Yaani naona wanaume wanapukutika tu. Yaani ukiacha ajali na vifo vya uzazi, wanaume wanakufa sana.
Ukizingatia tu idadi ya viongozi wetu wakuu wote waliofariki wake zao wapo
Karume, Nyerere,mwinyi, mkapa Lowasa Membe, Magufuli nk
Kuna tatizo gani niwaombe mabingwq waje na research ili tujue...