Members wote nawasalimu katika jina la JF,
Kuna mdau humu yeye hujisemea kwamba "Wanaume orignal tumebaki wachache" hii ina ka ukweli.
Huko mtaani vijana wa kiume wanashangaza sana, yaani kwa sasa nao pia wanataka kuwa "Warembo"
Baada ya dada zetu kusema wanapenda wanaume ma handsome, (achana...