Wanasiasa wote duniani ni wachumia tumbo wapo kwaajili ya matumbo yao na famila zao na ndiyo wasaliti wakubwa kwa jamii zao.
Viongozi wa dini na waumini wao ndiyo wasaliti wakubwa wa wananchi kwani wamesaliti UAFRIKAWAO na ASILI ZAO na kufuata imani,mila na desturi za WAKOLONI ambao ni warabu...
"Tulisema haya yasipozingatiwa nchi haitakaa salama tunaelekea pabaya. Tuliongea taifa linaelekea pabaya tulishaona, lakini kupuuza viongozi wa dini ni hatari sana kwa sababu viongozi wa dini hawana maslahi binafsi kwenye taarifa zinazohusu uhai wa mtu.
Kwahiyo kusema watu wamenunuliwa si...
Tafadhali sikilizeni hii.
Na huu ndio uhalisia wa maisha mtaani Tanzania yote.
Nb: Viongozi wa Kiislam jitafakarini sana.
Kama ni bahasha na uchawa basi mnajidhalilisha.
Nyinyi mmekuwa sababu ya nchi nyingi balani Africa kukosa Amani kwa uchochezi wenu na kuingiza waumini wenu kwenye vita vya kidini huku nyinyi mkiendelea kuishi kwa raha na kwa Amani tele na familia zenu
Kwa Tanzania mtasubili sana kwa uchonganishi wenu
Tutawapuuza na tumewapuuza
Hamuwezi...
Viongozi wa Dini mbalimbali sasaivi wamekuwa ni sehemu ya kutetea mambo ovu yanayofanywa na wanasiasa.
Nasikitika kusema ya kwamba, huko mbeleni kuna watu hawatokuwa wakienda nyumba za ibada tena hususani zinazoongozwa na viongozi wachumia tumbo.
NOTE: Kadri dini zinavyojiingiza kwenye mambo...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha na Mawaziri pamoja na viongozi wa dini mara baada ya hafla ya uapisho iliyofanyika Ikulu Chamwino mkoani Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025.
Kiongozi wa dini yako umemuona?
Awamu hii nimejiona ufinyu wa akili za baadhi ya viongozi wa dini ya kiislamu, ufahamu na uelewa wao ni tatizo kubwa kwa watu ambao wanawaongoza; kwamba RAISI akiwa Muislamu, akifanya makosa asielezwe kwa kigezo cha dini?
WAKRISTO hawajaanza kukosoa leo, TUNDU LISU alipigwa risasi kwenye...
Baadhi ya viongozi wa dini nikama wamechanganyikiwa na hawajui waguse wapi, hii ni kwasababu ya kujiingiza kwenye maslahi badala ya kumtumikia Muumba madhara ya kuchanganya maji na mafuta kwenye chombo kimoja na mwisho kuishia kutengana
Kwa taarifa yao ni kuwa
-Muumba hawaelewi
-Serikali...
Katibu wa Kamati Maalum vya NEC Zanzibar , Idara ya Itikadi ,Uenezi na Mafunzo, Khamisi Mbeto Khamis ,ameeleza hayo katika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Visiwani humu
Mbeto alisema matatizo yaliochomoza yana taaswira yac Siasa hivyo ni busara utatuzi wake , ukachwaa mikononi mwa Serikali na...
Tanzania inapitia moja ya sura zake za giza zaidi tangu kupata uhuru. Matukio yaliyoambatana na uchaguzi mkuu wa 29 Oktoba 2025—uliogubikwa na madai ya ubakaji wa demokrasia, na ukandamizaji mkali wa maandamano ya vijana—yameitikisa nchi ambayo kwa muda mrefu ilijivunia utulivu wake. Mamia ya...
Wale wenye dini zenu mtaashuhudia viongozi wenu wa dini au wengine mnawaita wa kiroho watakavyojazana kwenye uapisho wake kumuombea na kuwaaminisha kwamba yeye ni chaguo au mpango wa mango pamoja na yote tuliyoshuhudia kwa macho yetu na tuliyopitia kama nchi huku Ulimwengu mzima nao ukishuhudia...
Viongozi mbalimbali wa dini mkoani Rukwa wametoa wito kwa waumini wao juu kuwapuuza watu wanao shawishi kupitia mitandao ya kijamii ili kufanya vurugu na maandamano wakati wa uchaguzi mkuu na badala yake wajitokeze kutimiza haki yao ya kikatiba kwa kuwachagua viongozi wanao wataka kwa maslahi ya...
Viongozi wa dini mbalimbali wilayani Mbulu, mkoani Manyara, wamejitokeza kuliombea Taifa amani na utulivu, kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29 mwaka huu, huku wakiwataka wananchi kujitokeza kupiga kura.
Soma: Mufti Mkuu awataka Watanzania kuhubiri na kulinda Amani
Kumekua na tabia ya Viongozi wa dini wakiwa wanakemea jambo la flani wanaleta udini aku kwenye kujenga hoja zao. Rais kiongozi wa serikali ni mtumishi wa Umma vyama vyote dini zote wasiokua na dini na pia serikali haina dini anaongoza watu wote kuna wengine sisi sio watumwa wa dini. Tumwombee...
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda, ameisihi jamii ya Kitanzania kuwaepuka watu aliowataja kufanya uchochezi wenye lengo la kuvuruga amani katika taifa, akisema ikiwa jamii na viongozi wataruhusu hayo, itasababisha madhara ambayo ni vigumu kuyashughulikia. Mtanda ameeleza hayo katika kongamano...
Akizungumza katika Kongamano la Amani la Viongozi wa Dini mbalimbali linalofanyika Mwanza leo Oktoba 20, 2025 Mwenyekiti wa amani mkoa wa Mwanza, Sheikh Hassana Kabeke amesema kuwa tunapoenda kupiga kura Oktoba 29, 2025 hatuendi kuchagua dini wala jinsia bali tunaenda kuchagua kiongozi...
Wakuu,
Sheikh mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Walid Alhad akizungumza kwenye Maulid ya mtume Temeke Azimio kuhusu umuhimu wa kushukuru na kuuishi uislamu alisema:
"Hakuna asiyekuwa muislamu akafanya maandamo, hayupo. Msiende mkapigiwa mpira wa karatasi ndani una jiwe. Usiende, sisi sio watu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.