Hongereni kukutana na Mhe. Rais. Hongereni kupata vinywaji Ikulu.
Hakika hamkujipanga,mlitakiwa wahariri mkutane kwanza muandae maswali Magumu na mazuri na mngegawana maswali na majina mngempa MC kwaniaba ya wahariri.
Mhariri umetoka mkoani unamuuliza Rais anauonaje Urais (mwandishi kweli) hujui neno Urais. Alisema Bunge halina afya. Alisema kesi zenye ukakasi zifutwe. Mnashindwa kuhoji miradi ambayo haikupita bungeni.
Mmeshindwa kuhoji serikali kulipa wabunge hewa,wakati uchaguzi ulikuwa wa ushindi wa 80%. Mnashindwa kuhoji bandari 3 zilizopo nakukimbilia ya Bagamoyo.
Mnashindwa kuhoji miaka 60 watoto hawana madawati, upungufu wa walimu, wauguzi, madaktari nk. Mnauliza Urais ukoje wakati ndege inapashwa kila mda ili imrushe Rais popote
Mmetuangusha sana.
Hakika hamkujipanga,mlitakiwa wahariri mkutane kwanza muandae maswali Magumu na mazuri na mngegawana maswali na majina mngempa MC kwaniaba ya wahariri.
Mhariri umetoka mkoani unamuuliza Rais anauonaje Urais (mwandishi kweli) hujui neno Urais. Alisema Bunge halina afya. Alisema kesi zenye ukakasi zifutwe. Mnashindwa kuhoji miradi ambayo haikupita bungeni.
Mmeshindwa kuhoji serikali kulipa wabunge hewa,wakati uchaguzi ulikuwa wa ushindi wa 80%. Mnashindwa kuhoji bandari 3 zilizopo nakukimbilia ya Bagamoyo.
Mnashindwa kuhoji miaka 60 watoto hawana madawati, upungufu wa walimu, wauguzi, madaktari nk. Mnauliza Urais ukoje wakati ndege inapashwa kila mda ili imrushe Rais popote
Mmetuangusha sana.