vijana

  1. Uzi kwa ajili ya vijana na watoto wa elf2

    Karibuni wadau wote mliozaliwa miaka ya 2000's wadada na vijana wa kiume tuje tupeane michongo mbalimbali ya maisha Shangazi zetu na wajomba muwepo kutupa ushauri tu na si vinginevyo
  2. Vijana wa zamani 1950-2000 kulinganisha na 2000-2025 katika Jamii

    Muda una mambo yake Vijana wa Mwaka 1950-2000 siyo kama vijana wa miaka 2000-2025 Vijana hao walithubutu yafuatayo 1. Walishnikiza tukapata uhuru 2. Baada ya uhuru vijana Wengine wakataka kupindua SERIKALI ya Tanganyika na tanzania wazi wazi 3. Vijana waliteka ndege ya nchi na kuipeleka...
  3. Sasa unaambia vijana wasibabaike na kudanganyika na BIASHARA utafikiri sasa wana choice nyingine lukuki za kufanya

    Mi nafikiri tuache ujuaji sana. Experience yako binafsi isiwe ndio hitimisho kuu. Kwa maisha yetu sisi masikini wa kiafrika, fursa ziko limited na expensive maana rasilimali zimekuwa economized. Kijana huyu ambae amekaa miaka 6 hata hajawahi kuitwa katika interview, kijana alieishia forma 4...
  4. Vijana wa late 70s na 80s waliopewa fursa za Uongozi lakini wamekengeuka

    Ni wazi lipo rika la vijana ambalo ndio tunalitarajia lituvushe katika kipindi cha miaka 30 hadi 40 ijayo. Wapo waliobahatika kuingia kwenye korido za Chama na Serikali...ingawa baadhi yao hawana vifua vya chuma. Hapa naongelea uropokaji wa vijana hawa both ndani ya CCM na ndani ya vyama vingine...
  5. Vijana na Siasa

  6. Shangazi yake nani huyu? Ila hili suala la wazee kukosa pumzi amelisemea vizuri

    Ghafla kwenye pita pita zako unakutana na dada wa baba yako huko youtube anatafuta kakijana ka kumliwaza. Amewasemea vizuri mashangazi, wazee wenzetu pumzi zenu hazitoshi, mnatuacha na kiu :uwotWater: :uwotWater: Shangazi tokea Mtwara https://youtube.com/shorts/nHQ4pC_iCB4?feature=share
  7. Wosia wangu kwa vijana CCM ni chama kinacho thamani uwezo wa vijana wenye uwezo

    Wewe dogo JF ni sehemu ya kuruka viunzi vya mtaani na wahusika kukupima uwezo wako. CCM ina vijana luluki kutoka vyuoni, inabeba watu kutoka sekondari na vyuoni. Kama umesahaulika huko; JF ni sehemu ya wewe kuonyesha unaweza, jenga nchi. Be it in the process make CCM first and be yourself on...
  8. Kassim Majaliwa: Tuhakikishe vijana wanapata mafunzo ya ufundi stadi

    WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa wazazi na walezi kote nchini kuhakikisha wanawapeleka vijana wao kupata mafunzo ya ufundi stadi yanayoratibiwa na Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) pamoja na Ofisi ya Waziri Mkuu ili kuwawezesha kupata ujuzi utakaowasaidia kujiajiri na kuchangia maendeleo...
  9. ORODHA ya vijana wa Rostam na Kikwete

    1. January Makamba kkata ni geresha 2. Nape Nauye 3.Mwiguru mchemba 4.Rizi 1. 5 6. Ongezea na wewe
  10. Tafiti: Vijana chini ya miaka 35 huamini zaidi Conspiracy theories

    Utafiti mpya uliofanywa kwa ushirikiano kati yangu na Daniel Stockemer kutoka Chuo Kikuu cha Ottawa, uliotolewa katika jarida la Political Psychology, umeonesha kuwa umri ni miongoni mwa vihisishi vikuu vya kuamini Conspiracy theories — lakini si kwa namna ambayo wengi wangetegemea. Watu walio...
  11. Ushauri wa Ukweli kwa Vijana Kuhusu Maisha

    1. Jifunze Kujijua Kabla Ya Kujitangaza Usijaribu kuwa mtu mwingine ili ukubalike – jua wewe ni nani, unataka nini, na thamani yako iko wapi. Ukiwa original, huna ushindani. 2. Pesa ni Muhimu – Lakini Tabia ni Zaidi Unaweza kupata pesa leo na kupoteza kesho. Lakini ukiwa na nidhamu, heshima...
  12. Vijana wa sasa hawajui kusex

    Vijana wa sasa hawajui kabisa sanaa ya kusex.Dosari zao kubwa ni hizi: 1.Hawajui namna ya kumuandaa mwanamke.Mwanamke yafaa kuandaliwa mapema sana yaani toka asubuhi,mchana na jioni kwa tendo litakalofanywa usiku 2.Hawajui namna ya kumuanza mwanamke.Mwanamke muanze kwa maneno ya mahaba,vitendo...
  13. GE2025 Jaji Asina: Vijana mkiepuka wapotoshaji mtakuwa na mchango mkubwa uchaguzi mkuu

    Ujumbe wa Jaji Asina Omari, Mjumbe wa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), alioutoa wakati akizungumza na wawakilishi wa vijana, kwenye ukumbi wa mikutano Mlimani City Dar es Salaam, unasisitiza kuepuka utumiaji wa Akili Unde kutengeneza taarifa potofu ili kuzuia upotoshaji wakati wa uchaguzi. Kuzuia...
  14. R

    GE2025 Vunjo: Kimei aulizwa, Ukiwa bungeni ulisema Vijana wa Vunjo tunafanya kazi haramu, leo hii unakuja kuomba kazi kwa watu haramu, unafikiri tutakupa?

    Wakati zoezi la kuomba kura za maoni ndani ya CCM likiendelea katika Majimbo mbalimbali Nchini ili kumpta mtu mmoja atakaye peperusha bendera ya chama hicho kwa kila Jimbo, Charles Kimei ambaye anatetea kiti chake kwenye Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, amekabiliwa na maswali kuhusu ahadi zake...
  15. M

    Vijana Kuna mwanamke wa kuoa na mwanamke wa starehe, Usijichanganye utalia

    Katika vitu hutakiwi kukosea ni kuoa, ingawa pia Kuna bahati ndani yake ,ukibahatisha wife matilio utaifurahia ndoa kinyume chake ni majuto. Sasa Kuna sifa za wazi kabisa hata sisi wazee tunaziona na tunakushauri wewe kijana lakini umekomaa tu hutaki kusikia,. sikiliza .usioe wanyesifa...
  16. L

    Jesca Magufuli Atakata Kwa kushika nafasi ya Pili Nyuma ya Ng'wasi ,huku Halima Bulembo Aking'ara nafasi ya tatu Ubunge Viti Maalumu vijana Bara.

    Ndugu zangu Watanzania, Jesca Magufuli mtoto wa Rais wa Awamu ya Tano Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli Ameibuka kidedea na kutakata katika Kuwania ubunge wa viti maalumu Tanzania Bara kundi la vijana kwa kushika nafasi ya pili Nyuma ya Mwanadada machachari Ng'Wasi Kamani aliyeshika nafasi...
  17. GE2025 Mgombea ubunge viti maalum mwenye umri mdogo zaidi akiomba kura aahidi kuwasemea vijana kuhusu ajira

    Mgombea Ubunge wa Viti Maalum kupitia kundi la Vijana, Lightness Greyson Kihombo (23), ameomba kura mbele ya wajumbe wa Mkutano Mkuu Maalum wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Taifa, akiwania mojawapo ya nafasi sita kwa upande wa Tanzania Bara. Lightness, ambaye ni mgombea mwenye...
  18. Kwa vijana wote wenye mtazamo chanya

    Kijana, maisha ni safari yenye milima na mabonde, changamoto na mafanikio, furaha na huzuni. Lakini ndani ya kila changamoto kuna fursa ya kukua. Ili uwe awakened—yaani, uwe kijana aliyeamka kiakili, kiroho na kifikra—lazima uamue leo kuwa maisha yako yana thamani na kwamba uko hapa kwa kusudi...
  19. Nahitaji vijana 50 kubandika bango mjini DSM.

    Asee wakuu kwema? Kijana abandoned bango 100, kila bango 1 shilingi za kitanzania 800. Bandika bango 100 uchukue 80000 mzee mambo yasiwe mengi.. Kazi inataka watu wa dar wenye ari na nguvu na uhitaji wa kazi. Tunapendelea kufanya kazi na wa kiume zaidi. Kazi itaanza jumatatu na mwisho wa...
  20. Je, Vijana wa Kiafrika Wana Nafasi Katika Mapinduzi ya AI Bila Kuhama Bara?

    Nimekutana na kauli nzito ya mjasiriamali wa teknolojia Isaya Yunge kuhusu changamoto wanazokutana nazo wabunifu wa Kiafrika katika zama mpya za Artificial Intelligence (AI). Amesisitiza kuwa AI ni fursa ya kizazi hiki – inaweza kuleta mageuzi katika uongozi, uchumi, usalama, na hata Universal...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…