Brazili ni kati ya nchi zilizopuuza kuchukua hatua za kujikinga na #CoronaVirus. Rais wa nchi hiyo aliwaambia wananchi kuwa #COVID19 ni mafua tu
Vifo 816 viliripotiwa Mei 16 na kufanya idadi ya vifo nchini humo kufikia 15,663. Pia ina jumla ya visa 233,142
Kwa mujibu wa takwimu za Chuo Kikuu...