utawala

  1. Yoda

    Mzimu wa Epstein waundama utawala wa Trump, raia wazidisha kuidai listi ya wateja wake waliyohadiwa na Trump

    Mojawapo ya ajenda ambazo Trump alitamba nazo sana wakati wa kampeni zake za kugombea urais awamu ya pili ni pamoja na kuweka wazi mafaili ya mauaji ya Rais John F Kennedy na kuweka hadharani listi ya pedophile maarufu Jeffrey Epstein ambaye alikuwa anawatafutia matajiri na watu maarufu wasicha...
  2. Daby

    Sawa, Vijana wa Kenya wana haki kuandamana kupinga utawala dhalimu. Lakini Agendas zao zimechukuliwa na wanasiasa

    Kenya wakipita 2027 vizuri wamshukuru Mungu. Mwaka 2007 walipouana mambo yalianza hivi hivi. Kuenguliwa kwa Riggy G kummemfanya afanye siasa za ukabila waziwazi. Hata haogopi kutamka kauli zinazoweza/japo zimeanza kuligawanya taifa kikabila. Ukiwaskia wanasiasa hasa wa Bonde la ufa hoja yao...
  3. Yoda

    Elon Musk alaani utawala wa Trump kwa kutengeneza bajeti mbaya ya nchi kihistoria, aapa kuwanyoosha wabunge wote walioipitisha

    Elon Musk anasema bajeti ya serikali ya Trump maarufu kama "Big Beatiful Bill" iliyopitishwa na bunge linaloongozwa na Republicans ni ya hovyo kuwahi kutokwa na itavunja rekodi kuongeza deni la Marekani kwa $Trilioni 5 zaidi. Aanasema nchi hiyo ni kama inaongozwa na chama kimoja cha nguruwe na...
  4. MICHEWENI 2024

    Makubaliano ya ISRAEL/IRAN kusitisha vita hayawezi kumaliza vita kama lengo ni kuuangusha utawala wa Serikali ya Iran

    1. Kuendelea Kuishi = Ushindi Katika vita vinavyolenga kubadilisha utawala, kuendelea kuwepo madarakani ni ushindi. Licha ya kushambuliwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran bado ipo madarakani. Viongozi wa Iran (kama Kiongozi Mkuu na Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi - IRGC) bado wapo kazini. Hii...
  5. HOST NOT FOUND

    Je, Upo uwezekano wa mfumo mpya wa kiutawala kuzaliwa?

    Katika historia ya mwanadamu, mifumo ya kiutawala imekuwa kama wimbi linalofika ukingoni na kurudi baharini, haikai mahali pamoja. Tulishuhudia ujima, tukazama kwenye ukabaila, tukakumbatia ujamaa, tukakimbilia ubepari, na sasa tunaishi kwenye kivuli cha kile kinachoitwa Uliberali wa kisasa...
  6. Prof_Adventure_guide

    Tujadili kwa Umakini: Nani anateka na kwanini wanaotekwa ni wakosoaji wa utawala?

    Tujiulize kwa uzito na dhamira safi: Kwa nini matukio ya utekaji yameendelea kuwa siri nzito inayoumiza jamii, na kwa nini wahanga wakubwa ni wale tu wanaothubutu kusema wazi kuhusu mfumo wa uongozi? Hii sio coincidence—ni pattern ya hatari. Kama taifa, hatuwezi kuendelea kufumba macho huku...
  7. britanicca

    Namuona Khamenei mwishoni mwa utawala wake

    Ayatollah Khamenei Israel wao katika shughuli zao uwa wanadili na viongozi Hezbollah walipukutika Hamasi wakapukutika Sasa Iran ile crew yote ya juu imesafishwa Target yaweza kuwa khamenei Nina uhakika Hafiki week mbili mbele Japo na Iran nao hawako kinyonge, isingekuwa Jordan na...
  8. A

    Shabiby Line yaanza 'utawala' wa Barabara ya Dar-Tanga kila siku!

    Hatimaye, mabasi ya kisasa ya Shabiby Line yameanza safari zake za kutoka Dar kwenda Tanga na kutoka Tanga kwenda Dar kila siku iitwayo leo. Safari hizo zimeanza Wiki iliyopita na tayari abiria wa Tanga-Dar na Dar -Tanga wameanza kuchangamkia usafiri huo kutokana na ubora wa mabasi hayo toleo...
  9. Echolima1

    Utawala wa Trump umewawekea vikwazo majaji wanne kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu mjini The Hague

    Utawala wa Trump umewawekea vikwazo majaji wanne kutoka Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu mjini The Hague. Katika kutangaza hatua hiyo, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Marco Rubio alisema: "Kama majaji wa ICC, watu hawa wanne wameshiriki kikamilifu katika hatua zisizo halali na zisizo na...
  10. KING MIDAS

    Maandishi ukutani:-Enyi muombolezao, jiandaeni kububujikwa na machozi ya furaha. Haki huinua taifa

    Mungu amesikia kilio chenu enyi muombolezao. Tazama zaja siku SI nyingi mtalia kilio Cha furaha kabla mwaka haujatimiza miezi kumi.
  11. K

    Je, Tanzania inaenda kwenye utawala wa kifamilia?

    Je Tanzania inaenda kwenye utawala wa kifamilia? Kama hata CCM ni ndiyo Mama ndiyo Baba tutafika sehemu familia chache tu na ndugu zao ndiyo watakuwa watawala wa nchi hii kama Uganda au Rwanda. Kibaya huu sio utamaduni wetu na watu wanapenda demokrasia. Watanzania tuna utamaduni karibu na wa...
  12. kimsboy

    PreGE2025 Rais Samia, hakuna aliyewahi kushindana na Kanisa akashinda!

    Kwa hichi serikali yako inachokifanya cha kupambana na kanisa na watumishi wa Mungu kamwe hutoshinda. Nawaambieni ukweli, hakuna aliyewahi kushindana na kanisa akashinda. Rais Samia hatua uloingia ni mbaya sana hakika huwezi kulishinda kanisa wala kulitikisa Watanzania wenzangu huu ni wakati...
  13. R

    Msikilize Mo Ibrahim anavyoshangaa Tanzania kuwa na utawala wa kidictator kuwatesa wapinzani, kitu ambacho anasema hakutegemea kutoka Tanzania

    .....among other Places, Tanzania?!! Hakutegemea kuwa Samia anaweza kuwa hivi alivyo! Sikiliza
  14. Mwanadiplomasia Mahiri

    Ni hatima ya askofu aliye upande wa wananchi dhidi ya utawala?

    Watu sisi ni mashahidi. Tunajua kinachoendelea. Askofu amegoma kuwa mnyonge. Ameamua kuendelea kuwa upande wa wananchi. Kwa vyovyote vile Utawala haujafurahishwa na hotuba ya leo pale kanisani. Nini hatma ya mzozo huu? Utawala utakubali kukaa kimya?
  15. Yoda

    Kuna mpinzani au mkosoaji yeyote aliwahi kutekwa, kupotea au kuuwawa katika utawala wa Nyerere?

    Ningependa kufahamu kama kuna mtu yeyote hasa aliyekuwa mpinzani au mkosoaji wakati wa utawala wa Nyerere aliyewahi kutekwa, kupotea au kuuwawa.
  16. Roving Journalist

    Day 1: JamiiAfrica inashiriki Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) JNICC Mei 29-31, 2025

    Kuanzia leo Mei 29 hadi 31, 2025, JamiiAfrica inashiriki katika Mkutano wa 14 wa Afrika wa Utawala wa Mtandao (AfIGF2025) unaofanyika Dar es Salaam katika Ukumbi wa JNICC. Mkutano huu unawakutanisha wadau mbalimbali kutoka Serikalini, Sekta binafsi, Asasi za Kiraia na Vijana ili kujadili kwa...
  17. The Burning Spear

    Nionyeshe Mradi Mmoja wa maana wa Samia nikuonyeshe Nane ya Magufuli ndani ya miaka minne ya utawala wao

    Tukimsema vibaya mama wa kizimkazi mnatuona wabaya kafanya nini cha maana hii miaka 4 ya utawala wake Magufuli 1 .GEP Ali centralised Malipo yote ya serikali na kuokoa upotevu.mkubwa wa pesa 2. Bwana la Nyerere. Limemaliza kabisa mgao wa umeme na kuchochea uchumi mara dufu. 3.Toto Afya kadi...
  18. Fbn

    “Mauaji ya Kikatili Kabla ya Kuanguka kwa Utawala wa Iddi Amin: Hofu, Mashaka na Utawala wa Mkono wa Chuma”

    Kabla ya kuanguka kwa utawala wa Iddi Amin Dada nchini Uganda (aliyetawala kutoka 1971 hadi 1979), kulikuwepo na kipindi cha mauaji ya kikatili yaliyofanywa dhidi ya watu aliowahisi au kuwashuku kuwa ni wapinzani wake. Iddi Amin alitawala kwa mkono wa chuma na alihofia sana mapinduzi dhidi...
  19. G

    Haki huinua Taifa lakini kinyume chake ni kuangamiza Taifa , Haki Haina chama dini wala kabila sio Mbinguni Wala Duniani haki ndo misingi wa utawala

    Tanapambana kuinua Taifa Kwa njia NYINGI sana lakini haki ndo winchi au nguzo Namba moja ya kuinua Taifa Kwa maana NYINGINE Taifa lolote ili liinuke lazima haki itendeke. Kwa hiyo dalili inaonyesha Taifa linatenda haki angalia Kasi yakuinuka kwake. Kama Taifa haliinuki maana yake Kuna mahali...
Back
Top Bottom