vizuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mcshonde

    Messi na Ronaldo walivyokutana

    Kwenye mechi ya kirafiki kati ya PSG na wachezaji wa Al Nassr & Al Hilal Messi na Ronaldo wameonyesha ni namna gani mgawano wao wa ushabiki upo kwa ajili ya kutengeneza pesa na sio uadui. Kama Ronaldo kaanza vizuri namna hii basi ligi ya uarabuni itakuwa moto na kawaaminisha waarabu kuwa mzigo...
  2. Brain Kingdom

    Wanawake wahaya mbarikiwe alowafundisha kupapasa mgongo vizuri tukiwa juu aishi milele

    Wasalaam, Jamani Kwa uchache hio ni sifa nzuri ya wanawake wa kihaya hawaboi mpapaso au mtomasowao ukiwa juu kama wote huku akiviringika, naomba kwa heshima wanawake wa makabila mengine sio vibaya mkaiga. Wadiz nikiwa katika meditation ya penzi la kihaya
  3. Unavoidable Servant

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    Wadau nilikuwa na smart TV 4 K nchi 50 wale wajaa laana wakasepa nayo. Nina Samsung Hd nchi 32 ilikuwa chumbani ndio nimeileta sebuleni yani tofauti ni kubwa sana. Sasa nimeokota pochi la mzungu nataka ninunue TV ya kweli nirudi kwenye modern life. Karibuni kwa ushauri.
  4. Guselya Ngwandu

    Dkt. Chuwa: Hali ya mfumuko wa bei ipo vizuri

    Mtakwimu Mkuu wa Serikali Dkt. Albina Chuwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu masuala ya Uchumi na Mfumuko wa Bei wa Taifa amesema hali ya mfumuko wa bei ipo vizuri na ni himilivu ukilinganisha na nchi zingine za Afrika Mashariki na zilizopo chini ya Jangwa la Sahara.
  5. BwanaSamaki012

    Njia bora ya kutumia vizuri kipindi hiki cha masika ni kufuga samaki

    Habari zenu Wakuu? Ndugu zangu masika ndio hii mvua zinazidi kushika kasi kwenye baadhi ya mikoa mingi nchini, huu ni wakati sahihi wa kufaidika na mvua zinazoendelea kunyesha kwa kuwekeza kwenye ufugaji wa samaki kibiashara. Kimsingi kuna aina nyingi sana ya samaki wanaoweza kufugika but...
  6. sanga kariakoo

    Nafasi ya kazi kwa mtu wa stationary awe vizuri sana

    Anaitajika mwanamke mmoja tu Eneo la kazi ni Kariakoo Mtaa wa aggrey na Ndanda dukani/kwenye kampuni sanga kariakoo Kazi yake ni kutengeneza matangazo madogo madogo na kuendesha account za ofisi ikiwa na application za Sanga Kariakoo zilizo google play na apple store pamoja na website ivyo...
  7. Meneja Wa Makampuni

    Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vizuri

    Rais Dr. Samia jaribu na kumtumia na Pascal Mayalla kwenye serikali yako ninahakika atafanya vzuri.
  8. K

    Tusiwahukuhu sana wanawake wasomi na ambao wapo vizuri kiuchumi

    Hii issues kuna binti mmoja kichwa na yupo vizuri sana nilisoma nae katukimbiza sana skonga kipindi hiko cha nyuma mara nyingi tunapigaga sana story kwenye simu. Msimu wa sikukuu tulikutana tu ile ghafla White Sand, mimi nilikuwa na kikao cha familia, tulivyo maliza nikakaa nae na kuanza kupiga...
  9. Dr Akili

    Mfuko wa Bima ya Afya kwa Wote ndiyo utakuwa mkombozi wa afya za Watanzania. Tushauri uundwe vizuri

    Huduma ya afya ni haki ya msingi kwa kila mtanzania. Ni wajibu wa serikali kuweka utaratibu wa kuwezesha kila mtanzania anapata haki hii ya msingi. The Healthcare must be easily accessible and affordable to every tanzanian. Huko nyuma hadi mwaka 1998 huduma hii ilikuwa inatolewa bure na...
  10. MamaSamia2025

    Kumi bora ya vyama vya siasa vilivyofanya vizuri 2022

    Hii ni kumi bora yangu ya vyama vilivyofanya vizuri kisiasa kwa mwaka 2022 hapa Tanzania. 1. Chama Cha Mapinduzi (CCM) 2. ACT Wazalendo. 3. Tanzania Labor Party (TLP) 4. Civic United Front (CUF) 5. NCCR Mageuzi 6. United Democratic Party (UDP) 7. Chama Cha Ustawi wa Jamii (CHAUSTA) 8. PPT...
  11. B

    Orodha ya Wasanii Bora wa Muziki wa Kizazi Kipya mwaka 2022

    1. Harmonize 2. Alikiba 3. Marioo 4. Mboso 5. Diamond 6. Nandy 7. Ney wa Mitego 8. Maarifa 9. Rayvanny 10. Zuchu
  12. sammosses

    Kati ya Rais Samia na Hayati Magufuli nani aliona vizuri kuhusu idadi ya wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM?

    Hayati Magu alipunguza wajumbe wa NEC wa CCM, Samia kaongeza idadi, nani aliyeona kwa jicho la makengeza kati ya hawa Wenyeviti wawili?
  13. M

    Biashara zipi zinafanya vizuri (zinalipa sana) mkoa wa Dar?

    Habari, Kama inavyojulikana mkoa wa Dar es Salaam ndio mkoa mkubwa kwa biashara.ukianzisha biashara yoyote inatoka ila kuna kuzidiana. Thread hii ni ya kusuggest biashara zinazotoka sana na zinalipa sana kwa Dar es Salaam. ~ Uuzaji wa chipsi (chakula kizuri) kwa ujumla. ~ Uuzaji wa nguo (za...
  14. Mwande na Mndewa

    Kama Hayati Magufuli angekuwa hai, Zitto Kabwe angetuelezea vizuri deni la trilioni 91 limefanya nini Tanzania.

    KAMA HAYATI MAGUFULI ANGEKUWA HAI,ZITO KABWE ANGETUELEZEA VIZURI DENI LA TRILIONI 91 LIMEFANYA NINI TANZANIA. Leo 13:15hrs 11/12/2022 Mara ya mwisho kusikia habari ya deni la Taifa ilikuwa kwenye bunge la budget mwaka huu nilipomsikia Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Nchemba...
  15. Mpigamimba

    Upo kwenye daladala anaingia mrembo, unatarajia atakaa vizuri kwenye siti yenu nyie wawili tu, lakini akakupa mgongo

    Nilitafakari sana kichwa cha habari hii. Nipo kwenye basi kama nivyosema hapo, nimekaa zangu siti za double nikiwa dirishani, akaingia mrembo pisi kali ya hatari. Cha ajabu ikanikalia na miracle paaa! Upandeupande. Mishavu ikiwa juu ya mguu wangu paja, nikajisogeza ili asinikalie na baadhi...
  16. sinza pazuri

    Mavokali akichanga karata zake vizuri atakuwa msanii 'A-list' wa Afrika, amebakiza baraka za Diamond tu atoboe

    Msanii chipukizi mwenye bahati ya mtende kuota Jangwani, wakuitwa Mavokali anapasua anga kama masihara. Wengi naamini hammjui Mavokali na hamjui balaa analofanya uko duniani. Basi niwaambie ngoma yake inaitwa Komando imekuwa maarufu sana nchi za wazungu. Hakuna ujanja wowote aliyofanya bali ni...
  17. saidoo25

    Kati ya Ma RC hawa nani amefanya vibaya 2022

    Wakuu wa mikoa ambao hadi tumeuanza Mwezi Disemba wanachapa kazi kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu je kati ya hawa ni nani aliyefanya vizuri zaidi na ni nani aliyemuangusha Mh Rais Samia kwenye eneo lake alilopewa kusimamia maendeleo ya wananchi.. 1: John Mongela- Mkoa wa Arusha 2. Rosemary...
  18. DR HAYA LAND

    Sio vizuri kumjibu Mtu anayekutukana na kukudharau

    Jifunze kukaa kimya hata unapodharauliwa na kutukanwa na watu wako wa karibu. Jikite katika kufanya Kazi na kuishi katika utakatifu. Mungu ana tabia ya kuwashusha watu na kuwapandisha watu. Kuna watu walileta dharau lakini muda huu wanalia na kusaga meno. Pia Mungu akikupandisha hakikisha...
  19. B

    MSAADA: Vivo Y67 haishiki mtandao vizuri baadhi ya maeneo

    Vivo Y67 haishiki mtandao vizuri baadhi ya sehemu inashika sehemu zingine haishiki haswa haloteli ndo haishiki kabisa Naombeni msaada nifanyaje.
  20. MakinikiA

    Huyu mhasibu hakuangalia vizuri zile movie zinazofundisha

    MHASIBU wa Kampuni ya Your Home Choice ya Keko, Dar es Salaam, Deodatus Luhela (35), anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kutoa taarifa za uongo kuwa ametekwa na kujeruhiwa na majambazi kisha kuporwa Sh. milioni 60 za mwajiri wake. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam...
Back
Top Bottom