Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 6,860
- 12,291
Kwanza kbs natanguliza salam kwa kila mwanachama mwenzang hapa JF, na pia nawatakia heri ya xmass na mwaka mpya ujao.
Niende sasa kwenye mada kuhusu mambo ambayo nimeyaona na kuyasikia kwa watu mbalimbali, lkn kwa kuokoa muda leo nitazungumzia matukio mawili ambayo nimeyashuhudia kwa macho yangu. Kuna rafiki yang ambae amefariki juzi ambapo kabla ya kufariki alianza kwanza kuumwa kwa kipindi cha wiki 1.
Ugonjwa wake ulianza siku ya jumanne ya wiki iliyopita ambapo alianza kusikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Mwanzo mwanzo alitumia dawa ya kupunguza maumivu akidhani labda maumivu yale yangeisha lkn kadri muda na siku zilivyokwenda maumivu yalizidi kuongezeka, japo alipokuwa anameza dawa yalikuwa yanapoa kwa masaa kadhaa baadae yanaendelea tena zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.
Alipoona maumivu yanazidi, Jumatatu ya wiki hii ikabidi ndugu zake wampeleke hospitali ambapo wakamfanyia vipimo na kumpa dawa nyingine za kupunguza maumivu, ila inasemekana daktari alilaumu kwa kuchelewa kwao kumpeleka mgonjwa wao hospitali.
Jamaa wakamrudisha nyumbani kuendelea na dozi zake. Siku ya J4 wiki hii nilikwenda kumuona kwa kweli jamaa alikuwa na hali mbaya sana na hata kuongea nae kulikuwa kwa shida. Ktk kumdadisi jamaa nikamuuliza labda kuna kitu ambacho anaweza kuwa alikula kikamu affect mpaka kumsababishia maumivu yale ndipo jamaa akanambia kwamba alilala na mwanamke fulani ambae alikuwa ametoka kutoa mimba siku chache kabla ya kukutana na rafiki yangu na kwamba hicho kitendo cha kulala na yale mwanamke aliyetoa mimba siku chache ndio kilichomletea ugonjwa ule na akadai kwamba kwa hali aliyofikia hawezi tena kupona.
Nikampa moyo lkn pia nikakumbuka miezi 6 iliyopita tulimzika ndugu yangu ambae na yeye aliumwa na kufa kwa style ile ile ya rafiki yangu. I mean na yeye alilala na mwanamke aliyetoa mimba kesho yake akaanza kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu baada ya siku 5 akafariki.
Sasa baada ya kushuhudia vifo hivi pamoja na habari nyingine nilizowahi kuzisikia kuhusu aina hii ya vifo ningependa kujua ni kitu gani ambacho humsababishia mwanaume tu peke yake maumivu na hatimaye kifo chake huku muhusika aliyetoa mimba(mwanamke) akibaki mzima wa afya?
Pia inasemekana kwamba ukiupata ugonjwa huu inatakiwa uanze kupata tiba kabla ya siku 3 kupita, tena inasemekana tiba yake inapatikana kwa dawa zetu za kienyeji.
Inasemekana ukizidisha tu siku tatu basi kama ni Muislam uanze kuandaa sanda na usia kbs na kama ni mkristo uandae sanduku na usia maana uwezekano wa kuendelea kuishi ni mdogo mno yani ni sawa sawa na kupitisha treni kwenye daraja la mbao.
Mwenye kuelewa zaidi mambo haya au kama uliwahi kushuhudia vifo vya aina hii unakaribishwa.
Niende sasa kwenye mada kuhusu mambo ambayo nimeyaona na kuyasikia kwa watu mbalimbali, lkn kwa kuokoa muda leo nitazungumzia matukio mawili ambayo nimeyashuhudia kwa macho yangu. Kuna rafiki yang ambae amefariki juzi ambapo kabla ya kufariki alianza kwanza kuumwa kwa kipindi cha wiki 1.
Ugonjwa wake ulianza siku ya jumanne ya wiki iliyopita ambapo alianza kusikia maumivu ya tumbo chini ya kitovu. Mwanzo mwanzo alitumia dawa ya kupunguza maumivu akidhani labda maumivu yale yangeisha lkn kadri muda na siku zilivyokwenda maumivu yalizidi kuongezeka, japo alipokuwa anameza dawa yalikuwa yanapoa kwa masaa kadhaa baadae yanaendelea tena zaidi ya ilivyokuwa mwanzo.
Alipoona maumivu yanazidi, Jumatatu ya wiki hii ikabidi ndugu zake wampeleke hospitali ambapo wakamfanyia vipimo na kumpa dawa nyingine za kupunguza maumivu, ila inasemekana daktari alilaumu kwa kuchelewa kwao kumpeleka mgonjwa wao hospitali.
Jamaa wakamrudisha nyumbani kuendelea na dozi zake. Siku ya J4 wiki hii nilikwenda kumuona kwa kweli jamaa alikuwa na hali mbaya sana na hata kuongea nae kulikuwa kwa shida. Ktk kumdadisi jamaa nikamuuliza labda kuna kitu ambacho anaweza kuwa alikula kikamu affect mpaka kumsababishia maumivu yale ndipo jamaa akanambia kwamba alilala na mwanamke fulani ambae alikuwa ametoka kutoa mimba siku chache kabla ya kukutana na rafiki yangu na kwamba hicho kitendo cha kulala na yale mwanamke aliyetoa mimba siku chache ndio kilichomletea ugonjwa ule na akadai kwamba kwa hali aliyofikia hawezi tena kupona.
Nikampa moyo lkn pia nikakumbuka miezi 6 iliyopita tulimzika ndugu yangu ambae na yeye aliumwa na kufa kwa style ile ile ya rafiki yangu. I mean na yeye alilala na mwanamke aliyetoa mimba kesho yake akaanza kuhisi maumivu ya tumbo chini ya kitovu baada ya siku 5 akafariki.
Sasa baada ya kushuhudia vifo hivi pamoja na habari nyingine nilizowahi kuzisikia kuhusu aina hii ya vifo ningependa kujua ni kitu gani ambacho humsababishia mwanaume tu peke yake maumivu na hatimaye kifo chake huku muhusika aliyetoa mimba(mwanamke) akibaki mzima wa afya?
Pia inasemekana kwamba ukiupata ugonjwa huu inatakiwa uanze kupata tiba kabla ya siku 3 kupita, tena inasemekana tiba yake inapatikana kwa dawa zetu za kienyeji.
Inasemekana ukizidisha tu siku tatu basi kama ni Muislam uanze kuandaa sanda na usia kbs na kama ni mkristo uandae sanduku na usia maana uwezekano wa kuendelea kuishi ni mdogo mno yani ni sawa sawa na kupitisha treni kwenye daraja la mbao.
Mwenye kuelewa zaidi mambo haya au kama uliwahi kushuhudia vifo vya aina hii unakaribishwa.