Nafikiri nafaa kuuliza swali labda mimi ndiyo sielewi, neno mazungumzo na waandishi wa habari ambalo watu wangu maarufu hapa tanzania wanalitumia kujibu hoja, kutoa malalamiko juu ya swala flani, nini maana yake?
1. Nikuwa mtu anaita tu watu halafu anazungumza anachojisikia mbele ya vyombo vyao...