vodacom

  1. Acehood

    JamiiForums Tanzania Vodacom acheni utapeli kwenye huo mchezo wa Tusua Spoti

    Wakuu iko hivi kuna siku rafiki yangu aliitumia simu yangu kunielekeza mchezo wa tusua spoti unaochezeshwa na Vodacom, na wakati wa kufanya hivyo tiketi moja yenye mechi 14 ilikamilika na tulikata bila kulipia. Baada ya wiki moja niliweka vocha ya 1000 na walikata 500 nikapewa ujumbe kuwa...
  2. Tanzania Nchi Yetu Sote

    JamiiForums Tanzania Vodacom angalieni uwezekano wa kuwa na App moja tu

    Ni ukweli usiopingika kuwa Vodacom ndio mtandao wenye huduma bora na imara ya mtandao nchini achilia mbali gharama zao. Kwa muda sasa nimekuwa mtumiaji mzuri na mwenye kufurahia App zake za my vodacom na M-pesa lakini wiki iliyopita nilianza kupata changamoto kwenye app ya My Vodacom kwani...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Visa card for Vodacom Vs Mater Card ya airtel, Ipi bora??

    Wadau, nataka kupata uzoefu wenu ,, ni card ipi ya online unawezaitumia kulipia huduma mbalimbali za mitandaion. Mfano unataka kulipia kwa dolla ila umeweka hera kwa Tsh etc, je usalama wake.. Naomba wazoefu wasaidie kushare uzoefu.
  4. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Non Executive Director at VODACOM Tanzania Plc

    Non Executive Director for Vodacom Tanzania PLC Dar es Salaam, Dar es Salam, Tanzania, United Republic of Overview Description Sitholizwe Mdlalose appointed as a Non-Executive Director The Company announced on 10 May 2022 that Sitholizwe Mdlalose, the Company’s Managing Director will be...
  5. K

    JamiiForums Tanzania Kulikoni gawio la Vodacom!

    Nimesoma kupitia website ya Vodacom kuwa kwa mwaka 2022 gawio la kila hisa ni Tshs.430. Je wanahisa tayari wamewekewa fedha zao kwenye akaunti zao?.
  6. Myahudi Jr II

    JamiiForums Tanzania Maombi Kwa Vodacom Tanzania PLC

    Habari za Usiku mabibi na Mabwana... Niende kwenye Hoja.. VODACOM mmetupatia huduma ya M pesa Visa card aisee mmeturahisishia Usumbufu wa Mabenki ya ndani haswa, ulikua ukienda pale CRDB haki ya mama ukitaka kujiunga Online Banking unatazamwa mara mbili mbili, anachukua card yako anakwambia...
  7. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Specialist: IP Network & VAS Networks at Vodacom

    Job Description Role Purpose • Maintain and support of IP/MPLS network operational activities • Controlling, managing and acting as second level support for data and internet customers • Ensure MPESA is supported and well protected on the network layer • Maintain operational excellence and...
  8. idoyo

    JamiiForums Tanzania Tetesi: TTCL Kusambaza Internet Bure Majumbani na Maofisini. Bili ni kwa Mwezi

    .
  9. Nyamwage

    JamiiForums Tanzania Vodacom M-Pesa acheni udokozi wa pesa zetu nitawashitaki

    Hi . Kuna upigaji wa vihela vidogovidogo huko M-pesa wanazani kua sisi ni wajinga hua hatufatilii taarifa za pesa zetu ndogo ndogo zilizoko huko M-pesa Leo nimejitumiakiasi cha shilingi 1,100 kwenye account yangu ya tigopesa pesa ili ninunue kifurushi makato ya huo muamala yalikua 385 hii sio...
  10. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Vodacom internet huku kwangu inasumbua leo

    Leo internet ya Vodacom kama haiko sawa hivi. Je ni huku kwangu tu au hata huko?
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Digital Services Executive at Vodacom June, 2022

    Description Role purpose: • Manages all digital products and company’s online channels • Proactively work with both IT and CORPS on improving digital customer touch points • Manage and maintain in-house digital products and platforms. • Ensure compliances on all services under...
  12. G-Funk

    JamiiForums Tanzania Vodacom wameanza wizi wa hela za M-PESA

    Juzi asubuhi nilikwenda kwa wakala kutoa pesa kabla ya kuanza mihangaiko ya siku nikawa nimebakiza salio katika simu takribani Tshs.15,000+,,,, Cha ajabu jioni wakati natoka mishe mishe nikawa nataka nijiunge kifurushi cha kuongea na simu nikafanikiwa kujiunga kilikuwa cha Tsh.500. Ujumbe...
  13. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Territory Manager - Songea at Vodacom

    Description JOB PURPOSE Maximises sales revenue by working through and with distributors, dealers and other partners within assigned territory. Works alongside distributors and staff to carry out all the activities required to achieve set targets. Monitors stock levels both at distributor level...
  14. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Head of Tax at at VODACOM Tanzania Plc

    Head of Tax Dar Es Salaam, TZA Role Purpose and Key Accountabilities Role purpose: Head of Tax oversees an organization's tax policies and objectives. Monitors reporting and planning to ensure compliance with applicable Tax Laws. Additionally, Head of Tax ensures accuracy of tax returns and...
  15. Replica

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi mkuu mwingine ajiuzulu Vodacom. Mtandao unaelekea shimoni?

    Mkurugenzi mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Sitholizwe Mdlalose amejiuzulu nafasi hiyo ambapo atatizimiza miezi nane tangu mtangulizi wake, Hisham Hendi nae ajiuzulu kwenye nafasi hiyo. Sio ishara njema kwa kampuni kubwa kama Vodacom ambayo watu wanaota kuiongoza. Mwaka jana Vodacom ilisitisha...
  16. Meja Jenerali Isamuhyo

    JamiiForums Tanzania Vodacom kubadili vifurushi vyake

    Nimetumiwa sms na voda sasa hivi, siku chache zijazo vifurushi vyao vitabadilika. Hawajaweka wazi kama wataongeza au watapunguza? Tutarajie nini?
  17. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Manager: Cyber Prevent & Demand at VODACOM April, 2022

    Role Purpose This role is responsible for effective planning and execution of Cyber security Technologies & Tooling, projects, and operations. This includes identification of security needs (demands) using Capacity growth and trends, coordinating delivery of the needs, and ensuring security...
  18. R

    JamiiForums Tanzania Ombi kwa makampuni ya Simu, Tigo, Vodacom, Airtell, Halotel etc: Kama mnaweza tutengenezee VIBUBU vya kwenye simu/Mtandao

    My point is this: Tumezoea kuweka hela kwenye VIBUBU vya mbao ambavyo ikifika muda uliojipangia unakibomoa. SASA, ni imani yangu kuwa you can design a programme ambayo mtu anaweza akawa anaweka pesa zake (kama tunavyoweka kwenye M-pesa, Tigo pesa etc) na kuzitoa muda aliopanga ambapo kabla ya...
  19. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania System Admin: IN Ops & Project at Vodacom

    Long Description Role purpose: The System administrator focus on all Management of Charging system application, Database, OS and Infrastructure which also include design and deployments of product, services and Technical projects lead. Administrator has a good understanding of established...
  20. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Enterprise Architect at Vodacom

    Job Profile Role purpose: The enterprise architect’s responsibilities include improving the current IT infrastructure, optimizing business operations, and setting the direction and approach for integrating information applications and programs. The enterprise architect is also responsible for...
Back
Top Bottom