwa vizazi vingi. Qur’an Takatifu inatukumbusha: ‘Na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja, na sisi ni wenye kunyenyekea...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Wakristo wa jamiiforums As-salamu alaykum, Waislam wa Jamiiforums Tumsifu Yesu Kristo

    Wakristo wa Jamiiforums Assalam Aleikum, msimu wa Christmas Mubarak unakaribia, INSHALLAH tutaalikana na kuufinya pamoja wali mchafu kama ilivyokuwa Eid kwa miaka mingi sana.
  16. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Uamuzi wa Waislamu na Wakristo baada ya jaribio la kugombanishwa

    Baada ya watu fulani kutaka kutugombanisha Watanzania kwa kutumia UDini, huu ndio uamuzi wa Waislamu na Wakristo nchini. Kuanzia sasa, salamu za Merry Christmas tutakuwa tunatakiana kwa kusema "Christmas Mubarak" na salamu za Idd Mubarak tutatakiana kwa kusema "Merry Idd". Mimi ni...
  17. T

    JamiiForums Tanzania Naomba tuwapuuze baadhi ya waislamu na wakristo wanaotaka kutuharibia maandamano yetu ya Disemba 99

    Ndugu wana jamvi na hasa vijana kama mimi Gen Z. Najua CCM inafanya kila liwezalo kuzima moto wa Gen Z. Ndo maana unaona wanatumia baadhi ya waislamu na baadhi ya wakiristo wanaoweza kushawishika/kununulika kirahisi. Hawa watu hawajuhi kabisa sisi vijana magumu tunayopitia. Naomba ieleweke...
  18. U

    JamiiForums Tanzania Haina shaka yoyote kuwa, waislamu wameamua kufanya vita na Wakristo. Nukuu za tamko, kutetea ukatili wa Samia zinathibitisha hili!

    👉Kuna kikundi fulani cha waislamu wajinga wafia dini wanaojiita "Wahadhiri wa DINI ya Kiislam" wameanzisha vita dhidi ya Ukristo kupitia (Wakatoliki & TEC). Ni wajinga hawa. Hawajui kuwa Rais Samia anakosolewa si kwa sbb ya dini yake. Watu hatuoni dini ya mtu pale ikulu. Tunayemuona ni Rais...
  19. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania TEC na Wakristo na Waislam Safi hakuna Kurudi Nyuma : Tuliposema Maridhiano kabla ya Uchaguzi, walitubagaza, Wamepora Uchaguzi wataka Maridhiano!

    Hakuna Hakuna Hakuna MARIDHIANO baada ya Mauaji ya Halaiki, HAKUNA HAKUNA !!.
  20. Chibike

    JamiiForums Tanzania Je Kuna kipindi ambacho WAKRISTO na makanisa wamepitia nyakati ngumu kama hivi Sasa?

    Leo hii wachungaji, manabii, maaskofu wengine mapadri wanatekwa na wengine wamefanikiwa kukimbia nchi... Makanisa yamefungwa baadhi, haya naskia hata kwenye Ibada wametumwa watu waovu ndio hao mnawaita wasiojulikana kwenda kusikiliza mahubiri ili kusudi kama ni kukosoa ama kuhubiri Haki na...
Back
Top Bottom