britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 18,060
- 46,992
Muda una mambo yake
Vijana wa Mwaka 1950-2000 siyo kama vijana wa miaka 2000-2025
Vijana hao walithubutu yafuatayo
1. Walishnikiza tukapata uhuru
2. Baada ya uhuru vijana Wengine wakataka kupindua SERIKALI ya Tanganyika na tanzania wazi wazi
3. Vijana waliteka ndege ya nchi na kuipeleka Ulaya , kwa sasa kuna mtu Anaweza akagusa hata mwendokasi Kuiteka?
4. Vijana walikuwa na Hoja walimgomea Rais Nyerere na Mwinyi wazi wazi pamoja na Utata wa Nyerere
5. Vijana waliandika na kukosoa hasa mambo ya msingi
6. Vijana h Wengine walithubutu thubutu hata baada ya 2000 wakaendesha vipindi vya kuwabana viongozi KITIMOTO Pascal Mayalla pale Chanel 10 , muda huu hawapo vijana wa kufanya hayo labda Odemba kwa mbaaali naye anaogopa
7. Vijana walianzisha media na forums Kama hii ya Maxence Melo japo nayo ni baada ya 2000 , Ila JF ya moto kipindi kile si ya sasa maana hii kama inaogopa sana na machawa wameivamia hakuna kupumua, kuna over moderation ya taarifa wanazifuta mno! Jf ya 2010-2019 Siyo hiii Hakika
8. Wabunge waliweza ungana wakatengeneza G55 miaka ya 90! Kwa sasa wabunge wote ni mazuzu
9. Vijana kipindi hicho Kama Ulimwengu, mwakyembe na Kabudi walikuwa wanaandika maandiko Mpaka watu wanadhani mwalimu anawaweka kizuizini, Ila yanaisha
10. Wanafunzi wa vyuo vikuu Rais Nyerere alikuwa anakuja kutuhutubia Mara kadhaa
Ila sasa hivi ni extended high school wala si wa mawazo ya ki chuo
11. Hata wapinzani wa nyuma unakuta Vyama vinne mfululizo vina watu kama Mrema, Mtikila, Marando, Lipumba (Japo baadae akakengeuka) Ila sasa tuna CHADEMA tu ndo Ina Lissu , Heche
Kupata mabadiliko naona tunataka kurejea sana zama hizo
Britanicca
Vijana wa Mwaka 1950-2000 siyo kama vijana wa miaka 2000-2025
Vijana hao walithubutu yafuatayo
1. Walishnikiza tukapata uhuru
2. Baada ya uhuru vijana Wengine wakataka kupindua SERIKALI ya Tanganyika na tanzania wazi wazi
3. Vijana waliteka ndege ya nchi na kuipeleka Ulaya , kwa sasa kuna mtu Anaweza akagusa hata mwendokasi Kuiteka?
4. Vijana walikuwa na Hoja walimgomea Rais Nyerere na Mwinyi wazi wazi pamoja na Utata wa Nyerere
5. Vijana waliandika na kukosoa hasa mambo ya msingi
6. Vijana h Wengine walithubutu thubutu hata baada ya 2000 wakaendesha vipindi vya kuwabana viongozi KITIMOTO Pascal Mayalla pale Chanel 10 , muda huu hawapo vijana wa kufanya hayo labda Odemba kwa mbaaali naye anaogopa
7. Vijana walianzisha media na forums Kama hii ya Maxence Melo japo nayo ni baada ya 2000 , Ila JF ya moto kipindi kile si ya sasa maana hii kama inaogopa sana na machawa wameivamia hakuna kupumua, kuna over moderation ya taarifa wanazifuta mno! Jf ya 2010-2019 Siyo hiii Hakika
8. Wabunge waliweza ungana wakatengeneza G55 miaka ya 90! Kwa sasa wabunge wote ni mazuzu
9. Vijana kipindi hicho Kama Ulimwengu, mwakyembe na Kabudi walikuwa wanaandika maandiko Mpaka watu wanadhani mwalimu anawaweka kizuizini, Ila yanaisha
10. Wanafunzi wa vyuo vikuu Rais Nyerere alikuwa anakuja kutuhutubia Mara kadhaa
Ila sasa hivi ni extended high school wala si wa mawazo ya ki chuo
11. Hata wapinzani wa nyuma unakuta Vyama vinne mfululizo vina watu kama Mrema, Mtikila, Marando, Lipumba (Japo baadae akakengeuka) Ila sasa tuna CHADEMA tu ndo Ina Lissu , Heche
Kupata mabadiliko naona tunataka kurejea sana zama hizo
Britanicca