uwajibikaji

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. baz kaiza

    Kudai haki na Uwajibikaji na Ufisadi, Wizi, na Utekaji, ndo kilipelekea Maadamano tuache Kutafuta mchawi

    Sikuwahi kujua kwamba wauaji, Mafisadi, Watekaji, Wezi wa rasilmali za nchi wana nguvu kiasi hiki? Kwanza ilianza mtu akikosoa serikali...
  2. Just Pray

    PostGE2025 Dkt. Rioba wa TBC awajia juu wanaodai uwajibikaji wa watendaji wa serikali. Asema tusijidanganye kwamba 29 Oktoba kulikuwa tu na mauaji ya raia

    Kupitia ukurasa wake wa Facebook mkurugenzi wa shirika la utangazaji Tanzania (TBC) Dkt. Ayoub Rioba Chacha ameandika: Nataka niingie kwenye rekodi. Ili hata siku mtakapokuja kuniua, ibaki kwenye kumbukumbu. Naona sasa ni kama vile 'narrative' inabadilishwa kwa sababu ya propaganda! Ni hivi...
  3. Pulchra Animo

    Je, Ni Aina Gani za Uwajibikaji Unaoweza Kufanyika Kabla ya Uchunguzi Rasmi?

    Wakati vyombo vya usalama vinatuhumiwa kuua wananchi kwa kiwango kikubwa kiholela, ukosefu wa hatua za haraka za kuwajibisha unachochea hasira za umma, unaharibu uhalali wa taasisi, na unaongeza hatari ya kutokuwepo kwa utulivu. Uchunguzi rasmi unaweza kuchukua muda, lakini hatua za muda za...
  4. DodomaTZ

    PostGE2025 Taswira ya Siasa Tanzania chini ya kivuli cha matukio yasiyo na Uwajibikaji

    Miaka ya karibuni, Siasa za Tanzania zimekuwa zikikumbwa na mabadiliko makubwa ya kimtazamo kutokana na mfululizo wa matukio ambayo hayakupata uwajibikaji wa wazi. Tukio moja baada ya jingine limekuwa likiacha maswali mazito kuhusu uthabiti wa taasisi, usalama wa raia na mustakabali wa...
  5. Heparin

    PostGE2025 Tundu Lissu: Hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Hakuna amani bila haki

    Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Tundu Lissu ametuma ujumbe kutoka Gerezani ukonga, akibainisha kuwa hakuna Maridhiano bila Ukweli na Uwajibikaji. Aidha, amesema hakuna haki bila amani. Ujumbe huu ameuandika kwa mkono wake mwenyewe.
  6. M

    Waafrika tuna allergy kubwa sana na UWAJIBIKAJI, hatupo tayari kuonekana tumekosea

    Tuna tatizo kubwa sana pale tunapo kosea kufikiria ni wapi pa ktupia lawama, kusingizia, kubana ukweli, kuwapa kesi wanaoanika ukweli, n.k. Na hata pale kila kitu kinapokuwa wazi tunakimbilia kuomba misamaha ya sinema huku mambo yale yale yakirudiwa. Kitu pekee kinachoweza kutulinda ni sheria...
  7. R

    PostGE2025 Mwabukusi: Kinachohitajika sasa ni ukweli, haki na uwajibikaji, tusiwalaumu vijana ni waathirika wa mifumo

    Rais wa Chama Cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) Wakili, Boniface Mwabukusi, amesema kwa sasa Taifa linahotaji haki, ukweli na uwajibikaji, mambo ambayo amesema yatawawezesha watanzania kufahamu watatoka kwa namna gani mahali walipo kwa sasa, na sio kuanza kuwalaumu Vijana ‎ ‎Akizungumza na...
  8. Its Tesha

    Nasemaje hakuna MARIDHIANO bila UWAJIBIKAJI

    Naon CCM wameanza kulegea tayari hatuwezi kufanya maridhiano sasa hivi hii inaitwa TOO LATE MISSION tunahitaji UWAJIBIKAJI wao kwa kujiuzulu mara moja nakuanza mazungumzo baada yao kuwajibika kwa kujiuzulu.
  9. McLaren

    Mkurugenzi Mkuu pamoja na Mtendaji wa BBC wajiuzulu baada ya Shirika hilo kuhariri video ya Trump ili kupotosha

    Wakuu Mmeona wenzetu wanavyowajibika? Regardless of whether they were bullied into make the decision lakini inaonesha ni kwa jinsi gani wenzetu wanajali maoni ya wananchi maana backlash ilikuwa kubwa sana Nimewaza tu iwapo mtu kama Balile anaweza kujiuzulu, tena kwa sababu kama hii...
  10. M

    GE2025 Day 5: RC Chalamila asema hakuna aliyeuawa na Polisi. Asema watu kufa ni jambo la kawaida

    RC Chalamila leo alipata nafasi ya kupokea simu za wananchi huku akiwapoza kuwa haki ya usalama wa jiji ni shwari. Aidha, amesema Polisi na Vyombo vya Usalama hawajaua mtu katika maandamano yaliyotokea. Ameongeza kuwa watu kufa ni jambo la kawaida. Katika simu alizokuwa anapokea, mama mmoja...
  11. M

    GE2025 Tarime, Mara: Wananchi wawaambia wanajeshi - Sisi tunakemea utekaji, tunataka Demokrasia

    Hii imetokea leo Oktoba 30, 2025 huko Tarime mkoani Mara Sikiliza, angalia:
  12. Mkalukungone Mwamba

    Ufisadi Jeshini: Rais wa China awatimua vigogo 9

    Nchini China, siku ya Ijumaa, maafisa tisa, wakiwemo maafisa wawili wa juu wa jeshi, wamefukuzwa kazi. Kwa mujibu wa Reuters, waliotimuliwa ni pamoja na Jenerali He Weidong na Admirali Miao wa Jeshi la Wanamaji. Taarifa hiyo imetolewa na Wizara ya Ulinzi ya China. Maafisa hao wamefukuzwa...
  13. Lord Denning

    Maneno Kuntu kutoka Msemaji wa Jeshi la Madagascar " Haya sio Mapinduzi ni Kitendo cha Uwajibikaji"

    Mapema leo mchana Msemaji wa Jeshi la Madagascar Kanali Michael Randriairina alisema maneno kuntu ambayo yatakumbukwa vizazi na vizazi. Maneno hayo ni "Haya sio Mapinduzi, Hiki ni kitendo cha Uwajibikaji" Tukiwq tunaelekea tarehe 29 Oktoba 2025, macho na masikio yetu Watanzania ni kwa Jeshi...
  14. Superbug

    Atakapoingia Rais mpya madarakani akapige magoti na kuziomba radhi familia hizi

    1. Mzee KIBAO. 2. Chaula. 3. Mdude. 4. Soka. Haya yafanyike regime ya waliotawala awamu hii wakiwa hai. Ili waone waliyowafanyia watanzania wenzetu. Baada ya hapo asiwasahau pia kina: 1. Alphonce Mawazo. 2. Sativa. 3. Lissu. Na wengine wengi tusiowajua na wasio na majina makubwa ila...
  15. baz kaiza

    GE2025 Mgombea huyu akitoka akakemea ufisadi bila na kusema atawawajibisha mafisadi Watumishi wazembe na uwajibikaji Atalinda rasilimli za nchi wakwepa kodi

    Mgombea Urais akisema kwa kinywa chake kwamba anachukia ufisadi atawashughilikia mafisadi. Watumishi wa Umma wazembe watawajibishwa na nidhamu kwa watumishi wa umma. Wakwepa kodi kukiona cha moto kulinda rasilmali za nchi huyu ana kura yangu. Sioni mgombea anazungumzia kuku za Uchumi wa nchi...
  16. R

    Wananchi walalamika Ofisi ya Serikali ya Mtaa kugeuzwa kuwa Fremu 'Sinza E'

    Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Ubungo, Aron Kagurumjuli imesema umiliki wa kiwanja kilichopo kwenye kitalu namba 1,022 eneo la Sinza E, Dar es Salaam ni wa mtu binafsi kwa mujibu wa nyaraka zilizopo kwenye ofisi za ardhi. Kauli hiyo imekuja kufuatia baadhi ya...
  17. FlyingDutchman

    DOKEZO Kinachoendelea Tanzania Institute of Accountancy (TIA) ni uozo unaonuka

    Wasalaam ndg zangu Chuo Cha TIA Kuna uozo unaendelea ambao sio mzuri Kuna wanafunzi almost 20+ kesi zao zimetoka kusikilizwa siku so nyingi lakini there is something fishy maana kesi kama hizi TIA zimekithiri sana na NACTVET ipo kimya. For instance kuna mwanafunzi amekuwa disqualified sababu...
  18. M

    CRDB mnazidi kupoteza uaminifu na Loyalty, kitu pekee kitachorudisha nguvu brand yenu ni "UWAJIBIKAJI", fanyeni haya lasivyo wengi zaidi watawakimbia

    Soko la benki Tanzania halijawahi kuwa na ushindani mkali kiasi hiki. Banks zipo kwenye mchuano mkali na Wateja wana uwezo wa kuhama benki kwa urahisi mkubwa mara 10 zaidi kuliko kubadilisha mtandao wa simu. kutunza wateja katika sekta hii kunahitaji Trust, Loyaty na uamiifu, ni vitu...
  19. A

    DOKEZO Baadhi ya Maafisa wa Uhamiaji Wilaya ya Muleba wanatumia 'Road Barrier' kula rushwa

    Naomba nifichue huu uovu wa baadhi ya Maafisa wa Uhamiaji waliopo Wilaya ya Muleba, wameweka “Road Barrier” maeneo ya Kasindaga wamekuwa na tabia ya kula rushwa hao na kunyanyasa watu wanaopita eneo hilo, ukipita tu bila kitambulisho lazima uache pesa pale la sivyo kazi unayo. Hili lichukuliwe...
  20. A

    KERO Uwajibikaji wa taasisi zinazohudumia wananchi; Je, wanafanya inavyotakiwa?

    Ni miezi 6 sasa nafuatilia usajili wa kikundi chetu kwa mkuu wa wilaya ya kinondoni chini ya wizara ya mambo ya ndani. Kila nikienda nipate majibu wananiambia taarifa zetu hazijarudi na hawajui ni lini zitarudi tumeamua kusajili kwa njia ya mtandao online tumelipia elfu 50 ya fomu ya huduma ni...
Back
Top Bottom