vingi

Vingis Park is the largest park in Vilnius, Lithuania. Located in a curve of the Neris River, it covers 162 hectares (400 acres). A pedestrian bridge connects the park with Žvėrynas. It is used as a venue for various events, especially concerts and sports competitions. It contains a small botanical garden of Vilnius University, stadium, and an amphitheater.
The park's history dates back several centuries. In 1965, the park was renovated and adopted to the needs of mass events, such as concerts or political rallies. The amphitheater was built using the design of the modified Estonian Song Festival Grounds in Tallinn. Several major rallies and demonstrations were held there during the course of the Lithuanian independence movement of the late 1980s; a rally on August 23, 1988 drew 250,000 people.

View More On Wikipedia.org
  1. kavulata

    JamiiForums Tanzania Kwenye chaka la vyama vingi kumejaa nguchiro wengi, kuwa makini

    Hata tufanyeje lazima tufanane na wazungu kwenye siasa za vyama vingi. Aina hii ya siasa ililetwa kwetu na wazungu kwakuwa wana kazi nayo, lakini vyama na wanasiasa waliopigania uhuru waliikubali aina hii ya siasa kwa shingo upande kwa kulazimishwa. Wakati wazungu wanaileta kwetu aina hii ya...
  2. Samia atosha tukutane2030

    JamiiForums Tanzania Benki ya Posta mna mambo ya kizamani. Mnataka viambata vingi kutoka kwa Watumishi ili muwakopeshe. Ambao hatutaki usumbufu tutaendelea kuwakimbia

    Wiki iliyopita nilienda Benki ya Posta kuomba mkopo ili nifanye miradi yangu. Dhamana kuu ni mshahara wangu. Sasa cha ajabu naambiwa nilete Picha zangu Barua yangu ya mkono Nakala ya kitambulisho cha NIDA NAKALA YA KITAMBULISHO CHA KAZI. Barua ya mwajiri Barua ya kuajiriwa Barua ya...
  3. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kuna vyanzo vingi vya mapato serikali ingeweza kuvibuni bila kuongeza kodi

    Kando ya barabara zote kunaweza kujengwa maduka yakapangishwa wamachinga. Hili linaweza kusimawa na halmamashauri za Wilaya. Majengo yakiwa ya kuvutia yatafanya mji uwe safi. Pia kujenga vyoo vya kulipia, kwa wenye maduka wataingia bure kwani kodi yao inachangia huduma za choo. Halmashauri...
  4. P

    JamiiForums Tanzania Chama kimoja nchini siyo demokrasia. Mfumo wa vyama vingi inatafsiriwa ni uchochezi

    Kila nyakati za uchaguzi na zisizo za uchaguzi, mfumo wa shughuli zakisiasa ni chonganishi kwa wananchi na si rafiki kwa wananchi. Kuna umuhimu wakuendelea kuwa kujiita tuna mfumo wa vyama vingi?
  5. Suley2019

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC) Elishilia Kaaya amefariki dunia

    Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC), Elishilia Kaaya amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi. Alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya AICC jijini Arusha.
  6. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watanzania wakikuona unavyo vingi wanataka mgawane?

    Hii tabia inaboa sana kwanza kwa Watanzania. Yani ukiwa na simu zaidi ya tatu kila unapokwenda lazima ukutane na yeyote kwanini usinipe moja, wakati japo yeye anayo. Ukiwa na gari zaidi ya mbili basi kama umetengeneza tatizo kwa wanaokuzunguka utasikia”una magari mengi bora ungetupa moja” sasa...
Back
Top Bottom