Mungu angalii mavazi au jinsi ulivyo Mungu ana angalia moyo wako unaweza kuwa unavaa
Unavyopenda na Mungu akakutumia , jikite kuwa mtu mwenye upendo, utu, kusamehe, kusaidia ayo ndio mambo ya msingi .
Mavazi sio dhambi kama watumishi wengi wanavyosema Mungu ana angalia moyo ,
Watumishi...