Aise! Wajuvi
Baada ya kukaa ndani sana nikasema ngoja ninyooshe miguu,Sasa nikakatiza maeneo fulani kuna chochoro ambayo pembeni kuna bweni la wasichana wa shule fulani, Nikiwa sijui hili wala lile nikavutwa shati kwa mkono uliopenya kwenye kiuzio cha bogavilia, Shwaa nikajikuta nimeangukia...