Katika historia ya mataifa mengi, tumewaona watu waliopanda juu kwa ahadi za matumaini, wakaketi kwenye viti vya enzi, wakiapa kuwatumikia watu. Lakini baada ya muda, baadhi yao wakasahau. Wakasahau kuwa mamlaka si urithi, ni dhamana. Wakasahau kuwa madaraka si kinga ya kuendelea kuumiza, bali...