Vodacom waonesha ukinara wao, waleta 5G nchini

Vodacom waonesha ukinara wao, waleta 5G nchini

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,714
Reaction score
9,049
Kampuni ya simu ya Vodacom wamefanya kweli, leo wametambulisha teknolojia ya 5G nchini na kuwa kampuni pekee mpaka sasa nchini yenye 5G.

Nimefurahi sana, tumekuwa na simu za 5G mpaka zinaelekea kuchakaa tumeshindwa kuziutilize kwenye eneo hilo. Muhimu mtandao uwe reliable na vifurushi vya mtanzania.

Hongereni Vodacom, mimi mgeni wenu. Tigo nitawatafutia kisimu kidogo.
 
Back
Top Bottom