vyombo vya habari

  1. Erythrocyte

    Freeman Mbowe aalikwa rasmi Clouds FM katika kipindi cha Traffic Jam siku ya Ijumaa

    Taarifa zinazosambazwa duniani kote leo hii zinaonyesha kwamba yule Mwamba wa siasa za Tanzania , Laingwanan , Mtemi Isike au Ustaadh Abubakar, Freeman Mbowe, amekubali mwaliko wa Clouds FM kwenye kipindi chao cha Traffic Jam ijumaa hii. Kaeni tayari kwa nondo na bila shaka Operesheni haki...
  2. P

    Wahariri wa Vyombo vya Habari mmetuangusha sana

    Hongereni kukutana na Mhe. Rais. Hongereni kupata vinywaji Ikulu. Hakika hamkujipanga,mlitakiwa wahariri mkutane kwanza muandae maswali Magumu na mazuri na mngegawana maswali na majina mngempa MC kwaniaba ya wahariri. Mhariri umetoka mkoani unamuuliza Rais anauonaje Urais (mwandishi kweli)...
  3. Analogia Malenga

    Rais Samia akutana na Wahariri wa Vyombo vya Habari - Juni 28, 2021

    Rais wa Jamhui ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akutana kuzungumza na waandishi wa habari Ikulu, Dar es Salaam leo Juni 28, 2021 Updates: Deodatus Balile, Mwenyekiti - Jukwaa la Wahariri Tangu ulivyoingia madarakani hakuna redio iliyofungiwa, gazeti lililofungiwa, mtandao au...
  4. Elius W Ndabila

    Vyombo vya Kimataifa vinakuja, tujiandae kuvipokea na kuvipa ushirikiano

    TUJIANDAE KUVIPOKEA VYOMBO VIKUBWA VYA KIMATAIFA Na Elius Ndabila 0768239284 Juzi Rais wa Tanzania, Samia Suluhu HASSAN amewataka viongozi wakuu wa sekta na taasisi za umma kujipanga kuupokea ugeni unaotumia vyombo vikubwa vya habari vya habari watakaokuja kuitangaza Tanzania. Alisema ugeni...
  5. kali linux

    Ukweli kuhusu Cristiano Ronaldo kushusha thamani ya Cocacola kwa kutoa chupa zake

    Hello bosses, kuna baadhi ya media hasa za Spain na mashabiki wa Ronaldo wanakuza sana effect ya hili jambo la Ronaldo kuweka pembeni chupa za coca cola na kuchagua maji wakidai kitendo hicho kilifanya hisa za Coca cola kushuka. Nimeona sio mbaya kuchambua hili jambo kwa sababu ni uongo mtupu...
  6. Baraka Mina

    Dodoma: Shaka Hamdu Shaka kuzungumza na Vyombo vya Habari leo Juni 22, 2021

    Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC) ya CCM Taifa - Itikadi na Uenezi Ndg. Shaka Hamdu Shaka atazungumza na vyombo vya habari siku ya leo tarehe 22/06/2021 katika ofisi za Makao Makuu ya Chama cha Mapinduzi jijini Dodoma. Ikumbukwe kwamba mchana wa leo Kamati Kuu Ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha...
  7. Fbn

    Vyombo vya habari Tanzania havijui misimamo ya kuendana na soko

    Vyombo vya habari kwa tanzania havijui nini misimamo katika kuendana na soko. Mfano wenzetu ukikuta kama BBC basi utakuta BBC habari imejikita kuwa makini na habari sio kuleta ujinga, ndio maana kuna BBC chaneli nyingine zisipoteze muelekeo. Ukija mfano National Geographic, Discovery, CNN...
  8. babu M

    Marekani: Mitandao ya kijamii, tovuti za Serikali na vyombo vya habari zaathiriwa na kukatika kwa mtandao

    Multiple outages hit social media, government and news websites across the globe on Tuesday morning, with some reports pointing to a glitch at U.S.-based cloud computing services provider Fastly. Reuters could not immediately confirm the issue affecting the sites. Fastly said it was...
  9. beth

    Belarus: Serikali yaendeleza ukandamizaji dhidi ya Vyombo vya Habari

    Mamlaka Nchini Belarus zimevamia Ofisi za Chombo cha Habari cha Tut.by pamoja na makazi ya Mhariri ambapo Tovuti hiyo imetolewa hewani. Maafisa wamesema ni kutokana na Kesi ya ukwepaji mkubwa wa kodi. Matukio ya uvamizi ni sehemu ya ukandamizaji unaofanywa dhidi ya wanaopaza sauti...
  10. Mohamed Said

    TANZIA Buriani Abbas Kleist Sykes

    BURIANI BABA, RAFIKI NA MZUNGUMZAJI WANGU BALOZI ABBAS KLEIST SYKES Mwezi October 1999 nilikuwa Dubai na nikikaa Carlton Hotel. Siku moja jioni simu yangu ikalia. Walikuwa BBC London Idhaa ya Kiswahili wanataka kunihoji kuhusu Mwalimu Julius Nyerere ambae wakati ule alikuwa amelazwa St...
  11. Analogia Malenga

    Tamko la Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora(THBUB) wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani, 2021

    TUME YA HAKI ZA BINADAMU NA UTAWALA BORA Kitalu Na. 339, Mtaa wa Nyerere - Kilimani S.L.P 4019, DODOMA Simu: +255 734 047 775; 734 119 978 Barua Pepe: info@chragg.go.tz Tovuti: www.chragg.go.tz Mei 3, 2021 TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tamko la THBUB wakati wa Maadhimisho ya Siku ya Uhuru...
  12. Miss Zomboko

    Maoni ya Balozi wa Marekani Donald Wright Katika Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani

    Kwa takriban miaka 30, tarehe 3 Mei ya kila mwaka, dunia imekuwa ikiadhimisha Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani. Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani inatupa fursa ya kuenzi nafasi na wajibu muhimu wa vyombo huru vya habari katika kimarishaa na kuhifadhi jamii zilizo huru na...
  13. Analogia Malenga

    Serikali: Suala la Kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari si la Serikali pekee

    Mei 3 ni siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani ambapo serikali ya Tanzania imesema inawahakikishia kulinda Uhuru wa Vyombo vya Habari. Hata hivyo serikali imesisitiza jukumu la kuweka maslahi ya Taifa mbele kama ambavyo tasnia nyingine zimekuwa zikifanya. Aidha wamesema Jukumu la kulinda...
  14. Roving Journalist

    Dkt. Hassan Abbas: Serikali ipo tayari kufanya mabadiliko yoyote kwenye kanuni au sera ya habari

    Wizara ya Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo imesema ipo tayari kubadili sera na sheria ya vyombo vya habari kulingana na maoni ya wadau wa tasnia ya habari nchini. Hayo yameelezwa na katibu mkuu wa wizara hiyo, Dk Hassan Abbas leo Jumatano Aprili 28, 2021 wakati akifungua kongamano la wadau...
  15. J

    Rais Samia awasili Kampala Uganda vyombo vya habari duniani ikiwemo TBC viko mubashara.

    Rais Samia Sukuhu Hassan amewasili Kampala nchini Uganda na kupoke!ewa na Rais Yoweri Museveni. Watu wote akiwemo Rais Samia wamevalia barakoa Tukio liko mubashara TBC!
  16. Erythrocyte

    Saed Kubenea afika Wizara ya Habari Kuonana na Waziri Bashungwa kuitikia wito wa Rais wa kufungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa kibabe

    Leo Saed Kubenea ameonana na Waziri wa Habari kama ilivyoelekezwa na Wizara baada ya Tamko la Mh Rais Samia Suluhu la kuagiza vyombo vya habari vilivyofungiwa kizushi yakiwemo magazeti vifunguliwe . Tuendelee kusubiri yatakayojiri baada ya kikao hiki kufanyika huku tukisubiri Wahariri wengine...
  17. Nyendo

    Rais Samia Suluhu aitaka Wizara ya Habari kuvifungulia Vyombo vya Habari vilivyofungiwa. Avitaka kufuata Sheria na Kanuni

    Rais Samia Suluhu ameiagiza Wizara ya Habari kuvifungulia vyombo vya habari vilivyofungiwa, na kuhakikisha vinafuata sheria. Aidha, ameagiza sheria kanuni na adhabu ziwe wazi, ifahamike kosa fulani adhabu yake ni fulani, ili isionekane kuwa serikali inaminya uhuru wa habari. Rais Samia amesema...
  18. Prof Koboko

    Wito kwa Jukwaa la Wahariri na Wamiliki wa vyombo vya habari nchini

    Wasalaam wapendwa Wanajukwaa. Napenda kutoa wito kwa Jukwaa la wahariri na wamiliki wote wa vyombo vya habari nchini kupanga siku maalum ya kukutana na kufanya vikao vya dharura kujadili kauli ya Mhe Rais wetu Mama Samia Suluhu ambaye kwa nia njema kabisa na kwa utashi wake wa kutaka...
  19. AbuuMaryam

    Dkt. Hassan Abassi: Agizo la Rais Samia kufungulia vyombo vya habari linahusu televisheni za mitandaoni pekee

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Dkt. Hassan Abassi amesema agizo la kufungulia vyombo vya habari lililotolewa na Rais Samia Suluhu linahusu televisheni za mtandaoni pekee na siyo pamoja na magazeti. Amesema endapo kukiwa na maagizo mengine yanayohusu magazeti, atatekeleza. --- Huyu ni kichwa...
  20. M

    Hongereni vyombo vya habari kipindi cha maombolezo

    Ikiwa leo ndio siku ya mwisho ya MAOMBOLEZO ya kitaifa kwa Hayati Rais Magufuli nitoe kongole kwa VYOMBO vyetu vya habari hususani vituo vya radio na televisheni kwa weledi wa hali ya juu hasa kwenye mpangilio wa vipindi(content) pamoja na nyimbo za MAOMBOLEZO. Kwa hakika mmedhihirisha ule...
Back
Top Bottom