Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

Ushindi NSSF: Viwanja Vyafunguliwa kwa Wamiliki

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
763
Reaction score
685
IMG-20260605-WA0031.jpg
Screenshot_20260605_141911_Instagram.jpg

TUPUUZE UPOTOSHAJI WA WANAHARAKATI

Eneo tajwa lina viwanja vilivyopimwa na kuuzwa tangu mwaka 2022 ila wamiliki hawakuweza kwenda kuviona na kuviendeleza kutokana na kesi iliyokuwepo Mahakamani dhidi ya NSSF, Kesi ambayo ilifunguliwa na wavamizi wa eneo hilo.

Kutokana na kesi kukamilika Mwaka huu 2026 na kuipa ushindi NSSF sasa wamiliki wanaweza kwenda kuona maeneo yao kufuatia kutoka kwa TANGAZO hili.
 
Back
Top Bottom