Nyamwage
JF-Expert Member
- Oct 16, 2020
- 634
- 1,535
Hi . Kuna upigaji wa vihela vidogovidogo huko M-pesa wanazani kua sisi ni wajinga hua hatufatilii taarifa za pesa zetu ndogo ndogo zilizoko huko M-pesa
Leo nimejitumiakiasi cha shilingi 1,100 kwenye account yangu ya tigopesa pesa ili ninunue kifurushi makato ya huo muamala yalikua 385 hii sio sahihi
Juzi nilimtumia mtu 5,000 kwenye account yake ya tigopesa makato yalikua 250 hii nisahihi
Sijakaa sawa unaingia ujumbe eti nimekatwa shilingi 30 kama makato ya songesha kwa hio Salio la deni la songesha ni 1257 inabidi nililipe ili lisiendelee kuongezeka nawakati kwenye account yangu ya M-pesa kuna salio liko muda mrefu na songesha kama unadaiwa ukiweka Salio tu kwenye M-pesa wanakata deni lao lote na mimi mara ya mwisho na weka pesa kwenye M-pesa walikata deni lao lote nikawa sina deni
Najaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja majibu nayopewa hayaridhishi nielekezeni nianzie wapi ili niishitaki Vodacom
Leo nimejitumiakiasi cha shilingi 1,100 kwenye account yangu ya tigopesa pesa ili ninunue kifurushi makato ya huo muamala yalikua 385 hii sio sahihi
Juzi nilimtumia mtu 5,000 kwenye account yake ya tigopesa makato yalikua 250 hii nisahihi
Sijakaa sawa unaingia ujumbe eti nimekatwa shilingi 30 kama makato ya songesha kwa hio Salio la deni la songesha ni 1257 inabidi nililipe ili lisiendelee kuongezeka nawakati kwenye account yangu ya M-pesa kuna salio liko muda mrefu na songesha kama unadaiwa ukiweka Salio tu kwenye M-pesa wanakata deni lao lote na mimi mara ya mwisho na weka pesa kwenye M-pesa walikata deni lao lote nikawa sina deni
Najaribu kuwasiliana na huduma kwa wateja majibu nayopewa hayaridhishi nielekezeni nianzie wapi ili niishitaki Vodacom