JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,308
- 5,460
Kuongezeka kwa bei ya bidhaa na kuendelea kwa migogoro ya kisiasa imetajwa kuwa sababu ya wakazi wa Libya hasa vijana kudai kuwa wanaendelea na maandamano katika Mji Mkuu wa Tripoli hata baada ya kuandamana usiku kucha.
Maandamano ya hivi karibuni yameshuhudia matairi yakichomwa moto na barabara kufungwa huku maafisa wa usalama wakitazama bila kuingilia kati.
Maandamano yameendelea kusambaa katika Mji wa Beni Walid na Mistara, ambapo kundi la vijana linalojiita BELTRESS limesema litaendeleza maandamano Tripoli.
Kundi hilo linaitisha uchaguzi pamoja na kuvunjwa kwa serikali mbili hasimu pamoja na mabunge tofauti yalioko. Hasira miongoni mwa wakazi zimechochewa na ukosefu wa umeme kwa hadi saa 18 kwa siku, wakati huu wa msimu wa joto, licha ya taifa hilo kuwa lenye utajiri mkubwa zaidi wa mafuta barani Afrika.
Taifa hilo limekumbwa na misukasuko ya kisiasa tangu mwaka wa 2011, baada ya muungano wa NATO kumuondoa madarakani na kumuua kiongozi wa muda mrefu Moamer Kadhafi.
Source: France24
=================
Libya protests planned over power cuts, political deadlock
Libyans angered by rising prices, chronic power cuts and political deadlock planned further demonstrations Monday after a night of angry protests across the capital.
Masked youths set alight car tyres and blocked roads including a major coastal highway between central Tripoli and its western suburbs, but security forces did not intervene.
Videos carried by local media also showed demonstrations in Beni Walid and the port city of Misrata.
A youth movement calling itself "Beltress" said further protests were planned in Tripoli's Martyr's Square at 4:00 PM local time (1400 GMT).
The movement demands elections and the dissolution of both the country's rival governments and their two houses of parliament.
Public anger has been fuelled by power cuts that often last 18 hours amid soaring summer temperatures, despite Libya sitting on Africa's largest oil reserves.
The vast country has been mired in political unrest and armed violence since a 2011 NATO-backed uprising toppled and killed dictator Moamer Kadhafi.