viongozi wa dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. McLaren

    GE2025 Kanisa la FPCT latangaza mfungo wa siku tatu kuliombea Taifa kuelekea Uchaguzi Mkuu

    Makamu Askofu Mkuu wa makanisa ya FPCT nchini Elias Simon ametangaza siku tatu za ibada ya kufunga na kufanya maombi maalumu kwa ajili ya uchaguzi mkuu wa Rais ,Ubunge na Udiwani unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu, Huku akiwataka waumini wa madhehebu mbalimbali ya kikristo hapa nchini...
  2. comrade_kipepe

    Viongozi wa dini ya Kikristo wanazidi kuwindwa, wengine wameshakimbia nchi, SHIDA NI NINI??

    Ni kutomkubali tuu malkia?? Inamaana upande wa dini ile wote wanamkubali mtu wao??. Viongozi wa dini ya kikristo ambao hawafuati maelekezo ya malkia wanakiona cha moto, naanza kuamini ile barua ya mange kimambi japo Msigwa aliikanusha lakini sasahivi yanatendeka yaleyale.
  3. Mafyangula

    GE2025 Viongozi wa Dini na Wananchi Dodoma wasisitiza umuhimu wa Amani kwa Maendeleo ya Taifa

    Kuelekea kwenye Zoezi la uchaguzi Mkuu wa Tanzania Jumatano ya Oktoba 29, 2025, Viongozi wa dini, kijamii pamoja na wananchi wa Mkoa wa Dodoma wameungana pamoja kuhimiza amani, wakiitaja kama rasilimali muhimu kwa maendeleo ya Kijamii, kiuchumi, Viongozi wa dini wakisema amani ndiyo Neema muhimu...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Viongozi wa dini waeleza kuridhishwa na usalama wa nchi

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa Salum, amesema kuwa kwa tathmini waliyoifanya viongozi wa dini katika kipindi hiki cha kampeni kuelekea uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu, amani na usalama vimepewa kipaumbele. Amesema viongozi wa dini...
  5. R

    GE2025 Viongozi wa Dini Mwanza: Serikali isipuuze Maoni ya Viongozi wa dini, Maana wakati huu wa uchaguzi ndo tunaambiwa tuhubiri amani

    Viongozi wa dini mkoani Mwanza wameitaka Serikali kuacha kupuuza maoni yanayotolewa na viongozi wa dini na badala yake kuyafanyia kazi, ili amani na usalama viendelee kudumu nchini Wakizungumza katika mdahalo wa viongozi wa dini ulioratibiwa na Shirika la Ladies Joint Forum kuhusu umuhimu wa...
  6. McLaren

    GE2025 Viongozi wa dini Geita wasisitiza utunzaji wa amani

    Viongozi wa dini mkoani Geita wamekemea vikali viashiria vya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu kwa kuwataka watanzania kuendelea kuwapuuza baadhi ya watu wanaohamasisha vurugu kupitia mitandao ya Kijamii.
  7. H

    Viongozi wa Dini wasaidieni waumini kujitenga na uovu. Tangazeni Oktoba 29 iwe ni siku ya waliotekwa na kupotea

    Kazi kubwa ya kiongozi yeyote wa dini, ni kuwasaidia waumini wake kujitenga na uovu/dhambi. Kiuhalisia, uchaguzi unastahili kuwa tendo takatifu, hasa pale maamuzi yote wanapopewa wananchi. Kwani kwa kupitia wananchi hawa, Mungu, huwapatia wanadamu wake viongozi. Lakini kwa mazingira ya...
  8. B

    Mazungumzo ya Ndg. Humphrey Polepole - Kuhusu kutowatisha viongozi wa dini 25 Septemba 2025

    Mtaa wa Kajificheni Mazungumzo ya Ndg. Polepole - Kuhusu kutowatisha viongozi wa dini 25 Septemba 2025 https://m.youtube.com/watch?v=DdrvgHstRPw
  9. W

    Viongozi wa Dini zote kufanya matembezi ya Amani sio Uchawa

    Viongozi Wa Dini Wanavyofanya Matembezi Ya Amani Sio Kufanya Uchawa Bali Ni Kuliombea Taifa Amani Tulionayo Izidi Kudumu Kwenye Taifa Hili” Sheikh Walid Ameyasema Hayo Wakati Wa Matembezi Ya Amani Amani Yaliyofanyika Leo Septemba 20
  10. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Viongozi wa Dini na Kamati ya Amani Kufanya Matembezi ya Amani Septemba 20

    Ni wakati sasa viongozi wa dini waoneshe ujasiri wa kweli kwa kuandaa matembezi ya amani yenye lengo mahsusi la kukemea vitendo vya utekaji, ukatili na uonevu vinavyowakumba raia wasio na hatia. Sio haya matukio yao wakitoka wanapewa posho ✊ ================= Kamati Ya Amani na Viongozi Wa Dini...
  11. O

    Tetesi: Mange: Serikali yatoa maagizo ya kuwatambua Viongozi wa Dini wasiomuunga mkono Rais Samia

    Ameandika Mangekimambi "Amkeniiiiiii, mnalala mna raha gani na huku Mchengerwa, mkwe wa Rais katuma barua kwa wakuu wa mikoa wote wapeleke listi ya wachungaji ambao hawapo na Samia. Yani ni hivi Mchengerwa anataka listi ya majina ya wachungaji ambao hawapo upande wa Samia na list itaenda ikulu...
  12. Rorscharch

    Baa na Club Kubwa za Buza: Viwanda vya Kuzalisha Mashoga - Ni Wakati wa Kufichua Uovu Uliofichwa Mbele ya Macho Yetu!

    Dunia inacheka huku inaungua. Na sisi, Watanzania, tumelala usingizi wa pono, tukipuuza, huku moto ukiteketeza mtaa baada ya mtaa. Tumetulia, tukijiaminisha kuwa maafa bado yako mbali, bila kujua kwamba tayari yamevunja milango yetu na kuingia chumbani. Ukweli huu ni mzito na mchungu, na...
  13. K

    Wananchi, Wanaharakati na Viongozi wa Dini pazeni sauti zenu yuko wapi Mwinjilisti Elias Juma?

    Aliyeimba wimbo wa "Waraka wa CHADEMA" No reform No election.
  14. R

    GE2025 Mgombea Urais AAFP: Serikali yangu haitoruhusu ushiriki wa Viongozi wa Dini kwenye Siasa

    Mgombea urais kupitia Chama cha Alliance for African Farmers Party (AAFP), Kunje Ngombale Mwiru, akiendelea na kampeni zake mkoani Morogoro, amewakosoa baadhi ya viongozi wa dini wanaoingilia masuala ya kisiasa badala ya kusimamia majukumu yao ya kiroho na kuhubiri neno la Mungu Akihutubia...
  15. H

    Kwanini viongozi wa dini wasione umuhimu sasa wa kuwahubiri viumbe wengine ili nao waende mbinguni?

    Kama Mungu aliumba viumbe vyote kwa thamani sawa inamaana watu na wanyama wengineo pia watatakiwa kuwepo mbinguni. Sasa kwanini wanadini wanakomaa na watu tu na wameacha viumbe wengine ambao kiuhalisia nao wanafanya dhambi ya ngono,kuua,nk? Au hoja kuu ni SADAKA YA HELA?
  16. H

    Ujinga wa wengi ni kutokujua kuwa hata viongozi wa dini wanaichangia pesa CCM ibaki madarakani

    Hii ni ngumu sana kuamini lakini ukweli ni kwamba makusanyo ya sadaka na mali za waumini sehemu yake huchangia CCM Hao manabii na masheikh hawalipi kodi na ndiyo watetezi wa CCM
  17. H

    Ujinga wa wengi humu ni kutokujua kuwa hata viongozi wa dini wanaichangia pesa ccm ibaki madarakani

    Hii ni ngumu sana kuamini lakini ukweli ni kwamba makusanyo ya sadaka na mali za waumini sehemu yake huchangia ccm Hao manabii na masheikh hawalipi kodi na ndiyo watetezi wa ccm
  18. L

    Nafasi ya viongozi wa dini katika kuunganisha taifa na kuhubiri zaidi amani nchini nchini

    “Niwaombe viongozi wote wa dini hapa nchini kuendelea kuhubiri Amani, Utulivu na Upendo kwa waumini wenu na kuwa kiunganishi ili jamii iweze kuondokana na migogoro isiyokuwa na tija. ” Rais Dkt Samia Raisi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Samia amekuwa akisisitiza sana viongozi wa dini...
  19. Kimbesa11

    Maaskofu na Watumishi wa Mungu acheni kuhubiri siasa kwenye nyumba za Mungu mnajitesa bure pia mnatupotezea muda wetu Bora tungekaa nyumbani tu

    Mimi siwezi kuhama chama kisa eti Askofu au kiongozi wa dini kahuburi blah blah zake, kuonyesha hisia zake kwenye chama fulani, hizo ni paniki zake hazihusiani na mstakabali wa chama changu. Unakuta mtumishi wa Mungu anawasengenya watu kwenye madhabahu ya Mungu mpaka unajiuliza hivi anajua...
  20. Mkalukungone Mwamba

    Sheikh Ponda: Wanasiasa wanaamini wakiwepo viongozi wa dini kwenye siasa, dhamira zao za ubinafsi zitapata upizani mkubwa

    Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema wanasiasa wengi hawapendi viongozi wa dini kushiriki katika masuala ya siasa kwa sababu wanaamini hatua hiyo inaweza kuathiri maslahi yao binafsi. “Wanasiasa wanaamini kwamba wakiwepo viongozi wa dini kwenye siasa, dhamira zao za ubinafsi zitapata upinzani...
Back
Top Bottom