viwanja

  1. JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja vinauzwa kibada na kisarawe ii-kigamboni

    Kibada(1.4km kutokea kibada centre) Maji na umeme tayari,Barabara inapitika mda wote Ukubwa wa Eneo: Sqm 580 Nyaraka: Hatimiliki Bei: Tzs Milioni 20.3 Vumilia ukooni-Kisarawe II(2km kutokea DSM zoo) Maji na umeme tayari,Barabara inapitika mda wote Ukubwa wa Eneo: Sqm 785 Nyaraka: Hatimiliki...
  2. JamiiForums Tanzania VIWANJA NI BEI GANI ?

    kuna mtu ZAMANI alikuwa na hela akafilisika.,sasa akanitafuta na kuuliza kama nataka kiwanja. Akaniambia niulize bei ni mwambie. Sasa kabla sijashika pesa siwezi kwenda kuangalia viwanja.. Kwa maeneo ya mbezi mpaka kibaha.naweza pata kiwanja kwa bei Gani.kisiwe bei sana. Huyu mtu namuona...
  3. M

    JamiiForums Tanzania wewe ni mtu wa kuchill nyumbani au wa kutoka kwenda viwanja, vijiweni, n.k ?

    Wewe ni mtu wa kuchill nyumbani 🏑 au wa kutoka kwenda viwanja
  4. JamiiForums Tanzania Viwanja 2 mbezi -Luguruni vinauzwa

    VIWANJA 2 – MBEZI LUGURUNI VINAUZWA Je, unatafuta kiwanja kwa ajili ya makazi au uwekezaji? Hii ni fursa yako! πŸ“ Eneo: Mbezi Luguruni πŸ”Ή Kiwanja cha 1 πŸ“ Ukubwa: 700 mΒ² (SQM 700) πŸ’° Bei: TSh Milioni 15 πŸ”Ή Kiwanja cha 2 πŸ“ Ukubwa: 1,300 mΒ² (SQM 1300) πŸ’° Bei: TSh Milioni 35 βœ… Vyote vimepimwa na vina...
  5. A

    JamiiForums Tanzania KERO Tumelipia viwanja Vikonje 'BM' – Dodoma, kampuni iliyotuuzia imeingia mitini, tunaomba msaada Serikalini hatusaidiwi

    Kero yangu ni kuna kampuni inauza viwanja inaitwa Landmatrix Ltd walikuja ofisini kwetu na kutueleza kuwa wanauza viwanja vilivyopimwa maeneo mbalimbali mnamo mwaka 2024 kwa wakati huo walikuwa na mradi eneo la Vikonje 'BM', Dodoma. Malipo yalikuwa ni kwa awamu ndani ya miezi 24 na makubaliano...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Huko kwenye viwanja vya Saba Saba hali ikoje?

    Vipi huko kwenye viwanja vya Saba Saba nini kinaendelea? Maonyesho yanaendelea ? Majibu tafadhali
  7. JamiiForums Tanzania Maandamano yaruhusiwe na yapewe ulinzi, yasije anzia kwenye viwanja vya maonyesho ya Sabasaba

    Hamjambo! Najua wahusika mpo humu na mnanisoma mara kwa Mara. Vitisho sio njia pekee ya kutuliza mambo. Njia nyingine ni kutoa mlango wa uani wa Faraja na matumaini. Faraja kwa maana yakuwa watu kwa mujibu wa Katiba na sheria wanayohaki ya kuandamana na kutoa maoni Yao, kutoa madai Yao, kwa...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Gen-Z wanaweza kufanikisha Maandamano ya 7/7. Kimsingi hayazuiliki kama yataanzia ndani ya viwanja vya Sabasaba

    Kabla ya kuendelea nianze kwa kusema, huu ni uchambuzi tu. Nitaanza kwa neno hili "herd behavior" hii ni tabia maalum ambayo kila binadamu anayo, kwa lugha ya kizungu hutafsiriwa hivi What herd behavior means: It's the tendency of individuals to copy what the crowd is doing rather than...
  9. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Halmashauri ya Mkuranga watendaji wa vijiji wanatoza ushuru wa 10% ya mauzo kwa wanunuzi wa viwanja

    Watendaji wa halmashauri ya wilaya ya mkuranga wanatoza ushuru wa manunuzi ya viwanja vya futi 50/40 kwa wananchii wanayonunua viwanja hiyo. Huku wakitambua kuwa ni kosa kisheria kuuza viwanja hivyo na kutoza tozo hizo ambazo ni kinyume na taratibu za mipango miji. Kwa mfano mwananchi...
  10. JamiiForums Tanzania Nahitaji kampani Leo, nani yupo tutokee viwanja

    Niko bored, Nani yupo tayari tutoke,awe mwanamke mwenzangu au mwanaume ni sawa,hata tukiwa sita au kikundi ni sawa pesa ya bili chini ya laki mbili ninayo. Nahitaji sura mpya,Mawazo mapya na nijifunze vitu vipya ,nitatokea kinyerezi,kuelekea Mawasiliano Ubungo,hapo tutapanga tukutane...
  11. JamiiForums Tanzania Viwanja vinauzwa Mbezi St. Joseph na Luguruni

    VIWANJA VINAUZWA – MBEZI ST. JOSEPH NA Mbezi LUGURUNI πŸ“Œ Ukubwa 20Γ—20 – Bei TSh Milioni 13 πŸ“Œ Ukubwa 22Γ—33 – Bei TSh Milioni 15 βœ… Viwanja vipo mtaa mzuri kwa makazi βœ… Gari zinafika mpaka kwenye viwanja βœ… Vinamiliki nyaraka halali na dokumenti zote muhimu Kwa maelezo zaidi na kupanga kutembelea...
  12. JamiiForums Tanzania Viwanja na Maeneo ya Uwekezaji tunayouza kwa sasa

    MAENEO YA UWEKEZAJI NA MAKAZI YANAUZWA KWA SASA! Mbezi Luguruni Heka 3 Lina nyumba kubwa ndani Mita 150 kutoka Morogoro Road Bei: TSh Bilioni 1.5 Mbezi Makabe Heka 1 Mita 200 kutoka barabara kuu ya Makabe Bei: Milioni 180 Mbezi Msakuzi Heka 1 Bei: Milioni 80 Mbezi Msumi Heka 1 Bei...
  13. A

    JamiiForums Tanzania KERO Hati za umiliki za Viwanja Inyala Zimekwama

    Mimi ni mkazi wa kata ya Inyala Mbeya vijijini. Ni mwaka sasa umeisha tulipimishwa viwanja kwa bei ya laki 1 na elfu 30 kwa kiwanja ili tupewe hati. Lakini mpaka sasa wahusuka wamepotea tukipiga simu wanasema tuwaulize watendaji wa vijiji maana wao ndo walikusanya pesa zetu na walikuwa...
  14. JamiiForums Tanzania Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

    TUPUUZE UPOTOSHAJI WA WANAHARAKATI Eneo tajwa lina viwanja vilivyopimwa na kuuzwa tangu mwaka 2022 ila wamiliki hawakuweza kwenda kuviona na kuviendeleza kutokana na kesi iliyokuwepo Mahakamani dhidi ya NSSF, Kesi ambayo ilifunguliwa na wavamizi wa eneo hilo. Kutokana na kesi kukamilika Mwaka...
  15. P

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Ardhi Tabora wanapeana viwanja wao kwa wao na matajiri wanaojuana nao

    Huwezi amini wametangaza viwanja kwenye mfumo wa tausi kama kutimiza majukumu tu. Wametoa siku tano za preview. Viwanja vilitakiwa kuanza kununuliwa tarehe 5/06/2026 saa nne kamili asubuhi. Nimekaa kwenye mfumo saa tatu na dakika 50 ili kuwahi kununua. Lakini saa 10:00 inafika papo hapo eti...
  16. A

    JamiiForums Tanzania KERO Wananchi tulionunua Viwanja eneo la Pembamnazi-Tungwi Songani tunahitaji hati zetu

    Kuna viwanja vilivyouzwa takribani miaka minne iliyopita na Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni katika eneo la Pembamnazi–Tugwi Songani. Hata hivyo, hadi sasa wananchi bado hawajapatiwa hati zao za umiliki. Kila wanapofuatilia ofisini, hawapati majibu ya kueleweka kuhusu ucheleweshaji huo...
  17. JamiiForums Tanzania Viwanja Kibamba Torino

    🏑 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA TORINO 🏑 πŸ“ Kibamba Torino, Ubungo – Dar es Salaam πŸ“ Ukubwa: Mita 20Γ—20 πŸ’° Bei: Kuanzia Milioni 15 βœ… Vimeigusa barabara ya lami ya Kibamba Shule–Kibwegere βœ… Umeme na maji ya DAWASCO vinapatikana βœ… Viwanja vingi, unachagua mwenyewe πŸš– Kutoka Kibamba Shule: Bajaji TSh...
  18. JamiiForums Tanzania Upimaji wa Viwanja na Mashamba Waendelea Nchini

    Katika mwaka wa fedha 2025/26, Wizara ilipanga kuratibu upimaji na uidhinishaji wa viwanja 500,000 na mashamba 500. Hadi Mei 15, 2026, jumla ya viwanja 193,317 vimepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 38.66 ya lengo, huku mashamba 515 yakiwa yamepimwa na kuidhinishwa, sawa na asilimia 103 ya...
  19. JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja kibamba shule-Kibwegere

    🏑 VIWANJA VINAUZWA – KIBAMBA KIBWEGERE 🏑 πŸ“ Njoo Kibamba Shule – Kibwegere ujikatie kiwanja chako sasa! βœ… Ukubwa wa kiwanja: Mita 20x20 βœ… Vipo mita chache kutoka barabara kuu ya Kibwegere βœ… Sehemu tambarare nzuri kwa makazi au uwekezaji βœ… Barabara inafika mpaka site πŸ’° Bei: Milioni 15.5 tu...
  20. JamiiForums Tanzania Plot4Sale Viwanja Mbezi mpigi magoe-machimbo

    πŸ“’ VIWANJA VINAUZWA – MBEZI MPIGI MAGOE (MACHIMBO) πŸ“’ πŸ”₯ Fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja eneo zuri na lenye maendeleo! 🏑 Viwanja vimebaki 7 tu πŸ’° Bei: Milioni 10 kwa kila kiwanja πŸ“ Eneo: Mbezi Mpigi Magoe – Machimbo ✨ Sehemu tambarare (flat land) πŸš— Barabara inafika hadi site πŸ“ž Piga simu: 0675...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…