Zack Abdul
JF-Expert Member
- Mar 9, 2026
- 574
- 534
UWAJIBIKAJI
Namna ya kufikia uwajibikaji ina vipengele vitatu:
1. Uwajibikaji binafsi – mtu kuwajibishwa kwa kosa alilotenda yeye mwenyewe, iwe ni kosa la madai au jinai, kwa kuzingatia vigezo vya kisheria.
2. Uwajibikaji wa kiongozi au kamanda – kuna vigezo maalum; kiongozi au kamanda lazima awe na uwezo wa kuamuru, kuelekeza au kusimamia aliyetenda kosa, na awe alijua au alipaswa kujua kuhusu tendo hilo kabla halijatendeka.
3. Uwajibikaji wa taasisi – Tume inaongozwa na hadidu za rejea, na si jukumu lake kumtia mtu hatiani. Mfumo huu wa kisheria unatumika katika nchi 57 za Jumuiya ya Madola kwa zaidi ya miaka 150
Mwenyekiti wa TUME - Jaji Mstaafu Chande.
Namna ya kufikia uwajibikaji ina vipengele vitatu:
1. Uwajibikaji binafsi – mtu kuwajibishwa kwa kosa alilotenda yeye mwenyewe, iwe ni kosa la madai au jinai, kwa kuzingatia vigezo vya kisheria.
2. Uwajibikaji wa kiongozi au kamanda – kuna vigezo maalum; kiongozi au kamanda lazima awe na uwezo wa kuamuru, kuelekeza au kusimamia aliyetenda kosa, na awe alijua au alipaswa kujua kuhusu tendo hilo kabla halijatendeka.
3. Uwajibikaji wa taasisi – Tume inaongozwa na hadidu za rejea, na si jukumu lake kumtia mtu hatiani. Mfumo huu wa kisheria unatumika katika nchi 57 za Jumuiya ya Madola kwa zaidi ya miaka 150
Mwenyekiti wa TUME - Jaji Mstaafu Chande.