Habari za wakati huu wanajukwaa wenzangu,
Naomba nitumie fursa hii kujitambulisha rasmi.
Naitwa Joseph Lucas Mkumbo, nina umri wa miaka 38 na ninatokea Utemini, mkoani Singida. Kwa sasa ninahudumu kama Manager Director wa kampuni ya Africa Sites Mineral, iliyopo Ikungi – Mang’onyi, mkoani...