Kupitia ukurasa wake wa Facebook mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayoub Rioba Chacha ameandika:
Nataka niingie kwenye rekodi. Ili hata siku mtakapokuja kuniua, ibaki kwenye kumbukumbu. Naona sasa ni kama vile 'narrative' inabadilishwa kwa sababu ya propaganda! Ni hivi...
Wakati vyombo vya usalama vinatuhumiwa kuua wananchi kwa kiwango kikubwa kiholela, ukosefu wa hatua za haraka za kuwajibisha unachochea hasira za umma, unaharibu uhalali wa taasisi, na unaongeza hatari ya kutokuwepo kwa utulivu. Uchunguzi rasmi unaweza kuchukua muda, lakini hatua za muda za...
Miaka ya karibuni, Siasa za Tanzania zimekuwa zikikumbwa na mabadiliko makubwa ya kimtazamo kutokana na mfululizo wa matukio ambayo hayakupata uwajibikaji wa wazi.
Tukio moja baada ya jingine limekuwa likiacha maswali mazito kuhusu uthabiti wa taasisi, usalama wa raia na mustakabali wa...
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu ametuma ujumbe kutoka Gerezani ukonga, akibainisha kuwa hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji.
Aidha, amesema hakuna haki bila amani. Ujumbe huu ameuandika kwa mkono wake mwenyewe.
Tuna tatizo kubwa sana pale tunapo kosea kufikiria ni wapi pa ktupia lawama, kusingizia, kubana ukweli, kuwapa kesi wanaoanika ukweli, n.k.
Na hata pale kila kitu kinapokuwa wazi tunakimbilia kuomba misamaha ya sinema huku mambo yale yale yakirudiwa.
Kitu pekee kinachoweza kutulinda ni sheria...
Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Wakili, Boniface Mwabukusi, amesema kwa sasa Taifa linahotaji haki, ukweli na uwajibikaji, mambo ambayo amesema yatawawezesha watanzania kufahamu watatoka kwa namna gani mahali walipo kwa sasa, na sio kuanza kuwalaumu Vijana
Akizungumza na...
Naon CCM wameanza kulegea tayari hatuwezi kufanya maridhiano sasa hivi hii inaitwa TOO LATE MISSION tunahitaji UWAJIBIKAJI wao kwa kujiuzulu mara moja nakuanza mazungumzo baada yao kuwajibika kwa kujiuzulu.
Wakuu
Mmeona wenzetu wanavyowajibika? Regardless of whether they were bullied into make the decision lakini inaonesha ni kwa jinsi gani wenzetu wanajali maoni ya wananchi maana backlash ilikuwa kubwa sana
Nimewaza tu iwapo mtu kama Balile anaweza kujiuzulu, tena kwa sababu kama hii...
RC Chalamila leo alipata nafasi ya kupokea simu za wananchi huku akiwapoza kuwa haki ya usalama wa jiji ni shwari.
Aidha, amesema Polisi na Vyombo vya Usalama hawajaua mtu katika maandamano yaliyotokea. Ameongeza kuwa watu kufa ni jambo la kawaida.
Katika simu alizokuwa anapokea, mama mmoja...
Nchini China, siku ya Ijumaa, maafisa tisa, wakiwemo maafisa wawili wa juu wa jeshi, wamefukuzwa kazi. Kwa mujibu wa Reuters, waliotimuliwa ni pamoja na Jenerali He Weidong na Admirali Miao wa Jeshi la Wanamaji. Taarifa hiyo imetolewa na Wizara ya Ulinzi ya China.
Maafisa hao wamefukuzwa...
Mapema leo mchana Msemaji wa Jeshi la Madagascar Kanali Michael Randriairina alisema maneno kuntu ambayo yatakumbukwa vizazi na vizazi.
Maneno hayo ni
"Haya sio Mapinduzi, Hiki ni kitendo cha Uwajibikaji"
Tukiwq tunaelekea tarehe 29 Oktoba 2025, macho na masikio yetu Watanzania ni kwa Jeshi...
1. Mzee KIBAO.
2. Chaula.
3. Mdude.
4. Soka.
Haya yafanyike regime ya waliotawala awamu hii wakiwa hai. Ili waone waliyowafanyia watanzania wenzetu.
Baada ya hapo asiwasahau pia kina:
1. Alphonce Mawazo.
2. Sativa.
3. Lissu.
Na wengine wengi tusiowajua na wasio na majina makubwa ila...
Mgombea Urais akisema kwa kinywa chake kwamba anachukia ufisadi atawashughilikia mafisadi. Watumishi wa Umma wazembe watawajibishwa na nidhamu kwa watumishi wa umma. Wakwepa kodi kukiona cha moto kulinda rasilmali za nchi huyu ana kura yangu.
Sioni mgombea anazungumzia kuku za Uchumi wa nchi...
Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Aron Kagurumjuli imesema umiliki wa kiwanja kilichopo kwenye kitalu namba 1,022 eneo la Sinza E, Dar es Salaam ni wa mtu binafsi kwa mujibu wa nyaraka zilizopo kwenye ofisi za ardhi.
Kauli hiyo imekuja kufuatia baadhi ya...
Wasalaam ndg zangu
Chuo Cha TIA Kuna uozo unaendelea ambao sio mzuri
Kuna wanafunzi almost 20+ kesi zao zimetoka kusikilizwa siku so nyingi lakini there is something fishy maana kesi kama hizi TIA zimekithiri sana na NACTVET ipo kimya.
For instance kuna mwanafunzi amekuwa disqualified sababu...
Soko la benki Tanzania halijawahi kuwa na ushindani mkali kiasi hiki. Banks zipo kwenye mchuano mkali na Wateja wana uwezo wa kuhama benki kwa urahisi mkubwa mara 10 zaidi kuliko kubadilisha mtandao wa simu. kutunza wateja katika sekta hii kunahitaji Trust, Loyaty na uamiifu, ni vitu...
Naomba nifichue huu uovu wa baadhi ya Maafisa wa Uhamiaji waliopo Wilaya ya Muleba, wameweka “Road Barrier” maeneo ya Kasindaga wamekuwa na tabia ya kula rushwa hao na kunyanyasa watu wanaopita eneo hilo, ukipita tu bila kitambulisho lazima uache pesa pale la sivyo kazi unayo.
Hili lichukuliwe...
Ni miezi 6 sasa nafuatilia usajili wa kikundi chetu kwa mkuu wa wilaya ya kinondoni chini ya wizara ya mambo ya ndani.
Kila nikienda nipate majibu wananiambia taarifa zetu hazijarudi na hawajui ni lini zitarudi tumeamua kusajili kwa njia ya mtandao online tumelipia elfu 50 ya fomu ya huduma ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.