Bujiku: Vodacom tumepoteza 30% ya mapato kutokana na Tozo

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,827
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.

Bado benki hahaha wengine nasie tushahamisha kitambo hela zetu,zipo majumbani
 
Hapo linaenda kuzaliwa tatizo lingine la ukosefu wa ajira, wale mawakala wa kutoa pesa wanaenda kupungua mitaani, halafu hawa wakilalamika wanajibiwa wahamie Burundi, ajabu huyu kiongozi bado yupo ofisini mpaka leo.
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Tatizo la waziri wetu haoni mbali kwenye kodi yeye anachojuwa ni kukusanya kodi kutoka kwa wananchi tu lakini c jambo la kustaajabu kwani huyo jamaa hana exposure ya kimataifa kwa sababu degree zake zote kuanzia ya kwanza, ya pili mpaka phd kafanyia udsm sasa hapo tutarajie nini hiyo nafasi mimi naona alishtahili kabisa dr. Stergoma tax kwa sababu yuko kimataifa kuliko huyu jamaa.
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Nafikiri haya mambo yanatokea kwa kusudi
 
Kaimu mkurugenzi wa Vodacom, Hilda Bujiku amesema tozo za miamala ya simu ilivyoanza walipoteza asilimia 30 ya mapato ya kampuni ila wanategemea miamala itarudi.

Hilda amesema kuna watu wameacha kutumia huduma ya kutuma pesa kupitia mitandao ya simu na wapo waliopunguza idadi ya miamala.

Bujiku amesema miamala haijarudi na wanaendelea kuomba Serikali lakini wanafurahi tozo kupunguzwa na wanaamini miamala itarejea ikiwa ni tayari mwezi mmoja umepita nafuu hiyo itangazwe.

=========
MAONI
Kwako waziri Mwigulu; Tozo zinadumaza sekta ambazo watu walitumia uwekezaji wa maarifa, fedha na nyinginezo kuzibuni. Hata vifurushi vya simu mitandao itakuwa imepandisha ili kufidia faida iliyopungua kutoka kwenye miamala.

Pia nikukumbushe mchumi mwenzangu, moja ya kanuni ya msingi ya kodi ni kuepuka 'Double Taxation'. Kipato kilekile kukitoza kodi zaidi ya mara moja sio afya kiuchumi.

Hii itarudisha miamala ya mkononi ambayo si njema pia hasa kwa BOT kuupima uchumi wa nchi lakini pia itaongeza uchakavu wa pesa. Pia inadumaza biashara zilizokuwa zinafanikishwa kwa hizi huduma kwasababu wafanyabiashara wako sensitive kwenye gharama wanazotumia kufanya biashara.
Wizi wao ndio ulisababisha watu wawakimbie, likampuni hilo lilifilisika toka mwaka Jana Kwa sababu waliendekeza Sana kujiamini..

Wakati wao wanatafuta excuse za kujifariji ukweli unabakia kuwa market share yao ilipungua na watu kuhamia halotel, Airtel na Tigo..
 
Wizi wao ndio ulisababisha watu wawakimbie,likampuni hilo lilifirisika toka mwaka Jana Kwa sababu waliendekeza Sana kujiamini..

Wakati wao wanatafuta excuse za kujifariji ukweli unabikia kuwa market share yao ilipungua na watu kuhamia halotel,Airtel na Tigo..
Mkuu japo voda imepepyngua mapato lakini ndio mtandao unaongoza Tanzania kwa nyanja zote
 
Kutokana na kazi yangu ya kubeti huwa nafanya miamala ya kutoa mara kwa mara. Ila kwa tozo hizi nimeanza kukwepa tozo ya miamala ya kutoa kwa 95%.

Fikiria mkeka umetiki unalambwa kodi 10%, ukienda kutoa labda 100,000 unakatwa 4800 nzima, si ndio double taxation hii!
 
Ndio nipo kwa fundi welding hapa anafanya mambo, nikimaliza napitia hardware kufuli la maana....tozo naachana nayo kiivyo

Funguo za kufulia unazitunza wapi?
Pesa inakatwa na benki/ kampuni ya simu, wanakata Tena Kodi kwenye hizo gharama, Bado wanaleta Tena tozo (Sijaelewa hii ni Kodi au kitu Gani?)
 
Back
Top Bottom