My mee
Senior Member
- Jan 23, 2025
- 153
- 358
kuna mtu ZAMANI alikuwa na hela akafilisika.,sasa akanitafuta na kuuliza kama nataka kiwanja.
Akaniambia niulize bei ni mwambie.
Sasa kabla sijashika pesa siwezi kwenda kuangalia viwanja..
Kwa maeneo ya mbezi mpaka kibaha.naweza pata kiwanja kwa bei Gani.kisiwe bei sana. Huyu mtu namuona kabisa uchumi wake haujakaa sawa.
1ml mpaka 2ml.
Akaniambia niulize bei ni mwambie.
Sasa kabla sijashika pesa siwezi kwenda kuangalia viwanja..
Kwa maeneo ya mbezi mpaka kibaha.naweza pata kiwanja kwa bei Gani.kisiwe bei sana. Huyu mtu namuona kabisa uchumi wake haujakaa sawa.
1ml mpaka 2ml.