Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,011
- 9,879
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amewalaumu Tume ya Taifa ya Uchaguzi kwa vifo vya mawakala watano wa chadema katika ajali ya gari iliyotokea barabara ya Molo – Sumbawanga
Mnyika amesema mawakala hao wamefariki walipokuwa wanawahi ofisi za Mkurugenzi kuapishwa kutokana na utaratibu kubadilika na kuwataka mawakala wote waapishwe ofisi za halmashauri
Mnyika amesema maeneo mengine nchini hayana jiographia nzuri hivyo kuna kata ambazo hutumia muda mwingi kufika halmashauri
Aidha amesema CHADEMA wako pamoja na wanafamilia waliofiwa lakini shughuli za kuhakikisha mawakala wanaapishwa zinaendelea
Mawakala waliofariki awali walikuwa wanne, na watatu walikuwa mahututi, na mmoja kati ya kmahututi amefariki hivyo amefanya idadi ya waliofariki imefikia tano
Mnyika amesema mawakala hao wamefariki walipokuwa wanawahi ofisi za Mkurugenzi kuapishwa kutokana na utaratibu kubadilika na kuwataka mawakala wote waapishwe ofisi za halmashauri
Mnyika amesema maeneo mengine nchini hayana jiographia nzuri hivyo kuna kata ambazo hutumia muda mwingi kufika halmashauri
Aidha amesema CHADEMA wako pamoja na wanafamilia waliofiwa lakini shughuli za kuhakikisha mawakala wanaapishwa zinaendelea
Mawakala waliofariki awali walikuwa wanne, na watatu walikuwa mahututi, na mmoja kati ya kmahututi amefariki hivyo amefanya idadi ya waliofariki imefikia tano