Vijana wanahitaji ushauri. Vijana lazima wasali,watafakari,wamche Mungu.
Watu wengi ambao hawajasoma Msahafu wanataka kuwapotosha vijana.
Vijana wadogo hata hawajafikisha umri wa miaka ishirini, wanaadhibiwa vikali badala ya kupewa ushauri.
Usiku ni wakati wa kupumzika. Sasa ukihangaika...