vitabu

  1. Yoda

    Ni upekee gani wa WaIsrael ulifanya washushiwe vitabu vitatu kati vinne vya Mwenyezi Mungu?

    Wakristo wao wanaamini Israel ni taifa teule lilichogaliwa na Mungu ndio maana mambo yote ya dini ya Ukristo na ukombozi yamepitia Israel, hawana kipengele katika hili, mjadala uliopo unaowaganya ni kama Israel ya sasa au ya kale ndio taifa teule. Kwa upande wa Waislamu wao wana story ya...
  2. SIR.NOM

    JIFUNZE MAPISHI KWENYE VITABU HIVI

    #ICE_CREAM #JUICE #Kwa_mtaji_mdogo_tu. Anza leo biashara ya #Ice_Cream_&_Juice,kwa mtaji mdogo.Hadi elfu 20 tu,inatosha sana kuanza nayo kama mtaji. #Nakupa ofa ya Kitabu kitakacho kupa mafunzo ya kutengeneza #Ice_Cream na #Juice_za_matunda_zaid_ya_aina_30. Kwa #Tsh.2000/=(Elfu mbili tu)...
  3. LIKUD

    Wasomaji wa vitabu: Yupi nondo zaidi kati ya aliesoma vitabu vya somo moja mia tano au aliesoma vitabu mia tano vya mada mia tano tofauti?

    Katika hili, mimi hurejea hekima ya Bruce Lee. Aliwahi kusema " I don't fear a man who has practised 5000 kicks, but I fear a man who has practised 1 kick 5000 times" Bruce Lee is making a lot of sense kwa sababu huyu alie practice 5000 kicks anaweza kuwa " Master of None " Ila huyu alie...
  4. 4

    Yeriko Nyerere umeamua kua msaliti ndani ya chama chako cha awali ambacho kimekufanya kuwa pale ulipo, jitafakari sana

    Leo sina mengi ,ila imani ya Mungu ikawe juu yenu wanajf kila mmoja kwa imani yake. Yupo huyu Bwana aliekua CHADEMA Yeriko Nyerere. 1.Akome jiita Nyerere , maana kwanza sio mtoto wa Nyerere ,maana ukoo ulisha tamka, akihusishwa na yule mwingingine ambae watu wanamlalamikia ( ajifunze kwa ndugu...
  5. Meneja Wa Makampuni

    Vitabu vya Mafunzo ya Kutengeneza vitu mbalimbali vya Biaashara

    🍞 JE, UNATAKA KUTENGENEZA VITAFUNWA VYA BIASHARA? Kitabu hiki kinakuonesha hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza vitafunwa vitamu vinavyouzwa sana kama: ✅ Maandazi ✅ Chapati ✅ Vitumbua ✅ Halfcake ✅ Kababu za mayai na vingine vingi! 📘 Softcopy PDF – Toleo la 1 💰 Bei: TZS 15,000 📱 WhatsApp: 0612...
  6. PamojaTz

    Tunauza vitabu

    Tunauza Ebooks na Hardcopies za vitabu mbalimbali. Tafadhali wasiliana nasi kwa WhatsApp 0737317870.
  7. R

    Marais wa Tanzania, rekebisha tabia ya kuandika vitabu kukiri "unyama" mlio watendea wananchi mnapotoka madarakani . Tenda haki muwapo madarakani.

    1. Nyerere alikiri kuwa kosa kubwa alilolifanya ni kumnyonga Mwamwindi 2. Mwinyi................................................ 3. Mkapa akijutia mauaji ya Zanzibar 4. Kikwete.................................................................... 5...
  8. M

    Sikujua kwamba vitabu vya Mungu vinazungumzia maisha haya....

    Kumbe SSH na Kijani ndio wanahusika na "mene, mene, tekeli, na peresi" na Mnala wa BABELI....Maanake nashangaa sasa Kijani wameanza kuchanganyikiwa. Asante Rev. Hon Dr. Gwajima, Asante Basila Mwanakuzi, Asante Msanii uliyemshauri Mama...Asante Pia na Mwenezi wa Kinondoni maana ulifikiri...
  9. PamojaTz

    Uchambuzi vitabu.

    Atomic Habits ni kitabu kinachoeleza jinsi tabia ndogo sana ambazo hufanywa kila siku zinavyoweza kuleta mabadiliko makubwa katika maisha ya mtu. Badala ya kulenga mafanikio makubwa mara moja, mwandishi anashauri kuanza na hatua ndogo lakini thabiti. Anasisitiza kuwa mafanikio ya kweli...
  10. OMOYOGWANE

    Natamani kila mwana JF asome vitabu hivi viwili, ni zaidi ya degree ya saikolojia

    Aisee nyiee!! Huu mwaka nimejikuta nasoma vitabu viwili vya zamani ambavyo naamini kila mtu amewahi kuvisoma, lakini hivi vitabu ukisoma neno kwa neno, mstari kwa mstari, ukisoma kwa kutafakari na kuhusianisha na maisha halisi ya mtaani hskika utagundua mambo mengi yakushangaza sana Cha pili...
  11. The redemeer

    Vitabu vinavyoweza kukupa mwanga maarifa kuhusu mafanikio

    Kama unatafuta vitabu vya kujifunza siri za utajiri, kujenga mali, na mafanikio ya kifedha, hapa kuna baadhi ya vitabu maarufu na vya thamani vinavyoshughulikia mada hii: ### 1. Vitabu vya Klasiki kuhusu Utafiti na Uwekezaji - "The Richest Man in Babylon" – George S. Clason (Mtu Mjakazi...
  12. PamojaTz

    Uchambuzi wa vitabu muhimu.

    Ukihitaji kununua softcopy ya vitabu hivi tafadhali wasiliana nasi kwa WhatsApp 0737317870 au jambojambo633@gmail.com Personal Finance Books. The Total Money Makeover – Dave Ramsey → Kinaeleza mfumo wa hatua kwa hatua wa kudhibiti madeni, kuokoa pesa, na kujenga utajiri kwa nidhamu kali ya...
  13. Adolph Jr

    He! Kumbe Quran nayo ilipangwa vitabu, Machapisho na Ayyah zake na binadamu kama ilivyo kwa Biblia

    Shalom, Salam alaikum. Baada ya kusoma Biblia kuanzia Genesis Hadi Revelation nikaamua kuanza kusoma pia Quran (Mwaka huu). Ila Huwa napenda kufahamu chanzo, uandishi Hadi uwasilishaji wa kitabu kabla ya kuanza kukisoma kitabu hicho (Napima uzito). Na Hiki ndicho nilichogundua kwa upande wa...
  14. PamojaTz

    Nunua vitabu (Softcopies).

    Endapo unahitaji vitabu (Softcopies) tafadhali wasiliana nasi kwa WhatsApp 0737317870 au barua pepe jambojambo633@gmail.com Unaweza kujiunga na group la WhatsApp kwa kugusa link. https://chat.whatsapp.com/GeMQxtUquSY6VEEejW7FwO
  15. VITABU DHAHABU

    SULUHISHO LA VITABU. TELL/WHATSAPP 0787728422

    HABARI 👋JIPATIE VITABU VYA AVIATION NA VYA PHYSICS KWA NJIA HII 👇 I have compiled an essential list of Physics and Aviation books that you need to explore. You can easily search for these topics using this chat bot 👉Karabo | Vitabu Dhahabu. Don’t hesitate to reach out about any of these genres...
  16. VITABU DHAHABU

    NUNUA VITABU VYA AVIATION NA VYA PHYSICS KWA NJIA HII

    Hello 👋 I have compiled an essential list of Physics and Aviation books that you need to explore. You can easily search for these topics using this chat bot 👉Karabo | Vitabu Dhahabu. Don’t hesitate to reach out about any of these genres available in our inventory.
  17. Bado natafuta

    Msaada wa Vitabu vya cryptocurrency.

    Habari wanajamvi, wakubwa shikamoni. Naomba msaada wa vitabu vya cryptocurrency.
  18. Mhaya

    Mdau anahoji "kwanini Vitabu vya dini vimetafsiriwa kila lugha, lakini sio vitabu vya maarifa ya dunia"

    Mdau ahoji imekuwaje watu wamefanikiwa kutafsiri vitabu vya dini kuja kwenye lugha mbalimbali hili kila mtu allowe, lakini vitabu vya maarifa ya dunia kama Vya kijeshi, kiuchumi, kimatibabu, kisayansi na viinginevyo vyenye kumsaidia mwanadamu kuishi na mazingira havijatafsiriwa, yani vimebaki...
  19. The redemeer

    Wengi hawajui siri zilizopo ndani ya vitabu hivi vya dini, yaani Biblia, Quran na Tanakh

    Niongee machache kuhusu vitabu vya dini. Tuna dini kubwa tatu maarufu duniani ambazo ni Ukristo (Christianity), Uislamu (Islamic) na Uyahudi (Judaism) Dini hizo zote zina vitabu vyake vitakatifu. Biblia Takatifu kwa Wakristo, Quran Tukufu kwa Waislamu na Tanakh kwa Wayahudi. Tanakh ni Biblia...
  20. Setfree

    Biblia ni nini? Maelezo ya kina kuhusu kitabu hiki ambacho shetani anakichukia kuliko vitabu vyote!

    Biblia ni mkusanyiko wa vitabu 66 vilivyoandikwa na waandishi mbalimbali kwa muda wa takriban miaka 1,500, lakini vyote vina ujumbe mmoja unaotuelekeza kwa Mungu na jinsi ya kupata wokovu kwa njia ya Yesu Kristo. Biblia imegawanyika katika sehemu kuu mbili: Agano la Kale – Linaeleza uumbaji wa...
Back
Top Bottom