Heri nusu shari kuliko shari kamili
Punyeto na porn ni mambo mawili ambayo yamekuwa tatizo kubwa hasa katika zama hizi za teknolojia za smartphones unazoweza kutumia ndani ya blanketi, chooni, vyumbani, n.k..
wengi wanaopiga punyeto wamejikuta wakiingia kwenye uraibu mwengine wa kuangalia...
Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation, Zuweina Farah (kulia), na Mkurugenzi wa TEHAMA wa kampuni hiyo, Athumani Mlinga (kushoto), wakimkabidhi tuzo mchezaji wa Don Bosco, Martin Benson, aliyechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa Mechi. Tukio hilo, lililofanyika tarehe 29 Agosti katika viwanja vya...
Leo siwapi kila kitu ila nitaendelea kutoa kila nikipata muda
1. Zinaa ( kula/ kuliwa mzigo) ni chanzo no1 kinachokwamisha harakati zako. Kubali, kataa, pinga au andamana ila huo ndio ukweli. Zile hisia za kujilaumu unazozipata baada ya kufanya ngono ni Taarifa ya kukuonesha kuwa kuna kitu cha...
Nawaza jinsi ninavyoziona hasira za vijana wa CCM dhidi ya Humphrey Polepole, Hawa vijana kwa bahati mbaya wakutane na Polepole mtaani, kitatokea nini?
Nusu saa iliyopita tumempoteza Mr Richard, ndugu wa karibu kabisa.
Wakati namshauri miaka hiyo mjomba kupunguza mambo, yetu yanauWa, ilikuwa ngumu sana kuelewa.
Baada ya miaka kadhaa, ndugu alianza kuumwa, baadaye wakakuta figo inashida.
Ilipofikia, haikuwa habari njema kwa familia.
Hatimaye...
Hawa vijana wa siku hizi kama mnashindwa kupata wachumba kwa nini msikwende kwa wazazi wenu wawatafutie wachumba.
Yani kama hiki kipindi kinauzunisha sana kwa hawa vijana.
Washkaji wawili waliingia KINYOZI kama wateja… wakaondoka kama founders wa IDEA ya Mamilioni ya Dollar.
startup kubwa huanza na swali dogo.
Kwa hawa wahuni wawili Songe LaRon na Dave Salvant, swali lilikuwa:
“Kwa nini kukata nywele inakua ngumu kuliko kusafiri na Uber?”
Mwaka 2015, waliamua...
Vijana wa kizazi chetu wanaishi maisha ya mkanganyiko. Tumefundishwa tangu tukiwa wadogo kwamba tusome kwa bidii, tufikie ndoto kubwa, tutengeneze maisha bora kuliko ya wazazi wetu. Lakini sasa tunapofungua macho, tunakutana na ukuta wa ukweli unaotuzuia kupita.
Maisha ya matarajio makubwa
Kila...
Kwanini Vijana wengi wa Kitanzania Wanaona Kujihusisha na Siasa ni kupoteza muda wakati hii ndiyo ungekuwa nafasi Yao kutengeneza undugu na kuongeza marafiki na kuwasaidia katika kufanikisha swala ajira
Vijana wanaandaliwa katika standards ambazo haziendani na hali halisi ya ukata.
Vijana wanaandaliwa katika matarajio ambayo hali halisi haiwezi kuyamudu.
Vijana wamekuwa squeezed katika chumba kimoja ambacho kina hewa kidogo ila alieko nje anategemea wapumue vizuri.
Kila kitu mbele yake sasa...
Leo , nipo kawe katika Siasa .
Ila nimefika mtaa fulani nimekuta kuna kiwanda kipo na kina zaidi ya mwaka mmoja kinaleta environmental pollution.
Je ni sahihi naomba watu wa mazingira tuwasiliane haraka.
Nazungmzia tukio hili ambalo hadi sasa bado tunasikilizia mrejesho wa kamanda wa jeshi la polisi huko morogoro atupe kisa kizima cha mchumba wa binti huyu kufanyiwa mashambulizi kadhaa ya kimwili.
Kwanza niweke bayana kuwa violence dhidi ya wanawake ambao physically ni dhaifu kwa mwanaume si...
Wakuu, unakuta kijana anaishi mikoa ya kusini au kanda za pembezoni huko. Halafu anaambiwa interview aje Idodomya, logistic costs inabidi familia zijichange afu atatakiwa ahudhurie interviews kadhaa kabla ya kubahatika kupata kazi.
Kivipi hapo yani, mtu anaweza tumia millions to attend several...
Zamani nilikuwa nasikia kuwa Dar ni jambo la kawaida
Lakini sasa hadi mikoa ya kanda ya ziwa ambayo ilisadikika kuwa vijana wanamaadili
Kuna nini? Kwa nini wanapenda wanawake wazee?
Ulevi
Kamari
Zinaa
Riba
Nimetaja kwa jumla sana hapo juu sasa ngoja nichambue kidogo.
Nyimbo siku hizi vitoto vyote vinaimba tena nyimbo zenyewe ni za kishenzi na kishetani haswa. Mbaya zaidi waliotakiwa kukomesha ndiyo kwanza wanaahidi kupaisha nyimbo hizo eti zienee na kutambuliwa ulimwenguni...
Mnawapa kazi wengine walikuwa wanakunywa wine sasa wanakunywa pombe moja kama ingekuwa sungura basi isingekuwa na jina mwenye jina la suti la mkia.
Hapa usiku wanataka kutengeneza kikosi kikubwa ambacho hata aliyetetea katiba anaweza kujikuta nchi sio za pesa usiku huu.
Matusi ili yanoge...
Kuna sport cars Toyota wametengeneza hadi kesho wanajisifu, tukiacha Toyota Supra basi ni hii GT 86.
Hii combination ya Toyota na Subaru wakaleta hii gari, kwa bei ambayo ata huwezi kuifikiria kutokana muonekano na performance yake.
Inakuja na engine ya Subaru boxer 2.0L na 6-gears manual...
Alama ya kijana ni kazi, kijana ni maneno machache kazi nyingi, kijana awe na tamaa ya maendeleo huku anafanya kazi siyo tamaa ya maendeleo huku anakesha anaangalia press za akili mnemba polepole badala apumzishe mwili kwaajili ya KAZI kesho yake.
Popote ulipo kijana onyesha upekee kiutendaji...
Hello!
Wanaume wanapopandana au wanawake wanapopandana wao kwa wao automatically ni kama wanajiengua kwenye idadi ya watu duniani.
Kama kwenye familia au ukoo mko 50 na 5 wamekuwa mashoga na wasagaji hiyo familia inapaswa kuhesabika mko 45 tu. This calculation also can be applied in national and...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.