waandishi wa habari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    JAB: Vyeti feki vya Waandishi wa Habari vilivyoletwa Ithibati tunavikabidhi Polisi

    Akizungumza kwenye Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Habari Kanda ya Mashariki Kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, Wakili Patrick Kipangula ambaye ni Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) amesema kuna baadhi ya Wanahabari wameweka vyeti feki katika mfumo wa kujisajili ili kupata...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Waandishi ambao hawajasajiliwa JAB marufuku kuripoti Uchaguzi Mkuu

    Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), Wakili Patrick Kipangula, ametoa onyo kali na kupiga marufuku waandishi wa habari ambao hawana ithibati kutoripoti kabisa uchaguzi mkuu kwani kufanya hivyo ni kosa la kisheria. Amesema kuwa ni kosa la kisheria kwa mwandishi wa...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 TCRA yawataka Waandishi wa Habari kukemea vurugu Uchaguzi Mkuu 2025

    Meneja wa Huduma za Utangazaji kutoka Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Mhandisi Andrew Kisaka, amewataka waandishi wa habari kuwa mstari wa mbele kukemea vurugu na migogoro yoyote itakayojitokeza wakati wa Uchaguzi Mkuu wa 2025 badala ya kushiriki kwa njia ya kuripoti au kuchochea...
  4. Carlos The Jackal

    GE2025 Kikao Cha Serikali na Waandishi habari, Kumbe wanataka Waandishi habari warushe Matukio ya Vituo vya WanaCCM Mamluki wakipiga kura

    CCM hii ya mbumbumbu wakidhani wanahadaa Umma na Jumuiya za Kimataifa. Wanaendesha Kampeni chini chini na Waandishi wa Habari wa Main Media na Hawa Akina Jambo TV ,MillardAyo ,n.k Mpango upo hivi .. Wapiga kura wanaojulikana ni Wanaccm , walipangwa kusombwa na MaBus na Malori kutoka Kituo A...
  5. DuaZaMama

    GE2025 Kabudi: Waandishi wa habari jiepusheni na habari za uchochezi, na upendeleo kipindi cha uchaguzi mkuu

    Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akifungua Mafunzo ya Waandishi wa Habari na Utangazaji Kanda ya Nyanda za Juu Kusini kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Mwaka 2025 tarehe 18 Agosti 2025 katika Ukumbi wa City Garden, jijini Mbeya
  6. JOHNGERVAS

    Natafuta waandishi wa habari au watangazaji wawili wenye Diploma

    ENEO LA KAZI MBEYA KAZI KUTAFUTA NA KUANDAA HABARI VOICE OVER,NK MSHAHARA MAKUBALIANO YETU tUma cv yako pamoja na vyeti vya taaluma josefevafeva@gmail.com Nimongeza Muda wa Kuomba tena, Hata kama Upo kwenye Chombo kingine ila uko mbeya unaweza kuwa Reporter tuma maombi yako chap wanahitajika...
  7. E

    Afromedia yalaani mauaji ya waandishi wa habari Ukanda wa Gaza, yataka hatua za haraka za UN

    Mpango wa Afrika wa Uandishi wa Habari na Vyombo vya Habari “Afromedia” umekosoa madai ya ukatili unaodaiwa kufanywa na Jeshi la Israeli dhidi ya waandishi wa habari na waandishi wa ripoti katika Ukanda wa Gaza tangu Oktoba 7, 2023, ukisisitiza kuwa kinachoendelea ni ukiukaji wazi wa sheria zote...
  8. Mkalukungone Mwamba

    Mshana: Waandishi wa Habari wanaandika habari kwaajili ya kupata nafasi za uteuzi

    Katibu wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Mtwara Braison Mshana amewaasa waandishi wa habari kuacha kuandika habari kwa kuangalia maslahi yao binafsi na badala yake waandike kwa kufuata maslahi ya taifa. Rai hiyo imetolewa leo August 11,2025 kwenye mafunzo yaliyowakutanisha waandishi wa...
  9. JanguKamaJangu

    Wanahabari watano wa Al Jazeera wauawa katika shambulio la Israel huko Gaza

    Shirika la habari la Al Jazeera limesema kuwa waandishi wake watano wameuawa katika shambulio la Israeli karibu na Hospitali ya Al-Shifa mjini Gaza Miongoni mwa waliouawa ni waandishi Anas al-Sharif na Mohammed Qreiqeh, pamoja na wapiga kamera Ibrahim Zaher, Mohammed Noufal na Moamen Aliwa...
  10. Mkalukungone Mwamba

    Waandishi wa Habari wanapitia mengi. Kiongozi agoma kabisa kuhojiwa

    Miongoni ya kazi ngumu na inahitaji uvumilivu ni kazi ya Uandishi wa Habari Moja ya kiongozi wa CCM amegoma kujibu maswali ya waandishi wa Habari kuhusu mchakato wa kura za maoni CCM. Mwishowe alisikika akisema leteni maturubahi hapa!
  11. Just Pray

    Je, Waandishi wa Habari Wako Tayari Kukabiliana na Upotoshaji?

    Mwezi Disemba, 2024 ulichapishwa utafiti katika jarida la communication studies in Africa, uliohusu waandishi wa habari wa Tanzania katika kupambana na taarifa Potofu. Katika waandishi wa habari 306 walioshiriki katika utafiti huo 51% ya waandishi walisema hawajawahi kupatiwa mafunzo rasmi ya...
  12. JanguKamaJangu

    GE2025 Waandishi wa Habari wakamatwa na Polisi wakifuatilia matokeo ya Kura za Maoni Manyara

    Waandishi wa habari Watatu akiwemo Julius Msagati wa EATV wamekamatwa na maafisa wa Jeshi la Polisi leo wakiwa katika majukumu yao ya kikazi wakifuatilia na kuripoti matokeo ya kura za maoni kwa nafasi ya Udiwani katika Kata ya Naisinyai, Mirerani, mkoani Manyara. Kwa mujibu wa mashuhuda...
  13. Roving Journalist

    GE2025 Kailima asema INEC itafanya kazi kwa karibu na Waandishi wa Habari kipindi chote cha Uchaguzi Mkuu 2025

    Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima akizungumza katika Mkutano wa Tume, Wahariri na Waandishi wa Habari, uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Mlimani City, jijini Dar es Salaam, Agosti 4, 2025 ambapo amewahakikishia washiriki hao kuwa, ofisi...
  14. Roving Journalist

    Mafunzo Kwa Wahariri na Waandishi wa Habari Kuhusu Uchaguzi Mkuu 2025, leo Agosti 4, 2025

    https://www.youtube.com/watch?v=9D6yvt12c8o Updates Ramadhan Kailima: Vyombo vya habari visipendelee chama cha siasa kuelekea Uchaguzi Akizungumza wakati akifungua mafunzo kwa wanahabari wa vyombo mbalimbali vya habari leo Agosti 4, 2025 Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Uchaguzi (INEC)...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mkurugenzi wa Uchaguzi Kailima Ramadhani: Waandishi wa Habari tendeni haki wakati wa uchaguzi

    Mkurugenzi wa Uchaguzi Bw. Kailima Ramadhani amewakumbusha wanahabari wajibu wao wa kuhakikisha vyama vya siasa na wagombea wanapata nafasi ya kufikisha ujumbe wao kwa wapiga kura katika kipindi cha kampeni. Aidha, Bw. Kailima amewataka wanahabari kutoa taarifa sahihi kwa umma na kuepuka...
  16. M

    CCM haina uwezo wa kusema ukweli hata kwa jambo dogo kama hili la kukutana na waandishi wa habari

    Huyu kichwa mviringo Makalla alisoma chuo gani time management? Kama kikao tu cha kuchuja majina kinakaa wiki nzima bila muafaka je vikao vya kujenga bwawa na umeme na Sgr vingechukua muda gani? Je madudu waliyokuwa wanayatetea kwenye mkataba wa Dp world vipi? Alafu wahuni kama hawa...
  17. Parabolic

    CCM kuwaweka waandishi wa habari ukumbini kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 usiku sio uungwana, waombe radhi

    Kitendo cha CCM kuwaita waandishi wa habari katika press conference iliyotarajiwa kufanyika jijini Dodoma Julai 28, kuanzia saa 11 jioni hadi saa 6 usiku si cha kiungwana. Ilitarajiwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi na Mafunzo wa CCM, Amos Makalla angetoa taarifa ya watia nia ya ubunge na...
  18. Yoda

    Tanzania ina waandishi wa habari wazuri sana, vyeti sio tatizo

    Nimeona baadhi ya watu wakishangalia baada ya tetesi kwamba waandishi wa habari kadhaa wamepukutishwa kutoka vyombo kadhaa vya habari kwa madai ya kukosa vyeti vya taaluma, washangiliaji wanaowana waandishi wa habari wengi wa bongo kama machawa zaidi na watu wasio na weledi, hili jambo ni ujinga...
  19. L

    Usawa kwa Waandishi wa Habari: Wabunge Wanahitaji Elimu ya Msingi Tu, Lakini Waandishi taaluma Certificate etc.? Hii Sio Haki! Uchaguzi 2025

    Wananchi wa Tanzania, katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu wa 2025, ni wakati muafaka wa kuangazia masuala ya msingi yanayohusu haki, usawa, na maendeleo ya taifa letu. Moja ya changamoto kubwa inayopaswa kushughulikiwa kwa dharura ni tofauti kubwa ya viwango vya elimu vinavyohitajika...
  20. Mikael Aweda

    Sekta ya habari imevamiwa, ni aibu. Mwenezi wa CCM Taifa ameongea na mwandishi wa habari na kukaribisha maswali. Hakuna swali lolote kuhusu Polepole

    Nimeangalia mwanzo mwisho wa Press conference ya Katibu mwenezi wa CCM TAIFA na WAANDISHI wa HABARI. Alipomaliza kutoa taarifa yake alikaribisha maswali kutoka kwa WAANDISHI wa HABARI. Kilichonishtua ni kwamba hakuna swali LOLOTE kuhusu Pole pole kujiuzulu. Wala hakuna swali kuhusu Chadema...
Back
Top Bottom