Hawa ndugu zetu hivi karibuni walianza kuwabana wenzao na kuwakataza wengine kufanya kazi hii adhimu kwamba hawana Elimu na ili kufanya hii kazi lazima wao kama Tasnia waamue nani wa kuifanya (amekidhi vigezo). Wengine tuliona karne hii ya Citizen Journalists na kila mwenye simu na habari kuwa...
Wananchi wa Halmashauri ya Mji wa Makambako mkoani Njombe wamesema katika kipindi cha uchaguzi, vyombo vya habari vililiweka taifa gizani jambo ambalo sio sawa na kuwataka wanahabari kwenda kutubu.
Wameeleza hayo wakati wakizungumza na Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka katika eneo la soko la...
Edwin Soko Mwenyekiti wa Taasisi ya Vyombo vya Habari nchi za Kusini mwa Afrika, akizungumza Novemba 5, 2025 katika Mjadala wa Nafasi ya Vyombo vya habari katika Uchaguzi wa Tanzania uliofanyika Oktoba 29, 2025 na kuambatana na vurugu za Maandamano ambapo Vyombo vya habari vilikaa kimya na umma...
Mwandishi wa habari wa Sunrise Radio Arusha ambaye pia ni Mmiliki wa Kusaga Tv Online Alphonce Kusaga Mwandishi wa Wananchi Kusaga Amekamatwa na Jeshi la polisi mkoani Arusha Leo Tarehe 4 /11/2025 na kisha kwenda kupekua nyumbani kwake,kisha kurudi nae tena Kituo kikuu cha kati Arusha.
Mpaka...
Ndugu zangu Watanzania,
Huyu Hapa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Mama wa shoka, chuma cha Reli, shujaa wa Afrika, jasiri muongoza njia, simba wa nyika, komandoo wa vita, nyota ya matumaini na nuru ya wanyonge akizungumza na...
Tunasubiri kuona, kama itakuwa kweli. Maana tumechoka kusikia mara waandishi wamepokinywa vifaa vyao vya kazi au wamekamatwa
===================
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya limewahakikishia wananchi na waandishi wa habari usalama wa kutosha wakati wa utekelezaji wa majukumu yao kuelekea na...
Mwaandishi wa habari Khalifa Said anawaasa waandishi wa habari kuwa daraja la kusambaza ukweli kwa wananchi ili kuhakikisha wananchi wanakuwa na taarifa sahihi ili waweze kufanya uamuzi sahihi pia kulingana na taarifa wanazokuwa wamezipata na hivyo kuwalinda dhidi ya upotoshaji.
Waandishi wa habari mkoani Mtwara wamepewa mafunzo kuhusu namna ya kuripoti kwa kuzingatia haki, usawa na weledi katika kipindi chote cha mchakato wa Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025.
Mafunzo hayo ya siku moja yameandaliwa kwa ushirikiano kati ya Kampuni ya Media Brains ya Dar...
Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo Ndg. Kenani Laban Kihongosi akizungumza na waandishi wa habari
https://www.youtube.com/live/X01I9hqOryk?si=VC_ED5SX6_D7M3cL
Kwa ufupi Kihongosi Amesema yafuatayo kwenye Press conference
Amesema kwamba Mgombea Urais, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
Karen Tausi Mbowe ambaye ni Mjumbe wa Kamati Tendaji jukwaa la Wahariri, Muhariri na Mwandishi wa Habari amesema, Waandishi wa habari kwa sasa wana uhuru kuliko kipindi cha nyuma.
Ni kweli Waandishi wa Habari wana Uhuru wa kuwasilisha kazi zao kwa jamii hasa wakati huu wa Uchaguzi?
Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umelaani vikali Suala la Jeshi la Polisi kuwashikilia kwa zaidi ya saa 24 waandishi wawili wa habari Arusha, bila kuwapa dhamana. Waandishi hao ni Baraka Lucas wa Jambo TV na Ezekiel Mollel wa Manara TV, ambao walikamatwa Septemba 6, 2025...
Hii kitu nimewaza kama ingekuwa bongo nadhani leo kuna baa zingeuza sana pombe maana watu wangefanya sherehe
Sasa hapa nimeshindwa kuelewa shida ni nini? Au alikuwa ana changamoto gani ya afya
Kuna mbaba mmoja badala ya kumsaidia mgonjwa kawahi kamera yake kupiga picha
Vyombo vya habari na waandishi wa habari wameshauriwa kuepuka kutumia lugha za chuki, uchochezi au zinazoweza kugawa jamii kwa misingi ya ukabila, dini au itikadi katika kipindi hiki cha kuelekea kampeni za uchaguzi.
Soma pia: ZEC: Vyama Visivyosaini Maadili ya Uchaguzi Havitaruhusiwa Kufanya...
Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi kuhusiana na Waandishi wa Habari wawili waliokamatwa na kushikiliwa kwa mahojiano na kukamilisha ukusanyaji wa vielelezo ambavyo vilikuwa vimesha kusanywa toka walipoanza kufuatilia kutokana na tuhuma zinazowakabili.
Waandishi hao ni Baraka Lucas...
Kushikiliwa Kwa waandishi wa habari wa JAMBO TV na Manara TV Jijini Arusha Arusha*
Nimepata taarifa usiku huu za kushikiliwa Kwa Mwandishi wa habari Baraka Lucas wa Jambo TV Arusha na Ezekiel wa Manara TV Arusha
Taarifa za awali zinasema walikamatwa jioni hii Jijini Arusha na hadi...
Jeshi la polisi mkoani Pwani limetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani humo yaliyolenga kuwaongezea ujuzi wa masuala mbalimbali ikiwemo maadili.
Mafunzo hayo yaliyoongozwa na Kamanda wa Polisi mkoani humo, ASP Salimu Morcase yaliangazia pia usalama kuelekea, wakati na baada ya Uchaguzi...
Kituko hiki kimezungumzwa na mgombea mwenza wa Chama cha Demokrasia Makini.
Haya ni matokeo ya kuachia masuala ya siasa mikononi mwa wajinga.
Katibu Mkuu wa Chama cha Maarifa, Kilimo na Nishati (Makini), Ameir Hassan Ameir, amesema endapo wananchi watamchagua mgombea wa urais wa chama hicho...
Mgombea Urais kupitia Chama cha National League for Democracy (NLD), Doyo Hassan Doyo amelalamikia Vyombo vya Habari kuwapa nafasi Wagombea wa upande mmoja na kuacha vyama vingine vikiwa havina watu wa kuwaripotia taarifa zao.
AMeyasema hayo jana Agosti 31, 2025 alipokuwa akizungumza na baadhi...
Kwa mujibu wa taaifa kutoka shirika la habari la Reuters
Mashambulizi ya anga ya Israel katika Hospitali ya Nasser, Gaza leo Agosti 25, 2025 yameua watu 15, wakiwemo waandishi wa habari wanne, mmoja wao akiwa ni mfanyakazi wa shirika la Reuters
Cameraman Hussam al-Masri muandishi wa Reuters...
Katika hotuba mojawapo ya Mheshiwa Rais, Samia Suluhu Hassan leo imeonesha makundi muhimu katika kuuelimisha Umma yakiwemo ya Wanasiasa, Viongozi wa Dini lakini kundi mojawapo lililotajwa kwa upekee wake ni kundi la Waandishi wa habari.
Kauli ya kuwa kalamu ni hatari kuliko bunduki iliyotamkwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.