wakenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Wakenya wameamua kuikomboa Tanganyika ilokaliwa kwa mabavu na Zanzibar huku Watanganyika wenyewe wakishangaa tu

    Watu wazito sana wameingia Tanganyika kutokea Kenya Sitaki kuamini kuwa hawakuwa na barakaza ikulu ya Nairobi serikali ya Kenya inajua yote kuhusiana na wana harakati wake kuanzisha harakati ya kuipinga serikali ya maguvu ya CCM Katika mambo yalioitisha sana serikali ni hili jambo Wanajua...
  2. ngara23

    JamiiForums Tanzania Wakenya wanatuona Watanzania kama mazuzu

    Baada ya serikali kuzuia wanaharakati wa Kenya kuingia Tanzania kuhudhuria kesi ya Mwenyekiti wa chadema Tundu Lissu, Wakenya wamekosoa tu Wanasema 1. Tanzania tunajivunia mahindi 2. Watanganyika ni marehemu na Kamwe hawataamka kudai haki zao 3. Watanzania hatujui Kizungu kama wao 4. Tupo...
  3. BLACK MOVEMENT

    JamiiForums Tanzania Kwenye vita ya Social medias hakuna wa kushindana na Wakenya hapa Afrika, Wanaijeria na ujanja wao huwa wanapigwa

    Vita na Wakenya kwenye social media hatutaiweza wale jamaa ni next level kwenye media ukisia google, Meta wana offisi kule Nairobi jua sio kwa bahati mbaya ni wanajua fika nguvu za Wakenya. Serikali wala haina watu wa kuweza kushindana na Wakenya kwenye social media na mbaya zaidi Watanzania...
  4. Prof_Adventure_guide

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Samia vs Wakenya: This Ain’t It, Mama – Fedhea kwa Taifa, Not Classy at All!

    Yaani kweli kabisa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania anasimama hadharani, bila aibu, bila busara, na kusema Wakenya ni watovu wa nidhamu? For real? That’s messed up! Mama Samia, hii siyo njia ya kuongoza taifa lenye watu wazima, wasomi, na wenye fikra huru. Hawa Wakenya uliowazodoa...
  5. Elly official

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakenya, Acheni Kufuatilia Siasa za Tanzania na Kuitusi Nchi Yetu na Kiongozi Wetu

    Kumekuwa na mwenendo unaotia wasiwasi katika mitandao ya kijamii, ambapo baadhi ya Wakenya wamejipa mamlaka ya kuingilia na hata kudhalilisha masuala ya ndani ya siasa za Tanzania. Hili si jambo geni, lakini linalotia huzuni zaidi ni pale tunaposhuhudia matusi ya waziwazi, dharau na kejeli dhidi...
  6. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Ukarimu, upole na ukimya wa Watanzania siyo ujinga, Wakenya tuheshimiane

    Tunawakaribisha waKenya na wana Africa Mashariki wote kwa ukarimu, upendo na heshma kubwa sana Tanzania. Lakini pamoja na hayo, ni lazima utaratibu wa kisheria na ustaarabu wa kimataifa ufuatwe na kuzingatiwa vilivyo. Njooni mfanye mambo yenu ya kiuchumi na kijamii kistaarabu kama ambavyo...
  7. S

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Wakenya huku mitandaoni hakutoshi. Sijui kama watawala wanaweza hata kuvumilia yanayoandikwa kuwahusu wao

    Huko kwenye mtandao wa X, Wakenya wamekuja juu na lugha kali ambazo nahakika watawala walikuwa hawajazizoea na sidhani kama wanaweza kuvumilia kusoma yanayoandikwa juu yao. Kwa kifupi, kama kuna watu huwa wanasema watanzania huwa wanaandika lugha chafu mitandaoni, basi wakajifunze kwa Wakenya...
  8. Benson Mramba

    JamiiForums Tanzania Mdogo mdogo tunawauzia Wakenya Ugomvi

    Kesi za Lissu zimeanza kuchukua sura ya Mama anayempiga mwanae kwa kumuonea hadi majirani waneamua kuja kumtetea mtoto ambaye sio wao. Inakubalika kama mzazi ni muonevu. Na uonevu ukizidi majirani huwa wanaamua kununua ugomvi kama mbwai inakuwa mbwai tu kwani nini!?
  9. Z

    JamiiForums Tanzania Tuwe makini kuna wimbi la wakenya wameingia nchini kwa lengo la kufanya uchochezi na fujo kwa lengo la kuharibu amani ya nchi yetu

    Vyombo vyetu vya ulinzi na usalama wawe makini na raia wa kigeni wanao ingia nchini katika kuelekea uchaguzi mkuu, wengi wao ni Wakenya ambao ni wazoefu wa kuhamasisha vurugu wapo wengi sana. Na baadhi yao ni wataalamu wa IT wanafuatiliwe kwa makini hadi chooni. TCRA kuweni macho, wadukuzi...
  10. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Kenya imeamua kulivalia njuga suala la Lissu, wakenya walinusuru maisha yake na Sasa wanapambabia uhuru wake. Mungu hutumia wageni kuleta amani nyumba

    Wakuu si jambo la kushangaza kwa hiki kilichopo hapa nchini maandiko yanasema kuwa Mungu huwatumia watu wengine kuleta amani. Wakati taifa letu likiwa linapitia katika kipindi Cha majaribu makubwa ya haki, uongozi na utu jirani zetu Kenya wameonesha kuguswa na mateso yetu. Sina mambo mengi Hilo...
  11. Genius Man

    JamiiForums Tanzania Kenya inapaswa kuiwekea vikwazo mamlaka za Tanzania kutoingia nchini humo ili kushinikiza haki za kusafiri za wakenya nchini zinafatwa

    Kenya inapaswa kuiwekea vikwazo mamlaka za Tanzania kutoingia nchini humo ili kushinikiza haki za kusafiri za wakenya nchini zinafatwa. Kuna idadi kubwa sana ya wakenya wamezuiliwa kuingia nchini kwa sababu zisizo za kisheria ikiwemo viongozi wa juu kwa kenya hili haikubaliki hata kidogo.
  12. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania CHADEMA yaita Watu wote Duniani kuhudhuria Kesi ya Tundu Lissu Mahakamani

    Taarifa iliyosambazwa na Chama hicho kote Duniani hii hapa Kwa Wale wasiojua Kiswahili nyingine hii hapa
  13. M

    JamiiForums Tanzania Wakenya walitusimanga sana na SGR yao, sasa wanakiona cha moto

    Tanzania ikiwa chini ya utawala wa Rais Kikwete na wakenya wakiwa chini ya Rais Uhuru mwaka 2013 wakazindua treni ya haraka (SGR) inayotumia dizeli na kuifanya Kenya kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya kati kuwa na treni ya mwendokasi, basi na kwa jinsi wakenya wanavyopenda majivuno...
  14. R

    JamiiForums Tanzania Kwa jinsi mfumo wa uongozi ulivyo Tanzania, nadiriki kusema hata Wakenya waliobobea kwenye siasa za mabadiliko wasingeweza kuking'oa chama tawala

    Mfumo wa Tanzania umekita mizizi kwenye dola na mihimili mikuu ya nchi. Mageuzi hayawezekani kirahisi kama kwa majirani zetu. Nchi inaongozwa zaidi na mfumo kuliko watu UONGOZI WA MIKOA / WILAYA Tanzania: Wakuu wa mikoa & wilaya wanateuliwa na mfumo. Wana nguvu kuliko wabunge wanaotakiwa...
  15. Yoda

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Rais Ruto wa Kenya alalamika ni vigumu sana kusifiwa na raia wa Wakenya!

    It is very rare to get compliments from Kenyans - President Ruto
  16. Dr Akili

    JamiiForums Tanzania Sheikh Mwaipopo: Watanzania siyo wakenya

    Msikilize hadi mwisho, utajifunza na kuacha mihemko ya kutaka kuingilia kesi iliyoko mahakamani. https://youtu.be/ZU3LGBjghAw?si=YC8lt5lASFFSCzIB
  17. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Chief GodLove ulikuwa huwajui Wakenya naona sasa utawajua kwa Nguvu yao ya Kimtandao. Pole kwa Kufungiwa TikTok Account yako

    Kuna siku nilikuja na Uzi hapa JamiiForums wa kuulizia huyu Chief GodLove ni nani ukafutwa haraka sana na sijui kwanini.
  18. Raymanu KE

    JamiiForums Tanzania Wakenya Bana😂

  19. Camilo Cienfuegos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania “ Ruto must go “ walisikika Wakenya wakati wa mechi yao dhidi ya Gabon, huku Mbunge akifurushwa na mashabiki uwanjani

    Leo jioni pale Nyayo Stadium, kulipigwa mchezo wa kufuzu kombe la dunia mwaka 2026 kati ya wenyeji Kenya Vs Gabon. Kabla, wakati na baada ya mechi Wakenya wengi walisikika wakiimba kwa sauti, “Ruto must go” wakijaribu kupaza sauti kutokana na kutokukubaliana na utawala wa Rais William Ruto...
  20. Wakusoma 12

    JamiiForums Tanzania Wakenya wapo tofauti sana mbali na ukabira lakini wapo far more ukilinganisha na Tanzania

    Katika wakati wa majaribu na changamoto, mshikamano wa Wakenya umejidhihirisha kwa nguvu na uzuri wa kipekee. Kesi ya Margaret Nduta Macharia, Mkenya aliyekamatwa nchini Vietnam kwa tuhuma za ulanguzi wa dawa za kulevya. Nduta, mwenye umri wa miaka 37, alikamatwa Julai 2023 katika Uwanja wa...
Back
Top Bottom