wako

Wakō (和光市, Wakō-shi) is a city located in Saitama Prefecture, Japan. As of 1 January 2021, the city had an estimated population of 84,161 in 42,434 households and a population density of 7600 persons per km². The total area of the city is 11.04 square kilometres (4.26 sq mi).

View More On Wikipedia.org
  1. Robert Heriel Mtibeli

    Ongeza Testosterone zako kwaajili ya nguvu na mamlaka ya uanaume wako

    ONGEZA TESTOSTERONE ZAKO KWAAJILI YA NGUVU NA MAMLAKA YA UANAUME WAKO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. 1. Kadiri testosterone zako zinavyoshuka ndivyo nguvu na mamlaka yako inavyodondoka chini. 2. Kutojiamini kunaongezeka. Mwanaume mwenye testosterone ndogo(zilizochini Sana) hata kiwango...
  2. The Father of All

    Nani wako kwenye msafara wa Rais Dubai? Au kuna sura tunafichwa tusijue uhusiano wao?

    Rais samia ameondoka nchini kwa kificho. Hatujui anakwenda kukutana nani, atakaa siku ngapi na ameandamana na nani. Ni ajabu. Kwanini tufichwe wakati anatumia fedha zetu mbali na kutumia jina letu maana anakwenda kule eti kutuwakilisha wakati anajiwakilisha? Huu nao ni ufisadi wa kimfumo...
  3. Poker

    Valentine imekaribia, ungependa member gani awe valentine wako?

    Februari 14 sio mbali sana, kama ungepata nafasi ya kumchagua mtu wa kuwa naye hiyo siku ya valentine ila kwa sharti awe member wa Jamii Forums, je? Ungemchagua nani na ungependa kwenda naye wapi kurelax.
  4. jamaikatz

    Ni kitu gani hutamani mtoto wako apitie kwenye maisha ?

    Ni kitu gani hutamani mtoto wako apitie kwenye maisha ?
  5. uhuruborn

    Kuuza Dhahabu ya Taifa: Wezi wakikosa Fedha, Huuza Urithi wa Watoto Wako

    Uamuzi wa kuuza sehemu ya hazina ya dhahabu ya Tanzania si mpango wa kiuchumi. Ni tamko la kushindwa kwa dola. Ni kukiri wazi kwamba serikali imeshindwa kuendesha nchi kwa uadilifu, imeshindwa kudhibiti wizi, na sasa imeamua kuuza urithi wa taifa ili kuendeleza mfumo wa ulaji wa wachache...
  6. Desierto

    Chakula gani unatamani mtoto wako akipende lakini hakipendi?

    Mimi Kuna chakula watoto wangu nimepambana mpaka wamekipenda na kukizoea Mfano. Bamia na baadhi ya matunda watoto walikuwa hawapendi ila kwa sasa nimewazoeza na wanakula balaa.
  7. a sinner saved by Christ

    Mke kama msaidizi wako

    Mwa 2:18 BWANA Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye. Mk 10:8 na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja. Kila mtu ana maamuzi yake na mtazamo wake na mapenzi yake na uhuru katika kufanya mambo yake bila...
  8. jamaikatz

    Baada ya kuachana na ex wako ulifanya nini ili kulipiza kisasi 🤔

    Ulifanya nini ili kulipiza kisasi baada ya kuachana na ex wako 🤔
  9. canular

    Pigo lako, kupotea kwako na uwe mwisho wako

    Kwa jina la Utatu Mtakatifu, nakusihi na kukuapiza, samia suluhu hassan wewe muuwaji, mwanamke, kwa jina la Mungu ajuae yote, kupitia Aroni kuhani mkuu, ambaye kwa msaada wake nawashinda na kuwatiisha mashetani wote; hii ijulishwe kwako, Moloch, na pia Lucifer atatumwa, na vilevile Mt. Mikaeli...
  10. M

    Jihadhari dhidi ya hao unaowatambulisha kwa bosi wako kwani kesho ndio watarudi kimya kimya kukuchoma

    Ubinadamu haupo kwa kila mtu kuna wengine kimaumbile ni watu lakini ndani ni wanyama wakatili sana pengine zaidi hata ya hao wanyama mwitu. Ukilitambua hilo utakuwa makini sana kwa sababu furaha yako itamaliza na mtu ambaye ulitarajia mazuri kwake . Leo hii unaweza kutumia mtumbwi wako...
  11. Waufukweni

    Je, ni sahihi kuwaeleza wazazi wako kiasi cha mshahara unachopokea?

    Wakuu, nimepata kazi! 🎉 Lakini baada ya furaha yote, dada yangu ameniambia kuwa ni lazima niwaambie wazazi wetu kiasi cha mshahara wangu ninachopokea. Akaniambia, “La sivyo, itaonekana unawadharau.” Hapo ndipo swali moja lilipoanza kuzunguka kichwani mwangu… Hofu imenijia: je, ni sahihi...
  12. Sigonella Island

    Wazee wa kupiga deki hakikisha hili kwa usalama wa afya yako

    Haya wale wazee wa kutafuta ujiko kwa kufyonza bakteria na chembechembe za nnyaa.... Jambo la kuzingatia huyo mwanamke msafi au papa yake anajua kuitunza au ndio harufu ya samaki kama tupo ferry. Inakata stimu unapukua faragha upo na pisi inaita kwa nje kwa ndani harufu ya papa kama kaficha...
  13. Don YF

    Tetesi: Mbona Watanzania wengi wako na roho chafu towards Kenya? Ni ukweli wamefunzwa chuki?

  14. R

    My reasoning is simple and clear: Kama hueshimu "sovereignty " ya watu wako, then dunia yenye akili inabidi isiheshimu sovereignty yako

    Wanalalamika kuwa oh sovereignty ya Venezuela imekiukwa. Madulo alikuwa haheshimu sovereignty ya watu wake, why dunia yenye akili iheshimu sovereignty yake? Unaua watu uili ubaki madarakani, WHATEVER COMES TO THEIR RESCUE IUNGWE MKONO. Kisingizio cha sovereignty of Venezuela collapses...
  15. C

    Kujificha kwenye kofia ya "HII NI NCHI HURU HATUWEZI KUINGILIWA "halafu unaua wananchi wako kama mbwa! Lazima utolewe kwa nguvu tu hakuna namna

    Linaiva jikoni linasubiri kupakuliwa tuu! Hakuna uhuru wa kuua raia wako namna ile tena raia asiye hata na panga halafu usimame kujifanya oooh! Hii ni nchi huru wasitupangie nyokoooo , utatolewa kwa aibu uhuru wa nchi na nchi kuwa huru sio kofia au tiketi ya kuua raia wako hovyo hovyo hata kama...
  16. M

    Unaweza kumsamehe mtu aliyekuibia na kukuulia wanafamilia wako?

    Naombeni tusaidiane Unaweza kumsamehee mtu aliyekuibia haki yako ya kupiga kura,na bado akakuulia wanafamilia wako waliokuwa wanadai haki na bado asikukabidhi mili yao akaitupa kama mizoga Haki ya Mungu sitakuja kumsamehe mtu kama huyu, mbona Tundu Lissu hamkumsamehe kipindi kile
  17. R

    Rais Samia unaitisha maridhiano wakati huo huo unambambikia kada wako mtiifu Godfrey Malisa kesi ya kubumba ya uhaini! Are you serious na maridhiano?

    Rais wangu, kwa heshima na taadhima kubwa, Unaonekana ni mzaha na dharau! Dhamira ya kweli na common sense tulitegemea watu wote wenye kesi za kubumba wawe huru ukianza na Lisu, angalau kwa mbali kuwa umeanza kubadirika! Utekaji, uuaji, upotezwaji, ulawiti, ufiraji, ubakaji bado uko pale...
  18. ELI COHEN

    2026, kuna viakaunti vingi humu vitachangia mambo ya kuudhi au pengine yasio kuwa na utu. Visikutoe katika reli, utu wako ni zaidi ya mitandao.

    🎉Cheer up. LIVE TO THE FULLEST🎊
  19. R

    Mwigulu kuna kesho, tenda haki itakulinda wewe na uzao wako

    Kwa kifupi nafasi yako kwa siasa zetu ni Nyeti. Itumie kuleta HAKI. Watetee wahanga wa D29, wape faraja Jitenge na adhabu ya Munhu wako! Mauaji haya yalikuwa.makubwa! ITUMIE KUITETEA TANGANYIKA ( ingawa kipengele hiki ni kigumu) Jiepushe na upofu wa kutoona kuwa hapa HAKI inavunjwa...
  20. Castle_Lite

    Kutambua Kama mtoto ni wako kwa kutumia Blood Group

    Ukiacha DNA test ambayo ni ghali na yenye process nying. Unaweza kujua Kama mtoto ni wako au umesingiziwa kwa kutumia Blood group. Iko hivi. Blood group ziko 4. A au AO B au BO AB (au A na B) O Zinaweza zikawa positives au rare case negative blood group. (Rhesus factor) Kila mtu anabeba...
Back
Top Bottom